Kosa hili la Kiroho limewafanya wakristo wengi kuishi maisha magumu

Kosa hili la Kiroho limewafanya wakristo wengi kuishi maisha magumu

Kwahiyo tumehama Sasa siyo Watanzania maskini, Bali Wakristo maskini.

Hizi ni akili za kijinga kama za Mzee wetu Mohammed Said.

Hapa duniani mataifa yanayotambulika ni ya kikiristo ndio yana maendeleo, waislamu na wakimbizi wote dunia nzima wanakimbilia mataifa ya kikristo, huwezi kusikia waislamu wamekimbilia Saudi Arabia kuomba ukimbizi, Bali ukimbilia Ulaya, Australia na Marekani.
Kwa sababu huna akili kama mleta mada ndio sababu unaona nimeshambulia uislamu, wewe ni mjinga kama wajinga wengine.

Ulitakiwa utowe fact Saudi Arabia Taifa la kiislamu na ndio kitovu cha uislamu kuna wakimbizi wanakimbilia huko? Si wakimbizi wote wanakimbilia ulaya
Huyu hana hoja ni mjinga mjinga Fulani tu asiyekuwa na exposure yoyote.

Lete orodha ya matajili 10 duniani tuone kama utaona mwislamu humo.

Dini ni mashirika ya kitapeli tu yaliyobaki kuwatapeli wajinga wengi wasiojielewa kama wewe na huyo mleta mada.
Wewe mzee leo ndio nimejua hasa kwanini kahtaan alikuwa anakupiga nyundo
 
Habari!
Ukisikiliza nyimbo nyingi za Injili, ukisikiliza maombi ya wakristo wengi au ukisikiliza ibada za shukrani hukosi kusikia neno "SIKUSTAHILI" .
Mtu kapata division one anatoa sadaka huku akilia anasema hakustahili, akiolewa, akioa, akinunua hata pikipiki au gari used mtu husema hakustahili.
Huu ni utoto wa Kiroho.
Mkristo anastahili mambo hayo yote na zaidi maana ni mrithi wa milki za Mungu.
Hebu tuache unyonge, tuache maombi na mentality ya kinyonge.
Siku wakristo wakiondoa unyonge mioyoni mwao watamiliki viwanda, vituo vya mafuta, kampuni n.k.
Lakini kwasababu ya unyonge wakristo wengi huishia kuajiriwa tu na kuwa watumishi wa mwingine.
View attachment 2531320View attachment 2531321

Lakini Sandali usichokielewa ni kwamba wakristo wanavyosema hawakustahili sio kwamba hawajui kwamba ni zawadi Mungu anayotoa kwao.
Uelewe kwamba despite umepata division 1 au umejenga nyumba au umebarikiwa ndoa, ulitenda dhambi nyingi sana pengine zisizojulikana na wanadamu ila Mungu bado akatoa neema yake ukabarikiwa.
In that case hukustahili kwasababu kuna wenye haki wengi hawajabarikiwa ila Mungu amekupendelea.
 
Neno sikustahili ni unyenyekevu na kujishisha, kuwa kama mtoto mdogo mbele za Bwana.

WATANZANIA miLioni 60
Mimi ni nani hata nimiliki GHOROFA.
Mimi niliye Dhaifu na Mwenye Dhambi!!!!!

Kwahiyo Neno sikustahili Lina maana yake.
NYENYEKEENI CHINI YA MKONO HODARI WA BWANA.

Usijikweze.
 
Lakini Sandali usichokielewa ni kwamba wakristo wanavyosema hawakustahili sio kwamba hawajui kwamba ni zawadi Mungu anayotoa kwao.
Uelewe kwamba despite umepata division 1 au umejenga nyumba au umebarikiwa ndoa, ulitenda dhambi nyingi sana pengine zisizojulikana na wanadamu ila Mungu bado akatoa neema yake ukabarikiwa.
In that case hukustahili kwasababu kuna wenye haki wengi hawajabarikiwa ila Mungu amekupendelea.
Asipoelewa na hapa hakuna haja ya kumuelewesha zaidi.
 
Neno sikustahili ni unyenyekevu na kujishisha, kuwa kama mtoto mdogo mbele za Bwana.

WATANZANIA miLioni 60
Mimi ni nani hata nimiliki GHOROFA.
Mimi niliye Dhaifu na Mwenye Dhambi!!!!!

Kwahiyo Neno sikustahili Lina maana yake.
NYENYEKEENI CHINI YA MKONO HODARI WA BWANA.

Usijikweze.
Fact kabisa.
 
Luka 14:11 "Kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa"
 
Pesa na utajiri havna mahusiano na dini kabsa
 
Wewe mzee leo ndio nimejua hasa kwanini kahtaan alikuwa anakupiga nyundo
Huyu kenge unampa cheo cha uzee amekipata wapi?
Huyu mtoto mdogo kazi kuvizia harusi za waarabu mitaani hafai hata kumuita kijana.

Sasa tazama eti anajiita Dr Matola PhD .
Ha ha ha ha.
Maisha yamemvuruga mpk anajipa cheo ambacho kizazi Chao chose tokea huko msumbiji walikotokea mpk yeye hakuna hata nesi kwenye ukoo. Leo anajiita DR PHD. 🤣🤣🤣.

Huyu mtoto sio rizki. Msamehe bure
 
Kwahiyo tumehama Sasa siyo Watanzania maskini, Bali Wakristo maskini.

Hizi ni akili za kijinga kama za Mzee wetu Mohammed Said.

Hapa duniani mataifa yanayotambulika ni ya kikiristo ndio yana maendeleo, waislamu na wakimbizi wote dunia nzima wanakimbilia mataifa ya kikristo, huwezi kusikia waislamu wamekimbilia Saudi Arabia kuomba ukimbizi, Bali ukimbilia Ulaya, Australia na Marekani.
Broo Matola pole na majukumu mkuu sijaingia humu muda kidogo hua nachungulia na kukimbia ila nimeshtuka Sana kuona wasifu wa I'd yako anyway
Hongera!
😁😁😁😁
#mamboyanaendakasisana
 
Tena Mkristo ukikomaa unafika mahali sio tena kuombaomba na kulia kila wakati bali una amuru yatokee.
Habari,

Ukisikiliza nyimbo nyingi za Injili, ukisikiliza maombi ya wakristo wengi au ukisikiliza ibada za shukrani hukosi kusikia neno "Sikustahili."

Mtu kapata division one anatoa sadaka huku akilia anasema hakustahili, akiolewa, akioa, akinunua hata pikipiki au gari used mtu husema hakustahili.

Huu ni utoto wa Kiroho. Mkristo anastahili mambo hayo yote na zaidi maana ni mrithi wa milki za Mungu. Hebu tuache unyonge, tuache maombi na mentality ya kinyonge.

Siku wakristo wakiondoa unyonge mioyoni mwao watamiliki viwanda, vituo vya mafuta, kampuni n.k. lakini kwasababu ya unyonge wakristo wengi huishia kuajiriwa tu na kuwa watumishi wa mwingine.

View attachment 2531320View attachment 2531321
 
Habari,

Ukisikiliza nyimbo nyingi za Injili, ukisikiliza maombi ya wakristo wengi au ukisikiliza ibada za shukrani hukosi kusikia neno "Sikustahili."

Mtu kapata division one anatoa sadaka huku akilia anasema hakustahili, akiolewa, akioa, akinunua hata pikipiki au gari used mtu husema hakustahili.

Huu ni utoto wa Kiroho. Mkristo anastahili mambo hayo yote na zaidi maana ni mrithi wa milki za Mungu. Hebu tuache unyonge, tuache maombi na mentality ya kinyonge.

Siku wakristo wakiondoa unyonge mioyoni mwao watamiliki viwanda, vituo vya mafuta, kampuni n.k. lakini kwasababu ya unyonge wakristo wengi huishia kuajiriwa tu na kuwa watumishi wa mwingine.

View attachment 2531320View attachment 2531321
Wewe unamiliki nini zaidi ya akaunti ya JF yenye id feki?
 
Kuna ukweli hata hayati maguguli alipokuwa anatuita watanzania
wanyonge nilikuwa natamani kumnasa kofi ,sisi sio wanyonge
Unyonge ni tusi
Alikuwa anasema sisi ni matajiri.
Japo kuna wachache wanaosababisha unyonge kwa wengi!
 
Kwa sababu huna akili kama mleta mada ndio sababu unaona nimeshambulia uislamu, wewe ni mjinga kama wajinga wengine.

Ulitakiwa utowe fact Saudi Arabia Taifa la kiislamu na ndio kitovu cha uislamu kuna wakimbizi wanakimbilia huko? Si wakimbizi wote wanakimbilia ulaya
Huyu hana hoja ni mjinga mjinga Fulani tu asiyekuwa na exposure yoyote.

Lete orodha ya matajili 10 duniani tuone kama utaona mwislamu humo.

Dini ni mashirika ya kitapeli tu yaliyobaki kuwatapeli wajinga wengi wasiojielewa kama wewe na huyo mleta mada.
Wewe Kapuku unayejiona una akili kwanini usiitetea mada badala yake unakata mauno na kushambulia dini ambayo haijatajwa? Akili zako umeziweka kwenye mfuko wa shati sio? Huo u Dr wako ndio ule wa kununua kwa Dola 2500 au umejipachika tu jina?

Acheni kuchafua position za watu,kwa matapishi unayo yatapika hapa hufai hata kua na cheo cha kuitwa Nesi.
 
Uko sahihi ila uko nje ya content
Maendeleo ya marekani yanamhusu mkristo wa TZ au maendeleo ya Qatar yanamhusu muislamu wa TZ.
Af nchi za kikristo anazotaja zinawapagani kibao.
Akina Elon Musk hawana dini lakini ndio wanaoijenga USA.
Wanasayansi wenngi na matajir USA hawana dini.
Kuna nchi kamaCina,Korea, Japan sio wakiristo wala waislamu na ni tajiri sana kuliko nchi nyingi za kikristo. Maendeleo hayana uhusiano na dini wala kabila.
Huyo member yupo out of topic.
 
Kwa hiyo nimekuuliza unanitukana kwa hasira !

Kwa nn unafuga chuki moyoni huko Saudi Arabia ushawahi kufika kenge wewe? Maana hata nguruwe haruhusiwi kufika.

Wewe na mtoa mada wote wakristo kama ni kichaa hata wewe ni kichaa mwenzie.


Hakuna neno utowe ❎ ni utoe ✅


Hakuna tajiri top Ten ni mfuasi wa ukristo wale kindakindani hata kama wamezaliwa kweny ukristo kama unabisha leta hapa...wamezaliwa kweny ukristo ila Wana misingi yao na misimamo yao kabisa kwamba wanajua ukristo ni upuuzi wala hakuna mweny IQ kubwa duniani anahusudu ukristo
Anafikiri uarabuni atapeleka ubazazi wake wa hovyo. Ulaya wanaishi kama mbuzi, mtu anaweza tembea hata uchi huo ujinga Saudia haupo.
Saudia huduma nyingi ni bure Ulaya na USA hakuna vya bure unasota, wazungu wanajua hata ukienda nchi zao utatumika kujenga Ulaya wakati Uarabuni utawanyonya huduma zao kwa ajili ya watu wao. Sababu ni nyingi sana za kuingia kirahidi Ulaya ila jamaa haelewi anafikiri Ulaya maisha ni mteremko.
 
Back
Top Bottom