Kosa kubwa alilofanya Hayati Magufuli ni kupambana na adui bandia na kuacha maadui halisi. Wenye ndoto za kuwa Rais mjifunze

Kosa kubwa alilofanya Hayati Magufuli ni kupambana na adui bandia na kuacha maadui halisi. Wenye ndoto za kuwa Rais mjifunze

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Ndio nimeamka sasa hivi Hapa, nikaota na kuambiwa kuwa JPM alipambana na maadui Bandia huku akiwaacha Maadui halisi wakipeta. Ndoto hiyo ambayo nina uhakika nayo Kwa Asilimia Mia moja inanipa tafsiri kuwa JPM alishindwa kutambua maadui wake halisi na Hilo kwenye uwanja wa vita ni kushindwa vita na kupigwa na adui.

Ni Sawa uwe unaumwa UKIMWI alafu utumie Dawa za Mseto kupambana na Malaria ukidhani unaumwa malaria kumbe unaumwa UKIMWI.

Hii ni fundisho Kwa wengine ambao mtaingia madarakani iwe leo au miaka ishirini ijayo. Kabla hamjaanza mapambano hakikisheni mnawafahamu maadui zenu halisi. Ili kuepuka kupoteza muda na mapambano kijinga.

Haiwezekani unapambana na adui zako unajitahidi kuwamaliza lakini wanazidi kuongezeka. Hiyo haiwezekan.
Haiwezekani mipango yako mnapanga Kwa Siri alafu kesho asubuhi unakuta ipo hewani hiyo pekee inatakiwa kukushtua kuwa tatizo lipo ndani na wala sio nje.

Ndoto hii inawataka watawala wawe makini zaidi na Wale wasiopiga kelele dhidi Yao kuliko Wale wapiga makelele.

JPM alipambana zaidi na Wale waliokuwa wanapiga makelele akijua HAO ndio adui zake lakini ndoto imeniambia kuwa walikuwa maadui bandia.

Adui halisi alikuwa kwenye mahandaki wamejificha.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Hamna shida mbegu alishaipanda, ndio maana mpaka sasa japokuwa ameshatangulia, bado jamaa wanahangaika.

Hii ina maana kubwa sana kuwa watanzania walimuelewa mwamba japokuwa it's already too late.

R.i.p Magufuli
 
....amka hata dakika moja usikie yanaimbwa kule kwenye bustan ya ....
 
Shetani,Hitler, Mussolini wenyewe pia hua wamepanda mbegu ndio maana mpk Leo wanatajwa.
Hakuna kiongozi akakubalika na wote. Hao kina Hitler na mussolini, kama matiafa yao mpaka leo kuna watu wanaamini walikuwa viongoui sahihi.

Nenda ujerumani uone watu wanamzungumzia Hitler na ya yale aliyofanya kwa germany mpka leo yapo na yanaonekana.
 
aliwajua Sanaa ila alikua anawaogopa japo alipo kua public hakuonesha uoga
Aliwastahi,
Kwema Wakuu!

Ndio nimeamka sasa hivi Hapa, nikaota na kuambiwa kuwa JPM alipambana na maadui Bandia huku akiwaacha Maadui halisi wakipeta. Ndoto hiyo ambayo ninauhakika nayo Kwa Asilimia Mia moja inanipa tafsiri kuwa JPM alishindwa kutambua maadui wake halisi, na Hilo kwenye uwanja wa vita ni kushindwa vita na kupigwa na adui.

Ni Sawa uwe unaumwa UKIMWI alafu utumie Dawa za Mseto kupambana na Malaria ukidhani unaumwa malaria kumbe unaumwa UKIMWI.

Hii ni fundisho Kwa wengine ambao mtaingia madarakani iwe leo au miaka ishirini ijayo. Kabla hamjaanza mapambano hakikisheni mnawafahamu maadui zenu halisi. Ili kuepuka kupoteza muda na mapambano kijinga.

Haiwezekani unapambana na adui zako unajitahidi kuwamaliza lakini wanazidi kuongezeka. Hiyo haiwezekan.
Haiwezekani mipango yako mnapanga Kwa Siri alafu kesho asubuhi unakuta ipo hewani hiyo pekee inatakiwa kukushtua kuwa tatizo lipo ndani na wala sio nje.

Ndoto hii inawataka watawala wawe makini zaidi na Wale wasiopiga kelele dhidi Yao kuliko Wale wapiga makelele.
JPM alipambana zaidi na Wale waliokuwa wanapiga makelele akijua HAO ndio adui zake lakini ndoto imeniambia kuwa walikuwa maadui bandia.
Adui halisi alikuwa kwenye mahandaki wamejificha.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Katika kitabu cha 48 Laws of power, Sheria namba 15 inaitwa CRUSH YOUR ENEMY COMPLETELY, ukishamjua adui yako usimpe nafasi wala room ya majadiliano, wala usimuonee aibu!!
 
Kwema Wakuu!

Ndio nimeamka sasa hivi Hapa, nikaota na kuambiwa kuwa JPM alipambana na maadui Bandia huku akiwaacha Maadui halisi wakipeta. Ndoto hiyo ambayo ninauhakika nayo Kwa Asilimia Mia moja inanipa tafsiri kuwa JPM alishindwa kutambua maadui wake halisi, na Hilo kwenye uwanja wa vita ni kushindwa vita na kupigwa na adui.

Ni Sawa uwe unaumwa UKIMWI alafu utumie Dawa za Mseto kupambana na Malaria ukidhani unaumwa malaria kumbe unaumwa UKIMWI.

Hii ni fundisho Kwa wengine ambao mtaingia madarakani iwe leo au miaka ishirini ijayo. Kabla hamjaanza mapambano hakikisheni mnawafahamu maadui zenu halisi. Ili kuepuka kupoteza muda na mapambano kijinga.

Haiwezekani unapambana na adui zako unajitahidi kuwamaliza lakini wanazidi kuongezeka. Hiyo haiwezekan.
Haiwezekani mipango yako mnapanga Kwa Siri alafu kesho asubuhi unakuta ipo hewani hiyo pekee inatakiwa kukushtua kuwa tatizo lipo ndani na wala sio nje.

Ndoto hii inawataka watawala wawe makini zaidi na Wale wasiopiga kelele dhidi Yao kuliko Wale wapiga makelele.
JPM alipambana zaidi na Wale waliokuwa wanapiga makelele akijua HAO ndio adui zake lakini ndoto imeniambia kuwa walikuwa maadui bandia.
Adui halisi alikuwa kwenye mahandaki wamejificha.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Hadi saizi maadui wanajulikana.
As days go on
 
Hamna shida mbegu alishaipanda, ndio maana mpaka sasa japokuwa ameshatangulia, bado jamaa wanahangaika.

Hii ina maana kibwa sana kuwa watanzania walimuelewa mwamba japokuwa it's already too late.

R.i.p Magufuli

Watanzania wangemuelewa angepora uchaguzi ili atangazwe mshindi kwa shuruti yeye na chama chake?
 
Back
Top Bottom