Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
Hapana, hiyo sheria kwake haikuwa applicable!first law never outshine the master kayafa forget who's king maker
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, hiyo sheria kwake haikuwa applicable!first law never outshine the master kayafa forget who's king maker
Ni kweli mkuu Lowasa, Sumaye na wapinzani wote walikuwa siyo maadui na yeye ili hakujua laiti Ange ungana na lowasa kwenye mambo ya siasa angejua adui zake.Kwema Wakuu!
Ndio nimeamka sasa hivi Hapa, nikaota na kuambiwa kuwa JPM alipambana na maadui Bandia huku akiwaacha Maadui halisi wakipeta. Ndoto hiyo ambayo ninauhakika nayo Kwa Asilimia Mia moja inanipa tafsiri kuwa JPM alishindwa kutambua maadui wake halisi, na Hilo kwenye uwanja wa vita ni kushindwa vita na kupigwa na adui.
Ni Sawa uwe unaumwa UKIMWI alafu utumie Dawa za Mseto kupambana na Malaria ukidhani unaumwa malaria kumbe unaumwa UKIMWI.
Hii ni fundisho Kwa wengine ambao mtaingia madarakani iwe leo au miaka ishirini ijayo. Kabla hamjaanza mapambano hakikisheni mnawafahamu maadui zenu halisi. Ili kuepuka kupoteza muda na mapambano kijinga.
Haiwezekani unapambana na adui zako unajitahidi kuwamaliza lakini wanazidi kuongezeka. Hiyo haiwezekan.
Haiwezekani mipango yako mnapanga Kwa Siri alafu kesho asubuhi unakuta ipo hewani hiyo pekee inatakiwa kukushtua kuwa tatizo lipo ndani na wala sio nje.
Ndoto hii inawataka watawala wawe makini zaidi na Wale wasiopiga kelele dhidi Yao kuliko Wale wapiga makelele.
JPM alipambana zaidi na Wale waliokuwa wanapiga makelele akijua HAO ndio adui zake lakini ndoto imeniambia kuwa walikuwa maadui bandia.
Adui halisi alikuwa kwenye mahandaki wamejificha.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Magu kuna mzimu alipandikiza bongo hapa "nawaambia ukweli ndugu zangu mmepigwa Sanaa"Kwema Wakuu!
Ndio nimeamka sasa hivi Hapa, nikaota na kuambiwa kuwa JPM alipambana na maadui Bandia huku akiwaacha Maadui halisi wakipeta. Ndoto hiyo ambayo ninauhakika nayo Kwa Asilimia Mia moja inanipa tafsiri kuwa JPM alishindwa kutambua maadui wake halisi, na Hilo kwenye uwanja wa vita ni kushindwa vita na kupigwa na adui.
Ni Sawa uwe unaumwa UKIMWI alafu utumie Dawa za Mseto kupambana na Malaria ukidhani unaumwa malaria kumbe unaumwa UKIMWI.
Hii ni fundisho Kwa wengine ambao mtaingia madarakani iwe leo au miaka ishirini ijayo. Kabla hamjaanza mapambano hakikisheni mnawafahamu maadui zenu halisi. Ili kuepuka kupoteza muda na mapambano kijinga.
Haiwezekani unapambana na adui zako unajitahidi kuwamaliza lakini wanazidi kuongezeka. Hiyo haiwezekan.
Haiwezekani mipango yako mnapanga Kwa Siri alafu kesho asubuhi unakuta ipo hewani hiyo pekee inatakiwa kukushtua kuwa tatizo lipo ndani na wala sio nje.
Ndoto hii inawataka watawala wawe makini zaidi na Wale wasiopiga kelele dhidi Yao kuliko Wale wapiga makelele.
JPM alipambana zaidi na Wale waliokuwa wanapiga makelele akijua HAO ndio adui zake lakini ndoto imeniambia kuwa walikuwa maadui bandia.
Adui halisi alikuwa kwenye mahandaki wamejificha.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Baada ya kuwajua alipaswa kuapply sheria namba 15 katika kitabu cha 48 Laws of powerUnadhani magufuli alikuwa hajui maadui zake, ebu refer kwenye ile voice note iloyodukuliwa yakina makamba.
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Hamna shida mbegu alishaipanda, ndio maana mpaka sasa japokuwa ameshatangulia, bado jamaa wanahangaika.
Hii ina maana kibwa sana kuwa watanzania walimuelewa mwamba japokuwa it's already too late.
R.i.p Magufuli
Unadhani magufuli alikuwa hajui maadui zake, ebu refer kwenye ile voice note iloyodukuliwa yakina makamba.
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Maadui aliwajua Sana tu sema alikosea kuwaamini wale aliokaribu nao!
Nilisoma SEHEMU eti;-
Hata ......nilimiamini hivi!
ACHA wabaki na nchi yao!
Mungu baba Acha nipumzike Sasa!!
Hakuna kiongozi akakubalika na wote. Hao kina Hitler na mussolini, kama matiafa yao mpaka leo kuna watu wanaamini walikuwa viongoui sahihi.
Nenda ujerumani uone watu wanamzungumzia Hitler na ya yale aliyofanya kwa germany mpka leo yapo na yanaonekana.
Acheni uongoKwema Wakuu!
Ndio nimeamka sasa hivi Hapa, nikaota na kuambiwa kuwa JPM alipambana na maadui Bandia huku akiwaacha Maadui halisi wakipeta. Ndoto hiyo ambayo ninauhakika nayo Kwa Asilimia Mia moja inanipa tafsiri kuwa JPM alishindwa kutambua maadui wake halisi, na Hilo kwenye uwanja wa vita ni kushindwa vita na kupigwa na adui.
Ni Sawa uwe unaumwa UKIMWI alafu utumie Dawa za Mseto kupambana na Malaria ukidhani unaumwa malaria kumbe unaumwa UKIMWI.
Hii ni fundisho Kwa wengine ambao mtaingia madarakani iwe leo au miaka ishirini ijayo. Kabla hamjaanza mapambano hakikisheni mnawafahamu maadui zenu halisi. Ili kuepuka kupoteza muda na mapambano kijinga.
Haiwezekani unapambana na adui zako unajitahidi kuwamaliza lakini wanazidi kuongezeka. Hiyo haiwezekan.
Haiwezekani mipango yako mnapanga Kwa Siri alafu kesho asubuhi unakuta ipo hewani hiyo pekee inatakiwa kukushtua kuwa tatizo lipo ndani na wala sio nje.
Ndoto hii inawataka watawala wawe makini zaidi na Wale wasiopiga kelele dhidi Yao kuliko Wale wapiga makelele.
JPM alipambana zaidi na Wale waliokuwa wanapiga makelele akijua HAO ndio adui zake lakini ndoto imeniambia kuwa walikuwa maadui bandia.
Adui halisi alikuwa kwenye mahandaki wamejificha.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Who the cap fit"Your worst enemy could be your best friend
And your best friend your worst enemy"
Bob Marley,
Kwenye wimbo wa Who the cap fit?
Tumuulize MboeBen Saa8.
Umeandika vizuri Heriel..ni kweli alizungukwa na maadui wengine wakiwa wasaidizi wake kabisa, labda kwa sababu hakuwa amejiandaa kwa kazi hii, lakini inapotokea unakuwa na dhamira njema km alivyokuwa yeye juu ya yale unafanya, ni Mungu tu huwa anaweka ulinzi wake kwako, ni bahati mbaya Magufuli alipotoka akadanganywa na kulewa kusifiwa..ni kama mfalme Sauli ilivyomtokea..PRIDE!!Kwema Wakuu!
Ndio nimeamka sasa hivi Hapa, nikaota na kuambiwa kuwa JPM alipambana na maadui Bandia huku akiwaacha Maadui halisi wakipeta. Ndoto hiyo ambayo ninauhakika nayo Kwa Asilimia Mia moja inanipa tafsiri kuwa JPM alishindwa kutambua maadui wake halisi, na Hilo kwenye uwanja wa vita ni kushindwa vita na kupigwa na adui.
Ni Sawa uwe unaumwa UKIMWI alafu utumie Dawa za Mseto kupambana na Malaria ukidhani unaumwa malaria kumbe unaumwa UKIMWI.
Hii ni fundisho Kwa wengine ambao mtaingia madarakani iwe leo au miaka ishirini ijayo. Kabla hamjaanza mapambano hakikisheni mnawafahamu maadui zenu halisi. Ili kuepuka kupoteza muda na mapambano kijinga.
Haiwezekani unapambana na adui zako unajitahidi kuwamaliza lakini wanazidi kuongezeka. Hiyo haiwezekan.
Haiwezekani mipango yako mnapanga Kwa Siri alafu kesho asubuhi unakuta ipo hewani hiyo pekee inatakiwa kukushtua kuwa tatizo lipo ndani na wala sio nje.
Ndoto hii inawataka watawala wawe makini zaidi na Wale wasiopiga kelele dhidi Yao kuliko Wale wapiga makelele.
JPM alipambana zaidi na Wale waliokuwa wanapiga makelele akijua HAO ndio adui zake lakini ndoto imeniambia kuwa walikuwa maadui bandia.
Adui halisi alikuwa kwenye mahandaki wamejificha.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
aRIP na kuoza, mnatuchoshaHamna shida mbegu alishaipanda, ndio maana mpaka sasa japokuwa ameshatangulia, bado jamaa wanahangaika.
Hii ina maana kibwa sana kuwa watanzania walimuelewa mwamba japokuwa it's already too late.
R.i.p Magufuli
Ni kweli mkuu,hata shetani Ni hivyo hivyo.Hakuna kiongozi akakubalika na wote. Hao kina Hitler na mussolini, kama matiafa yao mpaka leo kuna watu wanaamini walikuwa viongoui sahihi.
Nenda ujerumani uone watu wanamzungumzia Hitler na ya yale aliyofanya kwa germany mpka leo yapo na yanaonekana.
Unaweza kunitumia soft copy ya hicho kitabu?Aliwastahi,
Katika kitabu cha 48 Laws of power, Sheria namba 15 inaitwa CRUSH YOUR ENEMY COMPLETELY, ukishamjua adui yako usimpe nafasi wala room ya majadiliano, wala usimuonee aibu!!
Tena wakaua watoto waoAngejua angetumia njia ya mmarekani ya kupambana magaidi wa kiislam wa september 11
USA baada ya kulipuliwa september 11.. aligundua osama bin laden wa al qaeda ndie muhusika na adui yake mkuu.. na akagundua ana sapoti ya waislam dunia nzima ambao wako wengi zaidi ya bilioni.
USA akawaza kwamba ili niweze kummudu osama vizuri inapaswa niwatishe magaidi waislamu wa dunia nzima ili waogope kumficha osama.. wajue sitaki utani..
Naua viongozi wote wenye nguvu ambao magaidi wa kiislamu wanawategemea ili wajue sina utani. Hapo ndipo saddam hussein akauwawa, ghadaffi akauwawa, mullah omar akauwawa, zawahir akauwawa.. then ndipo osama akauwawa.
Hii ikawatisha magaidi wa kiislam kumficha osama dunia nzima.. maana wababe wao waliowategemea wameuwawa sasa sisi wanyonge tutaweza kweli. Wote wakamuogopa mmarekani kabisa
Magu alipaswa aondoe mibuyu kwanza