Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kuna siku mtajitokeza hadharani na kuwaomba Radhi CHADEMA ambao wengi wao mmewadhulumu haki Yao ya kuishiNdio nimeamka sasa hivi Hapa, nikaota na kuambiwa kuwa JPM alipambana na maadui Bandia huku akiwaacha Maadui halisi wakipeta.
Robert Green huyoooo....huyu mwamba ana kitabu kingine kinaitwa Mastery. Kizuri sanaAliwastahi,
Katika kitabu cha 48 Laws of power, Sheria namba 15 inaitwa CRUSH YOUR ENEMY COMPLETELY, ukishamjua adui yako usimpe nafasi wala room ya majadiliano, wala usimuonee aibu!!
Kuna siku mtajitokeza hadharani na kuwaomba Radhi CHADEMA ambao wengi wao mmewadhulumu haki Yao ya kuishi
Robert, hujawahi kulaani vitendo vya kikatili dhidi ya Watanzania wenzako! Naomba niwe mkweli Kijana wanguMkuu ntake Radhi tafadhali
Siku zote kikulacho ki nguoni mwako.
cc Chama cha Mambuzi.Kwema Wakuu!
Ndio nimeamka sasa hivi Hapa, nikaota na kuambiwa kuwa JPM alipambana na maadui Bandia huku akiwaacha Maadui halisi wakipeta. Ndoto hiyo ambayo ninauhakika nayo Kwa Asilimia Mia moja inanipa tafsiri kuwa JPM alishindwa kutambua maadui wake halisi, na Hilo kwenye uwanja wa vita ni kushindwa vita na kupigwa na adui.
Ni Sawa uwe unaumwa UKIMWI alafu utumie Dawa za Mseto kupambana na Malaria ukidhani unaumwa malaria kumbe unaumwa UKIMWI.
Hii ni fundisho Kwa wengine ambao mtaingia madarakani iwe leo au miaka ishirini ijayo. Kabla hamjaanza mapambano hakikisheni mnawafahamu maadui zenu halisi. Ili kuepuka kupoteza muda na mapambano kijinga.
Haiwezekani unapambana na adui zako unajitahidi kuwamaliza lakini wanazidi kuongezeka. Hiyo haiwezekan.
Haiwezekani mipango yako mnapanga Kwa Siri alafu kesho asubuhi unakuta ipo hewani hiyo pekee inatakiwa kukushtua kuwa tatizo lipo ndani na wala sio nje.
Ndoto hii inawataka watawala wawe makini zaidi na Wale wasiopiga kelele dhidi Yao kuliko Wale wapiga makelele.
JPM alipambana zaidi na Wale waliokuwa wanapiga makelele akijua HAO ndio adui zake lakini ndoto imeniambia kuwa walikuwa maadui bandia.
Adui halisi alikuwa kwenye mahandaki wamejificha.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Robert, hujawahi kulaani vitendo vya kikatili dhidi ya Watanzania wenzako! Naomba niwe mkweli Kijana wangu
Na bado hakuwapakia kwenye viroba.Leo wanamnanga siyo kwenye voice notes.Yanafanyika hadharani ukumbini na kwenye jukwaa alikuwa analitumia!Unadhani magufuli alikuwa hajui maadui zake, ebu refer kwenye ile voice note iloyodukuliwa yakina makamba.
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
UMESEMA KWELI WALIOMPA URAIS ndio hao waliogeuka Maadui ila Wakiwa ndani ya MahandakiKwema Wakuu!
Ndio nimeamka sasa hivi Hapa, nikaota na kuambiwa kuwa JPM alipambana na maadui Bandia huku akiwaacha Maadui halisi wakipeta. Ndoto hiyo ambayo nina uhakika nayo Kwa Asilimia Mia moja inanipa tafsiri kuwa JPM alishindwa kutambua maadui wake halisi na Hilo kwenye uwanja wa vita ni kushindwa vita na kupigwa na adui.
Ni Sawa uwe unaumwa UKIMWI alafu utumie Dawa za Mseto kupambana na Malaria ukidhani unaumwa malaria kumbe unaumwa UKIMWI.
Hii ni fundisho Kwa wengine ambao mtaingia madarakani iwe leo au miaka ishirini ijayo. Kabla hamjaanza mapambano hakikisheni mnawafahamu maadui zenu halisi. Ili kuepuka kupoteza muda na mapambano kijinga.
Haiwezekani unapambana na adui zako unajitahidi kuwamaliza lakini wanazidi kuongezeka. Hiyo haiwezekan.
Haiwezekani mipango yako mnapanga Kwa Siri alafu kesho asubuhi unakuta ipo hewani hiyo pekee inatakiwa kukushtua kuwa tatizo lipo ndani na wala sio nje.
Ndoto hii inawataka watawala wawe makini zaidi na Wale wasiopiga kelele dhidi Yao kuliko Wale wapiga makelele.
JPM alipambana zaidi na Wale waliokuwa wanapiga makelele akijua HAO ndio adui zake lakini ndoto imeniambia kuwa walikuwa maadui bandia.
Adui halisi alikuwa kwenye mahandaki wamejificha.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Ni kweli....wale wapinzani aliowanyima na kuwakandamiza tena kwa maslahi ya Ccm hawakuwa maadui zake kama alivyodhani.Kwema Wakuu!
Ndio nimeamka sasa hivi Hapa, nikaota na kuambiwa kuwa JPM alipambana na maadui Bandia huku akiwaacha Maadui halisi wakipeta. Ndoto hiyo ambayo nina uhakika nayo Kwa Asilimia Mia moja inanipa tafsiri kuwa JPM alishindwa kutambua maadui wake halisi na Hilo kwenye uwanja wa vita ni kushindwa vita na kupigwa na adui.
Ni Sawa uwe unaumwa UKIMWI alafu utumie Dawa za Mseto kupambana na Malaria ukidhani unaumwa malaria kumbe unaumwa UKIMWI.
Hii ni fundisho Kwa wengine ambao mtaingia madarakani iwe leo au miaka ishirini ijayo. Kabla hamjaanza mapambano hakikisheni mnawafahamu maadui zenu halisi. Ili kuepuka kupoteza muda na mapambano kijinga.
Haiwezekani unapambana na adui zako unajitahidi kuwamaliza lakini wanazidi kuongezeka. Hiyo haiwezekan.
Haiwezekani mipango yako mnapanga Kwa Siri alafu kesho asubuhi unakuta ipo hewani hiyo pekee inatakiwa kukushtua kuwa tatizo lipo ndani na wala sio nje.
Ndoto hii inawataka watawala wawe makini zaidi na Wale wasiopiga kelele dhidi Yao kuliko Wale wapiga makelele.
JPM alipambana zaidi na Wale waliokuwa wanapiga makelele akijua HAO ndio adui zake lakini ndoto imeniambia kuwa walikuwa maadui bandia.
Adui halisi alikuwa kwenye mahandaki wamejificha.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Magufuli alikuwa mtu wa ovyo kupita maelezo. Waliomjua kwa karibu walimdharau mnoo huku wakimsifia.
Kipo loosely available online. Jipambanie.Unaweza kunitumia soft copy ya hicho kitabu?
Hicho ndio favorite kwangu, kuna 33 strategies of war pia sheria namba 31 inaitwa DESTROY FROM WITHIN (INNER FRONT STRATERGY)Robert Green huyoooo....huyu mwamba ana kitabu kingine kinaitwa Mastery. Kizuri sana
Shukrani, naomba upokee radhi YanguMkuu Mimi haya mambo ya siasa ninayaelewa Kwa kiasi changu. Ninafahamu kwa uchache Hesabu zake.
Niliwahi kuandika hapa πππKilichomponza Magufuli: Hakuchukua hatua kwa waliohusika na mauaji, watekaji na waliopotezwa
Zipo Mada nyingi mno. Hata kitendo cha kupigwa Lisu RISASI nilikilaani,
Sio kweli kwamba Waislam dunia nzima walikuwa wanamsapoti Khaariji Usama Bin Ladin.USA baada ya kulipuliwa september 11.. aligundua osama bin laden wa al qaeda ndie muhusika na adui yake mkuu.. na akagundua ana sapoti ya waislam dunia nzima ambao wako wengi zaidi ya bilioni
Sadam Hussain hakuwa tegemeo la magaidi wala Mu'ammar al Qadhafi. Au ulimaanisha magaidi gani wa "Kiislam"? Sio Gaddafi wala Saddam aliyekuwa akiungwa mkono na kina al Qaeda. Na wala wao hawakuwaunga mkono hao. Na cha ajabu ni kwamba hivi vikundi havikuwa na nguvu katika nchi zao mpaka baada ya wao kupinduliwa. Al Qaeda in Iraq (AQI) ya akina Abu Mus'ab al Zarqawi ilipata nguvu baada ya uvamizi wa Marekani na wenzie huko Iraq mwaka 2003.Naua viongozi wote wenye nguvu ambao magaidi wa kiislamu wanawategemea ili wajue sina utani. Hapo ndipo saddam hussein akauwawa, ghadaffi akauwawa, mullah omar akauwawa, zawahir akauwawa.. then ndipo osama akauwawa.
Narudia tena al Qaeda na wenzao hawajawahi kuwategemea akina Saddam wala Gaddafi kama wababe wao. Itakuwa hufahamu vizuri fikra za haya makundi ya hawa ma khawaarij na misimamo yao wala fikra za akina Saddam na Gaddafi.Hii ikawatisha magaidi wa kiislam kumficha osama dunia nzima.. maana wababe wao waliowategemea wameuwawa sasa sisi wanyonge tutaweza kweli. Wote wakamuogopa mmarekani kabisa
Uliwahi kuwa rais wa ufipa au wachafuKazi ya Rais sio kupambana...kazi ya Rais ni kuongoza....wengine wanaenda Kwa vitendo ..wengine wanatakiwa kuendeshwa ki Taasisi ..sio Kwa kumuogopa mtu mmoja
Duhβ¦!. Ina maana walimnaniliu!.Kwema Wakuu!
Ndio nimeamka sasa hivi Hapa, nikaota na kuambiwa kuwa JPM alipambana na maadui Bandia huku akiwaacha Maadui halisi wakipeta. Ndoto hiyo ambayo nina uhakika nayo Kwa Asilimia Mia moja inanipa tafsiri kuwa JPM alishindwa kutambua maadui wake halisi na Hilo kwenye uwanja wa vita ni kushindwa vita na kupigwa na adui.
Adui halisi alikuwa kwenye mahandaki wamejificha.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam