sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Experience yangu binafsi sio mara moja bali ni mara mbili niliazima gari kwa marafiki wawili tofauti, wa kwanza aligongesha bampa wa pili aligongesha karibu na mlango lakini hakuna alienijulisha kilichotokea pindi wanaponirudishia funguo za gari.
Nikiazima gari na ikirudi huwa lazima niikague kabla sijaitumia, wote nilipowauliza kuhusu kugongesha wakasema niliwapa gari hivyo hivyo.
Mara ya kwanza ilinikosti elf 70 kurekebisha, mara ya pili laki na 20, kuanzia hapo niliona kuazima gari kunaweza kuja kunigharimu zaidi, Imagine mtu umwazime gari aigongeshe uvunguni breki zifeli kukamata alafu asikwambie ?
Nikiazima gari na ikirudi huwa lazima niikague kabla sijaitumia, wote nilipowauliza kuhusu kugongesha wakasema niliwapa gari hivyo hivyo.
Mara ya kwanza ilinikosti elf 70 kurekebisha, mara ya pili laki na 20, kuanzia hapo niliona kuazima gari kunaweza kuja kunigharimu zaidi, Imagine mtu umwazime gari aigongeshe uvunguni breki zifeli kukamata alafu asikwambie ?