Mimi nadhan wewe ndio mjinga. Umerely kwenye mere words za mtoa ufafanuzi (Tuntemeke) Utadhan yeye ndio spokesman wa wizara. Usiwe mvivu, information za kazi ya NiMR zipo wazi, majukumu yake yapo wazi. Kukisaidia bofya hapa (
NIMR Tanzania).
Hakuna popote palipoandikwa kuwa utafiti unapaswa upelekwe kwanza wizarani ndio uwe published. Wote nadhan mnajichanganya, mnachanganya kutoa taarifa ya utafiti juu ya Uwepo wa Zika na Taarifa ya Uwepo wa Zika. Alicho kifanya Dr. Mwele ni kutumia Lugha ambayo kila mtanzania ataielewa juu ya utafiti uliofanywa juu ya uwepo wa zika. Kimsingi kafafanua nini kipo ndan ya huo utafiti huo ambao yeye hakushiriki kuufanya in person.
Yeye km mkurugenz wa shirika hilo anayohaki yote kutangaza matokeo ya tafiti mbali mbali zinazohusiana na afya. Ni moja ya function za nimr.
Utaratibu wa kupublish research findings upo wazi co tu Tanzania Bali duniani. Kutaka watu wapitishe matokeo ya utafiti serikalin kabla ya kiyatangaza nadhan ni kutafuta kuziba midomo watafiti. Watafiti wanapaswa kufanya kazi independently. Kuwaingilia.ni kuparalyze brains za wataalam. Ni kuua fikra za taifa.