Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,345
- 10,885
Taratibu za kutangaza tafiti za kisayansi zipoje mkuu?Taratibu za kutangaza mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu za kutangaza tafiti za kisayansi zipoje mkuu?Taratibu za kutangaza mkuu.
Pitia WHO na wizara ya afya utaonaTaratibu za kutangaza tafiti za kisayansi zipoje mkuu?
Chifu, si useme tu! Kwa hiyo NIMR inawajibika kwa WHO pia? Na je, hilo lipo kwenye sekta ya afya tu?Pitia WHO na wizara ya afya utaona
Tartiiib boss yunus ni m_push! Au unatania tu!Mgaya sio msukuma unajidhalilisha sana
Chifu, si useme tu! Kwa hiyo NIMR inawajibika kwa WHO pia? Na je, hilo lipo kwenye sekta ya afya tu?
Zika na NIMR
Dk. Mwele Ntuli Malecela leo si Mkurugenzi tena wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR). Ikulu leo imemtangaza Profesa Yunus Mgaya kuwa mbadala wake.
Kwanini Mwele kaondolewa? Nimeulizwa hili swali na baadhi ya watu nami nikauliza hapa na pale ili kupata majibu. Na hili ndilo nililoambiwa.
Mosi, kwamba ugonjwa wa Zika upo Tanzania. Ugonjwa huu ulianzia Uganda na upo pia kwetu kwa muda mrefu. Ila upo katika hali iliyodhibitiwa, wataalamu wanaitwa Endemic. Si tatizo kubwa lakini upo.
Lakini Tanzania haina tatizo la ZIKA. Kwa jinsi tatizo la ugonjwa huo lilivyo kubwa, kabla halijatangazwa, kuna taratibu za kufuatwa ikiwamo kuhusisha Serikali na Shirika la Afya Duniani (WHO).
Imefanyika hivi kwa sababu madhara ya kutangaza ugonjwa huo kwa taifa ni makubwa kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Tatizo ni kwamba tangazo la Mwele halikufuata hizo taratibu. Na zaidi, halikuzingatia athari ambazo zingejitokeza kwa yeye kutoa taarifa kama zile.
Kwenye Kiswahili, tofauti ya maneno Endemic na Epidemic ( ugonjwa uliodhibitiwa na uliolipuka) ni ndogo. Ukisema Zika ipo, magazeti yatasema ZIKA imeingia.
Sasa, labda, Rais mwingine, kwenye Serikali nyingine, angeweza ˊkupotezea` tu kauli ile ya Mwele. Lakini binti huyu wa mzee John Malecela hakuwa amesoma vema alama za nyakati.
Hivyo, kwa maana ya kosa, Mwele alikosea. Ishu ya ZIKA haikuwa ya kutangazwa na taasisi yake pekee bila kuhusisha serikali na wadau wengine.
Hivyo, hapa, tatizo si serikali kukataa taarifa ya kitaalamu. Ni kwamba mhusika amekiuka taratibu ambazo zimewekwa. Na huo ugonjwa haujaja sasa hivi. Upo siku nyingi ila umedhibitiwa.
Uelewa ndiyo tatizo. NIMR ni idara au taasisi ya selikari. Kwa hiyo mmiliki ni selikari. Wewe utumwe na mtu nifanyie kazi hii na ukishafanya wewe huyo huyo mbio kwa waandishi wa habari kutangaza kabla ya kumpa mrejesho aliekutuma. Ni sahihi?Kama kila tafiti lazima zipitie ofisi za wakubwa basi tafiti nyingi nzuri hatutazisikia kamwe!!
Mgaya huyo si Msukuma. Usiseme kitu kama huna uhakika nacho.Mwele pisha njia msukuma mgaya piga kaz
Comment yako ya mwisho imenifanya nicheke.Shida kubwa iko kwenye utaratibu wa kugawana vyeo, hiyo nafasi ilipaswa kutangazwa na watu waombe ili atakayepatikana ajue ana ripoti kwa nini?
Sasa waziri wa Afya anateuliwa na Raisi na Dr Mwele kateuliwa Raisi hapo wote wana ndevu, Dr. mwele ataripoti kwa nani?
Sidhan atua alizochukuliwa ni stahili.
Ilipaswa watafute siku nyingine waweke Mambo sawa.
Sasa sipati picha ugonjwaa huu ukilipuka sijui huyo Pogba atasema nini?
Mbona hapo Uganda inatambulika ZIKA ipo lkn mnayosema sijui matatizo ya kiuchumi, kijamii hatuyaoni?
Tuache Ushamba!!
Binti wa kigogo alijisahau kidogo. Teheheheheeeee. Si unafahamu aligombea Urahisi? Alidhani ndo keshakuwa so anaweza fanya hayo alofanya.Hv huyu Dr. Mwele alikuwa hafahamu taratibu au kimemkuta nn? au jinamizi limeikuta familia hii. Kwani angekaa kimya ingekuwaje
Lumumba naona leo umeamua kuweka ushabiki pembeni na kuamua kuongea pointhakuna kosa lolote alilofanya zaidi ya kudidimiza ubunivu na kujituma kwa wafanyakazi wetu , na hii si dalili njema kwa watendaji wa serikali
sijaona kosa lake basi tu ndio serikali yetu hiiwanapewa madaraka ya nini kama hawaruhusiwi kutoa tafiti zake? basi taasisi zote ziongozwe na kurugenzi ya ikulu.
watalii sual la uwepo wa virusi Tz walilijua zamanii, sisi tu ndiyo tulikuwa gizani. kumtumbua Mwele ndiyo wamechochea moto, kila sehemu wanaongelea zika.Mkuu TUNTEMEKE umeweka suala hili vyema kabisa. Athari kwa uchumi wa nchi yetu zitakuwa kubwa baada ya hilo tangazo. Kenya sasa hivi kila chombo cha habari kinatangaza kwamba Tanzania kuna ZIKA. Watalii wataikimbia Tanzania. Kenya sasa wanatumia rungu la Mwele kutuchapa sawia. Huyu mama nilimheshimu wakati anashughulikia magonjwa ya mtende na ngirimaji, labda angebaki hukohuko.
Ahaa kama upo Geita inamaana na Chato upo. !Kilichowaudhi zaidi utafiti huo umehusisha na Geita, hapo ndiyo tatizo lilipoanzia