Kosa kubwa la Malecela wa NIMR: Rais kaona mbali athari za ZIKA

Kosa kubwa la Malecela wa NIMR: Rais kaona mbali athari za ZIKA

Ndo nyie ambao mnawaficha wake zenu kumbe mmezaa nje na Malaya eti kisa ndoa yako ina Amani ...
Na siku akijua timbwili lake hapana chezea (bora u mwambie msolve maisha yaendelee)
ha ha ha... ni lazima umwambie lakin kuna timing pia, sio unamwambia wakati unaona ana ujauzito wa miez 8, akipata mshituko mimba ikaharibika je!..

mkurugenzi wa nimr katumia njia mbaya kufikisha ujumbe..
 
mhh... bhas naanza kuamini kuwa kuna wagonjwa wengi wa kipindupindu ila wanafichwa na kulazwa pamoja na watu wazima, ukitangaza upo, bhas kibarua chako kina.....
Dah,, shemeji ako kantibua sana leo... Ila kwa Hili imebidi nicheke Teh Teh Teh..
[HASHTAG]#borakukaakimyakulikokusemaukweli[/HASHTAG]
 
Zika na NIMR

Dk. Mwele Ntuli Malecela leo si Mkurugenzi tena wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR). Ikulu leo imemtangaza Profesa Yunus Mgaya kuwa mbadala wake.

Kwanini Mwele kaondolewa? Nimeulizwa hili swali na baadhi ya watu nami nikauliza hapa na pale ili kupata majibu. Na hili ndilo nililoambiwa.

Mosi, kwamba ugonjwa wa Zika upo Tanzania. Ugonjwa huu ulianzia Uganda na upo pia kwetu kwa muda mrefu. Ila upo katika hali iliyodhibitiwa, wataalamu wanaitwa Endemic. Si tatizo kubwa lakini upo.

Lakini Tanzania haina tatizo la ZIKA. Kwa jinsi tatizo la ugonjwa huo lilivyo kubwa, kabla halijatangazwa, kuna taratibu za kufuatwa ikiwamo kuhusisha Serikali na Shirika la Afya Duniani (WHO).

Imefanyika hivi kwa sababu madhara ya kutangaza ugonjwa huo kwa taifa ni makubwa kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Tatizo ni kwamba tangazo la Mwele halikufuata hizo taratibu. Na zaidi, halikuzingatia athari ambazo zingejitokeza kwa yeye kutoa taarifa kama zile.

Kwenye Kiswahili, tofauti ya maneno Endemic na Epidemic ( ugonjwa uliodhibitiwa na uliolipuka) ni ndogo. Ukisema Zika ipo, magazeti yatasema ZIKA imeingia.

Sasa, labda, Rais mwingine, kwenye Serikali nyingine, angeweza ˊkupotezea` tu kauli ile ya Mwele. Lakini binti huyu wa mzee John Malecela hakuwa amesoma vema alama za nyakati.

Hivyo, kwa maana ya kosa, Mwele alikosea. Ishu ya ZIKA haikuwa ya kutangazwa na taasisi yake pekee bila kuhusisha serikali na wadau wengine.

Hivyo, hapa, tatizo si serikali kukataa taarifa ya kitaalamu. Ni kwamba mhusika amekiuka taratibu ambazo zimewekwa. Na huo ugonjwa haujaja sasa hivi. Upo siku nyingi ila umedhibitiwa.

Kwa hiyo sasa kwa kumfukuza kazi ndio serikali imepata suluhisho la ZIKA? Whether it's Endemic or Epidemic, it's important to deal with problem and find the solution first before dealing with a Post. Nafikiri shida ya sasa ipo kwenye post za serikali kuliko utatuzi/ufumbuzi wa matatizo yaliyopo!
 
Uelewa ndiyo tatizo. NIMR ni idara au taasisi ya selikari. Kwa hiyo mmiliki ni selikari. Wewe utumwe na mtu nifanyie kazi hii na ukishafanya wewe huyo huyo mbio kwa waandishi wa habari kutangaza kabla ya kumpa mrejesho aliekutuma. Ni sahihi?

Sio sahihi kabisa.
 
Uzuri wa Watanzania wanapiga kelele mtandaoni basi wanakula wanalala maisha yanaendelea..
 
Zika na NIMR

Dk. Mwele Ntuli Malecela leo si Mkurugenzi tena wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR). Ikulu leo imemtangaza Profesa Yunus Mgaya kuwa mbadala wake.

Kwanini Mwele kaondolewa? Nimeulizwa hili swali na baadhi ya watu nami nikauliza hapa na pale ili kupata majibu. Na hili ndilo nililoambiwa.

Mosi, kwamba ugonjwa wa Zika upo Tanzania. Ugonjwa huu ulianzia Uganda na upo pia kwetu kwa muda mrefu. Ila upo katika hali iliyodhibitiwa, wataalamu wanaitwa Endemic. Si tatizo kubwa lakini upo.

Lakini Tanzania haina tatizo la ZIKA. Kwa jinsi tatizo la ugonjwa huo lilivyo kubwa, kabla halijatangazwa, kuna taratibu za kufuatwa ikiwamo kuhusisha Serikali na Shirika la Afya Duniani (WHO).

Imefanyika hivi kwa sababu madhara ya kutangaza ugonjwa huo kwa taifa ni makubwa kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Tatizo ni kwamba tangazo la Mwele halikufuata hizo taratibu. Na zaidi, halikuzingatia athari ambazo zingejitokeza kwa yeye kutoa taarifa kama zile.

Kwenye Kiswahili, tofauti ya maneno Endemic na Epidemic ( ugonjwa uliodhibitiwa na uliolipuka) ni ndogo. Ukisema Zika ipo, magazeti yatasema ZIKA imeingia.

Sasa, labda, Rais mwingine, kwenye Serikali nyingine, angeweza ˊkupotezea` tu kauli ile ya Mwele. Lakini binti huyu wa mzee John Malecela hakuwa amesoma vema alama za nyakati.

Hivyo, kwa maana ya kosa, Mwele alikosea. Ishu ya ZIKA haikuwa ya kutangazwa na taasisi yake pekee bila kuhusisha serikali na wadau wengine.

Hivyo, hapa, tatizo si serikali kukataa taarifa ya kitaalamu. Ni kwamba mhusika amekiuka taratibu ambazo zimewekwa. Na huo ugonjwa haujaja sasa hivi. Upo siku nyingi ila umedhibitiwa.
"Ugonjwa wa Zika upo Tanzania.......Zika sio tatizo Tanzania", mtu mmoja unaongea kauli zinazokinzana, ebu tulia ulale ukue
 
Mungu atuepushe na magonjwa yote,hatuhitaji magonjwa.Tunahitaji kuishi bila magonjwa na ndio ahadi ya Mungu kwetu.!
 
wanapewa madaraka ya nini kama hawaruhusiwi kutoa tafiti zake? basi taasisi zote ziongozwe na kurugenzi ya ikulu.
Mkuu hata huko kwa role model wetu USA wana categories za disaster na natural harzards ambazo kuna vigezo lazima vizingatiwe ili kuvitangaza public.
 
Mbona na ww unakuwa mjinga kiasi hicho jamaa hapo katoa ufafanuzi mzuri kwamba kuna utaratibu unatakiwa kabla ya kutangaza tatizo kama hilo ikiwapo pamoja na kuijulisha serikali na WHO, watz mbona wengine uwezo wa kuelewa ni mdogo sana au unafurahi kuchangia bila hata kutafakari au ndiyo mlioajiriwa kukosoa kila kitu ? Very stupid
Mkuu wote hao ni vijana wa ukawa ambao wanaweza hata kujiteka ili kutafuta kiki
 
Zika na NIMR

Dk. Mwele Ntuli Malecela leo si Mkurugenzi tena wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR). Ikulu leo imemtangaza Profesa Yunus Mgaya kuwa mbadala wake.

Kwanini Mwele kaondolewa? Nimeulizwa hili swali na baadhi ya watu nami nikauliza hapa na pale ili kupata majibu. Na hili ndilo nililoambiwa.

Mosi, kwamba ugonjwa wa Zika upo Tanzania. Ugonjwa huu ulianzia Uganda na upo pia kwetu kwa muda mrefu. Ila upo katika hali iliyodhibitiwa, wataalamu wanaitwa Endemic. Si tatizo kubwa lakini upo.

Lakini Tanzania haina tatizo la ZIKA. Kwa jinsi tatizo la ugonjwa huo lilivyo kubwa, kabla halijatangazwa, kuna taratibu za kufuatwa ikiwamo kuhusisha Serikali na Shirika la Afya Duniani (WHO).

Imefanyika hivi kwa sababu madhara ya kutangaza ugonjwa huo kwa taifa ni makubwa kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Tatizo ni kwamba tangazo la Mwele halikufuata hizo taratibu. Na zaidi, halikuzingatia athari ambazo zingejitokeza kwa yeye kutoa taarifa kama zile.

Kwenye Kiswahili, tofauti ya maneno Endemic na Epidemic ( ugonjwa uliodhibitiwa na uliolipuka) ni ndogo. Ukisema Zika ipo, magazeti yatasema ZIKA imeingia.

Sasa, labda, Rais mwingine, kwenye Serikali nyingine, angeweza ˊkupotezea` tu kauli ile ya Mwele. Lakini binti huyu wa mzee John Malecela hakuwa amesoma vema alama za nyakati.

Hivyo, kwa maana ya kosa, Mwele alikosea. Ishu ya ZIKA haikuwa ya kutangazwa na taasisi yake pekee bila kuhusisha serikali na wadau wengine.

Hivyo, hapa, tatizo si serikali kukataa taarifa ya kitaalamu. Ni kwamba mhusika amekiuka taratibu ambazo zimewekwa. Na huo ugonjwa haujaja sasa hivi. Upo siku nyingi ila umedhibitiwa.
Kila siku tunalia ripoti za uchunguzi ziweke hadharani leo wameweka mmegeuka tena kuwa mkurugezi aliyetoa ripoti kwa umma kakosea. watu vigeugeu jaaman au anachosema tembo siku zote ni sahihi. mhm jitegemee kwa fikra aisee
 
ukikiangalia kichwa cha mkuu wa kaya night uthibitisho tosha zika iko Tanzania siku nyingi sana na ushakomaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah,, shemeji ako kantibua sana leo... Ila kwa Hili imebidi nicheke Teh Teh Teh..
[HASHTAG]#borakukaakimyakulikokusemaukweli[/HASHTAG]
duuuhh.. pole mzazi, mi mwenyew nilishindwa kujizuia ndio nikajikuta naanza kuamini hivi
 
Dah,, shemeji ako kantibua sana leo... Ila kwa Hili imebidi nicheke Teh Teh Teh..
[HASHTAG]#borakukaakimyakulikokusemaukweli[/HASHTAG]
duuuhh.. pole mzazi, mi mwenyew nilishindwa kujizuia ndio nikajikuta naanza kuamini hivi
 
Back
Top Bottom