Kosa kubwa la mkataba wa DP World na Tanzania ni hili hapa tu, na ndilo linaloweza kuuvunja mkataba

Kosa kubwa la mkataba wa DP World na Tanzania ni hili hapa tu, na ndilo linaloweza kuuvunja mkataba

Mr Lukwaro

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
359
Reaction score
629
Ukweli ni kwamba ,Mkataba ni mzuri japo unayo mapungufu yake mengi tu hii haipingiki.

Nimegundua shida zote hizi zinatokana na Ujanja unjanja wa serikali lakini sio mkataba wenyewe. Mkataba upo very technical hivyo sio rahisi kila mwanasheria au mwananchi kuuelewa kwa urahisi, Inahitaji umakini mkubwa wakati unasoma kila aina ya vifungu vya sheria

Najua mtakubaliana na mm kwamba huu sio IGA ya kwanza kufanywa na Serikali ,ila sasa shida ni kwamba wanafanya mambo kienyeji na sasa wameumbuka, mana kila Mkataba kumbe ulihitaji RETIFICATION ya Bunge na wao sio mara zote wamekuwa wanafanya hivo na This round imeshindikana. Naamini wamejifunza kitu.

Twende mbele turudi nyuma ,Waswahili wanasema ""Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni"" , Nikweli serikali yetu imechemka , Lakini wengi wanashindwa kujua hasa kosa liko wapi

Kwenye Huo mkataba Article 25 (2) of IGA, Imesema """ili mkataba huo uingie kwenye Enforcement na Implementations ni lazima State parties wafanye RATIFICATION , kwa mujibu wa sheria zao , either na Bunge au mahakama. Hichi kitu HAKIKU FANYIKA.

Zipi zilikuwa Faida za RATIFICATION.
1. Kupata baraka za Bunge
2. Kupata maoni ya wananchi.
- Hii ndio point yangu ya Msingi, Bungeni ni sehemu ya wawakilishi wa wananchi, Endapo wabunge wakipitisha jambo kwa kulingana na Maoni ya wananchi haya yote yasinge tokea.


¶∆Ratification iliyofanyika ni ya kienyeji sana ,
  • kwanza mkataba ulisainiwa tangu mwaka Jana na hawakuupeleka bungeni Within 30 days for Ratification kama Hiyo IGA inavoelekeza.
  • Hapakuwa na Reasonable time kwa wabunge kuchangia ,kuuchambua na Kukusanya maoni kutoka kwa wananchi wao Tanzania nzima , pamoja na Wadau muhimu katika nyanja zinazoguswa na Mkataba huo ,kama vile
a. wanasheria.
b. wasomi mbalimbali.
c. Taasisi muhimu za maswala ya Uwekezaji na Bandari kama vile Vyuo Vikuu

Hivyo Kutokana na Sababu hapo juu, Hakukua na Haja ya kuwa na kesi ya kubatilisha mkataba mana kama ukirebishwa hauna shida. Hivyo Jambo lilikuwa moja tu , Kuiomba mahakama STOP ORDER ( Injunction ) Ili huu mkataba usiendelee kufanya kazi kwa sababu ya "DELAY in Ratification yake"

Simple way baada ya Injunction ,Mahakama i toe amri ya Kuzuia all performance ya Mkataba .

Urudi Bungeni, Wabunge wapewe muda wakutosha wa kuchangia kuhusu mkataba na kukusanya maoni kutoka kwa wananchi wao.

Kamati za Bunge zifungue dirisha ,za kukusanya maoni kutoka kwa wadau muhimu kama Wanasheria , TLS , Wasomi na watu wengine( Hapa ndio Hoja za Kina Wakili Mwabukusi zingeingia) Baada ya Hapo maoni yote yawasilishwe bungeni, Bunge liamue je Mkataba unamanufaa na nisahihi kwa wananchi wao Au Laa , Kama wakiona Haufai basi utakuwa Hauna Ratification ,Hivyo hauwezi kufanyika kwasababu umeenda kinyume na Makubaliano yao Wenyewe kwamba , Ili mkataba uwe kwenye Enforce na Implementation ni Lazima uwe Ratified na Bunge au Mahakama

Kuishinda serikali ni ngumu na wakicheza hata mapendekezo yao yanaweza yasifanyiwe kazi.
 

Attachments

  • Screenshot_2023-08-06-14-39-02-22.jpg
    Screenshot_2023-08-06-14-39-02-22.jpg
    31.9 KB · Views: 3
Hii kitu hakijawah pewa nafas na Kamwe hakitapewa nafas bali kupelekwa bungeni chaap cz ni uhakika kupitishwa baaasi!!
Room ya kupokea maoni ingekuwepo. Watu wakipigwa chini mahakamani ndo basi tena ujue
 
Room ya kupokea maoni ingekuwepo. Watu wakipigwa chini mahakamani ndo basi tena ujue
Herehoa! Nimesema hakiwezekan cz hakuna utaratib huo kwa watawatala na hawataki hiyo kitu kbs wanaona watachelewa kufanya yao!!
 
Ukweli ni kwamba ,Mkataba ni mzuri japo unayo mapungufu yake mengi tu hii haipingiki.

Nimegundua shida zote hizi zinatokana na Ujanja unjanja wa serikali lakini sio mkataba wenyewe. Mkataba upo very technical hivyo sio rahisi kila mwanasheria au mwananchi kuuelewa kwa urahisi, Inahitaji umakini mkubwa wakati unasoma kila aina ya vifungu vya sheria

Najua mtakubaliana na mm kwamba huu sio IGA ya kwanza kufanywa na Serikali ,ila sasa shida ni kwamba wanafanya mambo kienyeji na sasa wameumbuka, mana kila Mkataba kumbe ulihitaji RETIFICATION ya Bunge na wao sio mara zote wamekuwa wanafanya hivo na This round imeshindikana. Naamini wamejifunza kitu.

Twende mbele turudi nyuma ,Waswahili wanasema ""Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni"" , Nikweli serikali yetu imechemka , Lakini wengi wanashindwa kujua hasa kosa liko wapi

Kwenye Huo mkataba Article 25 (2) of IGA, Imesema """ili mkataba huo uingie kwenye Enforcement na Implementations ni lazima State parties wafanye RATIFICATION , kwa mujibu wa sheria zao , either na Bunge au mahakama. Hichi kitu HAKIKU FANYIKA.

Zipi zilikuwa Faida za RATIFICATION.
1. Kupata baraka za Bunge
2. Kupata maoni ya wananchi.
- Hii ndio point yangu ya Msingi, Bungeni ni sehemu ya wawakilishi wa wananchi, Endapo wabunge wakipitisha jambo kwa kulingana na Maoni ya wananchi haya yote yasinge tokea.


¶∆Ratification iliyofanyika ni ya kienyeji sana ,
  • kwanza mkataba ulisainiwa tangu mwaka Jana na hawakuupeleka bungeni Within 30 days for Ratification kama Hiyo IGA inavoelekeza.
  • Hapakuwa na Reasonable time kwa wabunge kuchangia ,kuuchambua na Kukusanya maoni kutoka kwa wananchi wao Tanzania nzima , pamoja na Wadau muhimu katika nyanja zinazoguswa na Mkataba huo ,kama vile
a. wanasheria.
b. wasomi mbalimbali.
c. Taasisi muhimu za maswala ya Uwekezaji na Bandari kama vile Vyuo Vikuu

Hivyo Kutokana na Sababu hapo juu, Hakukua na Haja ya kuwa na kesi ya kubatilisha mkataba mana kama ukirebishwa hauna shida. Hivyo Jambo lilikuwa moja tu , Kuiomba mahakama STOP ORDER ( Injunction ) Ili huu mkataba usiendelee kufanya kazi kwa sababu ya "DELAY in Ratification yake"

Simple way baada ya Injunction ,Mahakama i toe amri ya Kuzuia all performance ya Mkataba .

Urudi Bungeni, Wabunge wapewe muda wakutosha wa kuchangia kuhusu mkataba na kukusanya maoni kutoka kwa wananchi wao.

Kamati za Bunge zifungue dirisha ,za kukusanya maoni kutoka kwa wadau muhimu kama Wanasheria , TLS , Wasomi na watu wengine( Hapa ndio Hoja za Kina Wakili Mwabukusi zingeingia) Baada ya Hapo maoni yote yawasilishwe bungeni, Bunge liamue je Mkataba unamanufaa na nisahihi kwa wananchi wao Au Laa , Kama wakiona Haufai basi utakuwa Hauna Ratification ,Hivyo hauwezi kufanyika kwasababu umeenda kinyume na Makubaliano yao Wenyewe kwamba , Ili mkataba uwe kwenye Enforce na Implementation ni Lazima uwe Ratified na Bunge au Mahakama

Kuishinda serikali ni ngumu na wakicheza hata mapendekezo yao yanaweza yasifanyiwe kazi.
Mimi huwa sielewi watu wenye ndimi mbili. Sentensi ya kwanza tu: “Mkataba ni mzuri ila una mapungufu mengi. Next time acha ukanjanja. Kama ni mzuri Sema ni mzuri na kama ni mbaya sema ni mbaya. Siyo mzuri mbaya.
 
Mimi huwa sielewi watu wenye ndimi mbili. Sentensi ya kwanza tu: “Mkataba ni mzuri ila una mapungufu mengi. Next time acha ukanjanja. Kama ni mzuri Sema ni mzuri na kama ni mbaya sema ni mbaya. Siyo mzuri mbaya.
mkataba una mazuri na mabaya yake mkuu, Huwezi enda na Mkumbo kama Jinga kutembea na mabango huutaki mkataba wakati ipo Remedy ngine nzuri tu
 
Ukweli ni kwamba ,Mkataba ni mzuri japo unayo mapungufu yake mengi tu hii haipingiki.

Nimegundua shida zote hizi zinatokana na Ujanja unjanja wa serikali lakini sio mkataba wenyewe. Mkataba upo very technical hivyo sio rahisi kila mwanasheria au mwananchi kuuelewa kwa urahisi, Inahitaji umakini mkubwa wakati unasoma kila aina ya vifungu vya sheria

Najua mtakubaliana na mm kwamba huu sio IGA ya kwanza kufanywa na Serikali ,ila sasa shida ni kwamba wanafanya mambo kienyeji na sasa wameumbuka, mana kila Mkataba kumbe ulihitaji RETIFICATION ya Bunge na wao sio mara zote wamekuwa wanafanya hivo na This round imeshindikana. Naamini wamejifunza kitu.

Twende mbele turudi nyuma ,Waswahili wanasema ""Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni"" , Nikweli serikali yetu imechemka , Lakini wengi wanashindwa kujua hasa kosa liko wapi

Kwenye Huo mkataba Article 25 (2) of IGA, Imesema """ili mkataba huo uingie kwenye Enforcement na Implementations ni lazima State parties wafanye RATIFICATION , kwa mujibu wa sheria zao , either na Bunge au mahakama. Hichi kitu HAKIKU FANYIKA.

Zipi zilikuwa Faida za RATIFICATION.
1. Kupata baraka za Bunge
2. Kupata maoni ya wananchi.
- Hii ndio point yangu ya Msingi, Bungeni ni sehemu ya wawakilishi wa wananchi, Endapo wabunge wakipitisha jambo kwa kulingana na Maoni ya wananchi haya yote yasinge tokea.


¶∆Ratification iliyofanyika ni ya kienyeji sana ,
  • kwanza mkataba ulisainiwa tangu mwaka Jana na hawakuupeleka bungeni Within 30 days for Ratification kama Hiyo IGA inavoelekeza.
  • Hapakuwa na Reasonable time kwa wabunge kuchangia ,kuuchambua na Kukusanya maoni kutoka kwa wananchi wao Tanzania nzima , pamoja na Wadau muhimu katika nyanja zinazoguswa na Mkataba huo ,kama vile
a. wanasheria.
b. wasomi mbalimbali.
c. Taasisi muhimu za maswala ya Uwekezaji na Bandari kama vile Vyuo Vikuu

Hivyo Kutokana na Sababu hapo juu, Hakukua na Haja ya kuwa na kesi ya kubatilisha mkataba mana kama ukirebishwa hauna shida. Hivyo Jambo lilikuwa moja tu , Kuiomba mahakama STOP ORDER ( Injunction ) Ili huu mkataba usiendelee kufanya kazi kwa sababu ya "DELAY in Ratification yake"

Simple way baada ya Injunction ,Mahakama i toe amri ya Kuzuia all performance ya Mkataba .

Urudi Bungeni, Wabunge wapewe muda wakutosha wa kuchangia kuhusu mkataba na kukusanya maoni kutoka kwa wananchi wao.

Kamati za Bunge zifungue dirisha ,za kukusanya maoni kutoka kwa wadau muhimu kama Wanasheria , TLS , Wasomi na watu wengine( Hapa ndio Hoja za Kina Wakili Mwabukusi zingeingia) Baada ya Hapo maoni yote yawasilishwe bungeni, Bunge liamue je Mkataba unamanufaa na nisahihi kwa wananchi wao Au Laa , Kama wakiona Haufai basi utakuwa Hauna Ratification ,Hivyo hauwezi kufanyika kwasababu umeenda kinyume na Makubaliano yao Wenyewe kwamba , Ili mkataba uwe kwenye Enforce na Implementation ni Lazima uwe Ratified na Bunge au Mahakama

Kuishinda serikali ni ngumu na wakicheza hata mapendekezo yao yanaweza yasifanyiwe kazi.
Twende mbele turudi nyuma ,Waswahili wanasema ""Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni"" , Nikweli serikali yetu imechemka , Lakini wengi wanashindwa kujua hasa kosa liko wapi[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba ,Mkataba ni mzuri japo unayo mapungufu yake mengi tu hii haipingiki.

Nimegundua shida zote hizi zinatokana na Ujanja unjanja wa serikali lakini sio mkataba wenyewe. Mkataba upo very technical hivyo sio rahisi kila mwanasheria au mwananchi kuuelewa kwa urahisi, Inahitaji umakini mkubwa wakati unasoma kila aina ya vifungu vya sheria

Najua mtakubaliana na mm kwamba huu sio IGA ya kwanza kufanywa na Serikali ,ila sasa shida ni kwamba wanafanya mambo kienyeji na sasa wameumbuka, mana kila Mkataba kumbe ulihitaji RETIFICATION ya Bunge na wao sio mara zote wamekuwa wanafanya hivo na This round imeshindikana. Naamini wamejifunza kitu.

Twende mbele turudi nyuma ,Waswahili wanasema ""Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni"" , Nikweli serikali yetu imechemka , Lakini wengi wanashindwa kujua hasa kosa liko wapi

Kwenye Huo mkataba Article 25 (2) of IGA, Imesema """ili mkataba huo uingie kwenye Enforcement na Implementations ni lazima State parties wafanye RATIFICATION , kwa mujibu wa sheria zao , either na Bunge au mahakama. Hichi kitu HAKIKU FANYIKA.

Zipi zilikuwa Faida za RATIFICATION.
1. Kupata baraka za Bunge
2. Kupata maoni ya wananchi.
- Hii ndio point yangu ya Msingi, Bungeni ni sehemu ya wawakilishi wa wananchi, Endapo wabunge wakipitisha jambo kwa kulingana na Maoni ya wananchi haya yote yasinge tokea.


¶∆Ratification iliyofanyika ni ya kienyeji sana ,
  • kwanza mkataba ulisainiwa tangu mwaka Jana na hawakuupeleka bungeni Within 30 days for Ratification kama Hiyo IGA inavoelekeza.
  • Hapakuwa na Reasonable time kwa wabunge kuchangia ,kuuchambua na Kukusanya maoni kutoka kwa wananchi wao Tanzania nzima , pamoja na Wadau muhimu katika nyanja zinazoguswa na Mkataba huo ,kama vile
a. wanasheria.
b. wasomi mbalimbali.
c. Taasisi muhimu za maswala ya Uwekezaji na Bandari kama vile Vyuo Vikuu

Hivyo Kutokana na Sababu hapo juu, Hakukua na Haja ya kuwa na kesi ya kubatilisha mkataba mana kama ukirebishwa hauna shida. Hivyo Jambo lilikuwa moja tu , Kuiomba mahakama STOP ORDER ( Injunction ) Ili huu mkataba usiendelee kufanya kazi kwa sababu ya "DELAY in Ratification yake"

Simple way baada ya Injunction ,Mahakama i toe amri ya Kuzuia all performance ya Mkataba .

Urudi Bungeni, Wabunge wapewe muda wakutosha wa kuchangia kuhusu mkataba na kukusanya maoni kutoka kwa wananchi wao.

Kamati za Bunge zifungue dirisha ,za kukusanya maoni kutoka kwa wadau muhimu kama Wanasheria , TLS , Wasomi na watu wengine( Hapa ndio Hoja za Kina Wakili Mwabukusi zingeingia) Baada ya Hapo maoni yote yawasilishwe bungeni, Bunge liamue je Mkataba unamanufaa na nisahihi kwa wananchi wao Au Laa , Kama wakiona Haufai basi utakuwa Hauna Ratification ,Hivyo hauwezi kufanyika kwasababu umeenda kinyume na Makubaliano yao Wenyewe kwamba , Ili mkataba uwe kwenye Enforce na Implementation ni Lazima uwe Ratified na Bunge au Mahakama

Kuishinda serikali ni ngumu na wakicheza hata mapendekezo yao yanaweza yasifanyiwe kazi.
Ndio maana hata Mahakama itaamua in favour of Serikali japo itatoka Ushauri
 
Boss this is too late to halt the process.Mkataba umekwisha anza.Tukubali tumepigwa
 
Nimegundua shida zote hizi zinatokana na Ujanja unjanja wa serikali lakini sio mkataba wenyewe. Mkataba upo very technical hivyo sio rahisi kila mwanasheria au mwananchi kuuelewa kwa urahisi, Inahitaji umakini mkubwa wakati unasoma kila aina ya vifungu vya sheria
Mada nzima umeiharibia hapa hapa.
Unadhani wewe unazo akili za ziada kuliko wengine wote wanaopinga?
Hovyo kabisa.

Kuna 'rocket' sayansi gani katika maswala ya kisheria yanayohusu mikataba hadi watu wasiweze kujua uzuri au ubaya wake?
 
Mimi huwa sielewi watu wenye ndimi mbili. Sentensi ya kwanza tu: “Mkataba ni mzuri ila una mapungufu mengi. Next time acha ukanjanja. Kama ni mzuri Sema ni mzuri na kama ni mbaya sema ni mbaya. Siyo mzuri mbaya.
Watu wa aina hii ni wanafiki wakubwa. Wanataka kufurahisha kila kundi, huku wenyewe wakiwa hawana lolote wanalolisimamia maishani mwao.
Wapo wengi humu JF, na huyu kajiongeza kwenye orodha hiyo.
 
Ukweli ni kwamba ,Mkataba ni mzuri japo unayo mapungufu yake mengi tu hii haipingiki.

Nimegundua shida zote hizi zinatokana na Ujanja unjanja wa serikali lakini sio mkataba wenyewe. Mkataba upo very technical hivyo sio rahisi kila mwanasheria au mwananchi kuuelewa kwa urahisi, Inahitaji umakini mkubwa wakati unasoma kila aina ya vifungu vya sheria

Najua mtakubaliana na mm kwamba huu sio IGA ya kwanza kufanywa na Serikali ,ila sasa shida ni kwamba wanafanya mambo kienyeji na sasa wameumbuka, mana kila Mkataba kumbe ulihitaji RETIFICATION ya Bunge na wao sio mara zote wamekuwa wanafanya hivo na This round imeshindikana. Naamini wamejifunza kitu.

Twende mbele turudi nyuma ,Waswahili wanasema ""Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni"" , Nikweli serikali yetu imechemka , Lakini wengi wanashindwa kujua hasa kosa liko wapi

Kwenye Huo mkataba Article 25 (2) of IGA, Imesema """ili mkataba huo uingie kwenye Enforcement na Implementations ni lazima State parties wafanye RATIFICATION , kwa mujibu wa sheria zao , either na Bunge au mahakama. Hichi kitu HAKIKU FANYIKA.

Zipi zilikuwa Faida za RATIFICATION.
1. Kupata baraka za Bunge
2. Kupata maoni ya wananchi.
- Hii ndio point yangu ya Msingi, Bungeni ni sehemu ya wawakilishi wa wananchi, Endapo wabunge wakipitisha jambo kwa kulingana na Maoni ya wananchi haya yote yasinge tokea.


¶∆Ratification iliyofanyika ni ya kienyeji sana ,
  • kwanza mkataba ulisainiwa tangu mwaka Jana na hawakuupeleka bungeni Within 30 days for Ratification kama Hiyo IGA inavoelekeza.
  • Hapakuwa na Reasonable time kwa wabunge kuchangia ,kuuchambua na Kukusanya maoni kutoka kwa wananchi wao Tanzania nzima , pamoja na Wadau muhimu katika nyanja zinazoguswa na Mkataba huo ,kama vile
a. wanasheria.
b. wasomi mbalimbali.
c. Taasisi muhimu za maswala ya Uwekezaji na Bandari kama vile Vyuo Vikuu

Hivyo Kutokana na Sababu hapo juu, Hakukua na Haja ya kuwa na kesi ya kubatilisha mkataba mana kama ukirebishwa hauna shida. Hivyo Jambo lilikuwa moja tu , Kuiomba mahakama STOP ORDER ( Injunction ) Ili huu mkataba usiendelee kufanya kazi kwa sababu ya "DELAY in Ratification yake"

Simple way baada ya Injunction ,Mahakama i toe amri ya Kuzuia all performance ya Mkataba .

Urudi Bungeni, Wabunge wapewe muda wakutosha wa kuchangia kuhusu mkataba na kukusanya maoni kutoka kwa wananchi wao.

Kamati za Bunge zifungue dirisha ,za kukusanya maoni kutoka kwa wadau muhimu kama Wanasheria , TLS , Wasomi na watu wengine( Hapa ndio Hoja za Kina Wakili Mwabukusi zingeingia) Baada ya Hapo maoni yote yawasilishwe bungeni, Bunge liamue je Mkataba unamanufaa na nisahihi kwa wananchi wao Au Laa , Kama wakiona Haufai basi utakuwa Hauna Ratification ,Hivyo hauwezi kufanyika kwasababu umeenda kinyume na Makubaliano yao Wenyewe kwamba , Ili mkataba uwe kwenye Enforce na Implementation ni Lazima uwe Ratified na Bunge au Mahakama

Kuishinda serikali ni ngumu na wakicheza hata mapendekezo yao yanaweza yasifanyiwe kazi.
Kwani huu ndio mkataba wa Mwisho hapa Duniani ? Yaani tukiufuta huu mkataba hatutaweza kupata mwingine
 
Boss this is too late to halt the process.Mkataba umekwisha anza.Tukubali tumepigwa
Kama umekwisha anza Mahakama ya Mbeya ndo itwaeza Kuvunja mkataba kati ya Tanzania na Dubai?😁

Normal logic ni kwamba ,Tumeyakanyaga, Huu sio mda wa kusema upo upande Gani ,Ety wa serikali au Wa Wakili Mwabukusi . Tayri mkataba unatubana ,So kwasababu mkataba unaruhusu mabadiliko ya Mara kwa mara ,Tena mda wowote.

Mkataba urudi bungeni, watu wapeleke maoni yao yanayo tu favour Sisi Watanzania , Yapelekwe katika kamati ya IGA inayokaliwa na Waziri wa Tanzania, Warekebishe mambo yaende sawa.

Huu ni musa wa kujua kitu gani tufanye, sio kupeana Lawama na kutunishiana misuli jamani.
 
Bush lawyers bwana! Eti wewe tu ndiyo umeweza kugundua hiyo technicality kuliko wanasheria wote hapa nchini.

Mtu mwenyewe hujulikani hata na hawara yako. Huku jukwaani umejificha kwenye ID fake ya Moh Lukwaro
 
Jukwaani kila mtu aonyeshe utundu wake. Kama umeusoma huo mkataba kweli, Utaona hiyo point ina mantiki kiasi gani! 🖐️

Kama umeona kuwa sio kweli, React kwa kutoa point yako, Shida yetu tumeshachagua upande, Hatutaki kuchangia kitu gani kifanyike. Hata kesho Mahakama ikasema mkataba ni Batili ,unafikiri ndio Solution?

Hebu tuulizane tufanye nini watanzania🙏🏾❤️🇹🇿
 
Bush lawyers bwana! Eti wewe tu ndiyo umeweza kugundua hiyo technicality kuliko wanasheria wote hapa nchini.

Mtu mwenyewe hujulikani hata na hawara yako. Huku jukwaani umejificha kwenye ID fake ya Moh Lukwaro
usome kama hautaelewa nikuletee Catoon za Masoud kipanya
 

Attachments

  • IMG_20230806_204326.jpg
    IMG_20230806_204326.jpg
    23 KB · Views: 4
Zipi zilikuwa Faida za RATIFICATION.
1. Kupata baraka za Bunge
2. Kupata maoni ya wananchi.
- Hii ndio point yangu ya Msingi, Bungeni ni sehemu ya wawakilishi wa wananchi, Endapo wabunge wakipitisha jambo kwa kulingana na Maoni ya wananchi haya yote yasinge
Unazungumzia wabunge wa bunge lipi kwanza? Hili la mwendazake?
 
Back
Top Bottom