JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Kukosa mtu sahihi wa kurekebisha tatizo la gari lako.
Moja kati ya makosa ambayo nimeyaona kwa kipindi kirefu ni hili.
Mtu anakuwa na mawazo kichwani kwamba Fundi mmoja anaweza kufix matatizo yote kwenye gari yake. (Sisemi kwamba hili haliwezekani, ila linawezekana kwa wale wenye magereji makubwa tu).
Kama mmekutana mtandaoni angalia kazi anazopost halafu linganisha na tatizo. Bila shaka utakuwa na majibu kama atakuwa mtu sahihi wa kusolve tatizo lako au lah.
Sasa watu wengi ataona kwa sababu mtu fulani alieleza kitu fulani vizuri then huyo mtu vitu vingi kwenye gari anaweza. Kitu ambacho siyo sawa.
Kwa mfano mimi ishu nyingi ninazodeal nazo zinahusu Check engine na warning lights zingine lakini kuna watu wanapiga anakuambia bhana gari yangu inagonga kwenye matairi, au nataka kubadilisha kioo cha mbele, au nataka kubadilisha kitasa na mambo mengine ambayo ni irrelevant kwangu.
Point yangu ni kwamba kuna siku utamueleza fundi shida yako ambayo haipo katika kazi ambazo ana ujuzi nazo. Kwa sababu ana shida ya hela atakuambia anaweza. Na huo ndio mwanzo wa kuharibiwa gari.
At least jitahidi kujua kitu fulani kwenye gari yako kikileta shida utampigia nani simu. Siyo tu kumpigia mtu yoyote.
Moja kati ya makosa ambayo nimeyaona kwa kipindi kirefu ni hili.
Mtu anakuwa na mawazo kichwani kwamba Fundi mmoja anaweza kufix matatizo yote kwenye gari yake. (Sisemi kwamba hili haliwezekani, ila linawezekana kwa wale wenye magereji makubwa tu).
Kama mmekutana mtandaoni angalia kazi anazopost halafu linganisha na tatizo. Bila shaka utakuwa na majibu kama atakuwa mtu sahihi wa kusolve tatizo lako au lah.
Sasa watu wengi ataona kwa sababu mtu fulani alieleza kitu fulani vizuri then huyo mtu vitu vingi kwenye gari anaweza. Kitu ambacho siyo sawa.
Kwa mfano mimi ishu nyingi ninazodeal nazo zinahusu Check engine na warning lights zingine lakini kuna watu wanapiga anakuambia bhana gari yangu inagonga kwenye matairi, au nataka kubadilisha kioo cha mbele, au nataka kubadilisha kitasa na mambo mengine ambayo ni irrelevant kwangu.
Point yangu ni kwamba kuna siku utamueleza fundi shida yako ambayo haipo katika kazi ambazo ana ujuzi nazo. Kwa sababu ana shida ya hela atakuambia anaweza. Na huo ndio mwanzo wa kuharibiwa gari.
At least jitahidi kujua kitu fulani kwenye gari yako kikileta shida utampigia nani simu. Siyo tu kumpigia mtu yoyote.