Kosa la Adolph Hitler la Septemba mosi 1939 linataka kurudiwa na Vladimir Putin

Kosa la Adolph Hitler la Septemba mosi 1939 linataka kurudiwa na Vladimir Putin

Marekani ni mtu mwenye akili sana na aliyepata baraka. Hii vita itakuwa tamu sana maana haitachukua zaidi ya mwezi mmoja biashara itaisha

“War is sweet to those who have no experience of it. But the experienced man trembles exceedingly in his heart at its approach.”​

― Pindar

Bonus:
"War does not determine who is right - only who is left"
-Bertrand Russell
 

“War is sweet to those who have no experience of it. But the experienced man trembles exceedingly in his heart at its approach.”​

― Pindar

Bonus:
"War does not determine who is right - only who is left"
-Bertrand Russell
Sidhani kama Putin anao muda wa kusoma hizi falsafa.
 
Tofauti ya Hilter na Putin ni Moja...
mmoja ana Silaha za Nyuklia mwingine hana...

Hitler hakua nayo, angekua nayo dimension ya Second world war ingechange...

No one want to go to a War against a Nuclear Power Nation...vita ikisambaa inaweza kua mwisho wa civilized society as we know it...
Ndo maana hakuna anaeingiliaga kati US akivamia sehem, the Same to Russia now, no one will...watabaki wana bwekea pembeni bt they will never go to a war....Never
 
Ufafanuzi tu: Hitler hakuivamia Austria. Kiasili Austria na Ujerumani ni kama nchi moja wote wana utamaduni mmoja na wanaongea lugha moja. Kilichotokea ni Anschluss au muungano kwa Kijerumani ambapo wananchi wa Austria walipiga kura ya maoni kutaka kuwa chini ya Ujerumani ili ile fikra ya kuwa na Greater Germany itimie. Kwahiyo, huo haukuwa uvamizi.

Pili, uvamizi wa Urusi kule Ukraine hauna lengo la kuikalia Ukraine kimabavu. Sababu zilizomfanya Mrusi atangaze vita dhidi ya Ukraine ndiyo zilezile zilizomfanya Mmarekani atake kuanzisha vita vya nyuklia miaka takriban sitini iliyopita baada ya kugundua uwepo wa makombora ya Urusi ndani ya Cuba (Cuban missile crisis). Kwahiyo Mrusi ana haki ya kujihami.

Hoja ya Uyahudi haina mashiko kwa sababu kuna Mayahudi wengi Urusi kuliko hata huko Ukraine. Hawa akina Abramovic unaowasikia na pengine hata huyo Putin ni Mayahudi pia. Kumbuka waasisi wa mapinduzi ya Urusi ya 1917 akina Lenin, Trosky na wengine wengi walikuwa Mayahudi.
 
Afghanistan kapigana miaka 20 na bado kaondoka kwa aibu; ndio iwe hii?! I know you're not serious.
Mission ya Afghanistan ni Osama bin laden walisha m eliminate,

Mission ya Iraq ni sadam walishamuweka nyavuni

Ukisema hakufanikiwa kwenye hizo mission toa ubongo wako uweke kwenye sinia then uangalie unatatizo gani
 
Mkuu Rais wa Ukraine ni myahudi. Kumbuka hawa watu waliuliwa zaidi ya milioni moja kule Poland hivyo tangu wakati huo wana umoja wa ajabu.

Kuvamia nchi nyingine kwa sababu zisizoingia kichwani ni ngumu sana. Ni kweli si Saddam lakini udikteta wa Hitler kwa karne hakuna atakayeuvumilia.
Wanaoamini Hitler alikuwa dikteta ni mbumbumbu na wasiofanya utafiti,
 
Mkuu Rais wa Ukraine ni myahudi. Kumbuka hawa watu waliuliwa zaidi ya milioni moja kule Poland hivyo tangu wakati huo wana umoja wa ajabu.

Kuvamia nchi nyingine kwa sababu zisizoingia kichwani ni ngumu sana. Ni kweli si Saddam lakini udikteta wa Hitler kwa karne hakuna atakayeuvumilia.
Huwezi kuziita sababu zisizo na kichwa wala miguu... Nadhani wewe bado hujaijua history iliyopo hapo... Nenda kajifunze zaidi...
 
Myahudi mmoja anao mtandao mpana sana wa dunia nzima wa kumtetea. Putin analeta mchezo utakaomharibu na yeye pamoja na Russia anayoingoza.
Hao ma Oligarchy wa Russia kwa taarifa yako wengi wao wana asili ya uyahudi.. Mfano ni Abramovich... Fuatilia historia yake jinsi alivyoingia hapo Moscow... Braza haya mambo usikurupuke kuyaandika... Fanya upembuzi yakinifu.
 
Huwezi kuziita sababu zisizo na kichwa wala miguu... Nadhani wewe bado hujaijua history iliyopo hapo... Nenda kajifunze zaidi...
Kaisome historia ya Ukraine tangu karne ya tano nani alikuwa mwenyeji pale ndio uje uchangie huu uzi.
 
Hao ma Oligarchy wa Russia kwa taarifa yako wengi wao wana asili ya uyahudi.. Mfano ni Abramovich... Fuatilia historia yake jinsi alivyoingia hapo Moscow... Braza haya mambo usikurupuke kuyaandika... Fanya upembuzi yakinifu.
Tunavyoongea Abramovich anaondoka Chelsea anarudi kwao Russia, na huyo ni oligarch mmoja tu bado wengine wanaoendelea kubanwa biashara zao mpaka wanaziona chungu.
 
mama D akigundua Rais wa Ukraine ni Myahudi ataisapoti Ukraine na Marekani!
 
Punguza jazba
Hao wayahudi wako bila mbeleko ya huyo tapeli marekani wana nini?!

Au na wewe ni mmoja wa wanaoamini kuwa hawa matapeli wanaojiita wayahudi ndilo lile tunalosoma kwenye Biblia kama taifa teule la Mungu?
 
mama D akigundua Rais wa Ukraine ni Myahudi ataisapoti Ukraine na Marekani!



Hata Herode na Pilato waliomuua Kristo walikua hivyo na sijawahi support mambo zao
Sijui kwanini hujielewagi
 
Back
Top Bottom