Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Alifanya ivo Georgia, amefanya Crimea, akafanya Moldova, na atafanya UKRAINE.....Putin anajua anachofanya na NATO haitafanya kitu.
Huwezi Ruhusu Ukraine iwe chini ya NATO ,ukijua NATO ni maadui wako na Kwamba ulichukua jimbo La Crimea kinguvu .
What if Ukraine chin ya NATO wakataka kurudisha Jimbo la Crimea kinguv?? Maana yake V.Putin atapambana na NATO.
Kipi bora?? Kuwazuia waukraine wakiwa nje ya NATO au Usubiri Ukraine wawe ndan ya NATO??
Naungana na Warusi wote Dunia nzima, waichabange Ukraine.
Leo umeongea bonge la point sana., big up mkuu Carlos