Kosa la Adolph Hitler la Septemba mosi 1939 linataka kurudiwa na Vladimir Putin

Kosa la Adolph Hitler la Septemba mosi 1939 linataka kurudiwa na Vladimir Putin

Alifanya ivo Georgia, amefanya Crimea, akafanya Moldova, na atafanya UKRAINE.....Putin anajua anachofanya na NATO haitafanya kitu.



Huwezi Ruhusu Ukraine iwe chini ya NATO ,ukijua NATO ni maadui wako na Kwamba ulichukua jimbo La Crimea kinguvu .

What if Ukraine chin ya NATO wakataka kurudisha Jimbo la Crimea kinguv?? Maana yake V.Putin atapambana na NATO.


Kipi bora?? Kuwazuia waukraine wakiwa nje ya NATO au Usubiri Ukraine wawe ndan ya NATO??


Naungana na Warusi wote Dunia nzima, waichabange Ukraine.

Leo umeongea bonge la point sana., big up mkuu Carlos
 
Hujui Pilato alikuwa Mrumi!

Nimeongea kumaanisha ipo nia ya ndani ya mtu inayofanya achukuliwe anavyochukuliwa!? Soma kwa kuelewa
Shida sio unatoka wapi, shida unafanya nini na kwa nia ipi
 
Kuna wakat sisi waafrika au watu weusi tuache kujiona watu wa chini

Hiv mtu unachagua upande kabisa katika vita ya wazungu ambao walikuja kutuulia viongoz wetu akina gadafi Thoma Sankara na wengineo

Tena hatukupaza sauti tulikaa kimya hakika hakuna mtu mnafiki kama mwafrika nimeamin

Wayahud ndio waliomuua yesu tena kwa kumsulubu vibaya Sana lakn leo mtu anaona hao wayahudi ndio watu Bora zaidi kwake

Naakika hata yes mwenyewe huko aliko anabak anatushangaa Sana sis ngoz nyeusi tuliokosa maarifa

WE MUST LIBERATE OURSELVES FROM MENTAL SLAVERY

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada kama hujui hizi zama zimebadilika, hakuna tena mambo ya 90 endeleeni kukaa na maumivu, halaf hamkuumia umoja wa ulaya ulipoenda kuuwa maelfu ya watu Libya bila ya sababu wapuuzi wakubwa nyie mnakuja kuumia Russia kurejesha majimbo yake ya asili ?
[emoji16][emoji16][emoji16]watu wa Libya walijikomboa wenyewe na udhalimu sasa sijui kwann mnaitolea mfano Libya....wakati kiongozi aliye kuwepo hakuwa na tofauti na shetani...Gadaffi alistahili kufa....
 
Ndio hivyo tena, majimbo tushachukua kwanguvu na hamuwezi kufanya kitu na wambieni hao wapuuzi wenu wasogeze pua waone kitakachowapata
hakuna mjinga kwa kupata hasara kwa vita ya kishamba jamaa atabinywa kende polepole alafu ataondokewa na watu wake wenyewe na kiongozi atakae shika hatamu atasema hana mpango wa kuendelea na uporaji wa mtangulizi wake..
 
Kuna wakat sisi waafrika au watu weusi tuache kujiona watu wa chini

Hiv mtu unachagua upande kabisa katika vita ya wazungu ambao walikuja kutuulia viongoz wetu akina gadafi Thoma Sankara na wengineo

Tena hatukupaza sauti tulikaa kimya hakika hakuna mtu mnafiki kama mwafrika nimeamin

Wayahud ndio waliomuua yesu tena kwa kumsulubu vibaya Sana lakn leo mtu anaona hao wayahudi ndio watu Bora zaidi kwake

Naakika hata yes mwenyewe huko aliko anabak anatushangaa Sana sis ngoz nyeusi tuliokosa maarifa

WE MUST LIBERATE OURSELVES FROM MENTAL SLAVERY

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
unafikiri Africa ndio tunaongozwa na malaika???ni binadamu tu wenye tamaa na ukatili sio sababu tu ni Africa ndio kwamba viongizi wote ni wazuri mkuu wengine wanastahili kutolewa kwa mtutu haijalishi ni kwa msaada wa mzungu au muhindi...
 
Uvamizi alioufanya USA Iraq na Afghanistan una justification katika sheria za kimataifa.Saddam alikiuka masharti aliyowekewa baada ya vita ya Kwanza ya ghuba alipokuwa amevamia Kuweit.Kulikuwa na no fly zones kaskazini na kusini ambako kulikuwa na wapinzani wake na majeshi ya washirika yalikuwa yamejikita.Saddam alikuwa akitishia kuifuta Israel kwenye USO wa dunia.Afghanstan kule Taleban walikuwa wameipa Alqaida operation ground na hata kugoma kumtoa Ossama bin Laden.Katika exceptions za rule 2(4) self defense ni mojawapo.Unaweza kujilinda kabla hunashambuliwa au baada ya kushambuliwa.Mnaweza kufanya mutual self defense kama NATO au vinginevyo.
 
Mkuu Rais wa Ukraine ni myahudi. Kumbuka hawa watu waliuliwa zaidi ya milioni moja kule Poland hivyo tangu wakati huo wana umoja wa ajabu.

Kuvamia nchi nyingine kwa sababu zisizoingia kichwani ni ngumu sana. Ni kweli si Saddam lakini udikteta wa Hitler kwa karne hakuna atakayeuvumilia.
What's so special about Yahudi? Pumbafffff.
 
Back
Top Bottom