Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Alifanya ivo Georgia, amefanya Crimea, akafanya Moldova, na atafanya UKRAINE.....Putin anajua anachofanya na NATO haitafanya kitu.
Huwezi Ruhusu Ukraine iwe chini ya NATO ,ukijua NATO ni maadui wako na Kwamba ulichukua jimbo La Crimea kinguvu .
What if Ukraine chin ya NATO wakataka kurudisha Jimbo la Crimea kinguv?? Maana yake V.Putin atapambana na NATO.
Kipi bora?? Kuwazuia waukraine wakiwa nje ya NATO au Usubiri Ukraine wawe ndan ya NATO??
Naungana na Warusi wote Dunia nzima, waichabange Ukraine.
Hata Herode na Pilato waliomuua Kristo walikua hivyo na sijawahi support mambo zao
Sijui kwanini hujielewagi
Hujui Pilato alikuwa Mrumi!
Yeye anawasemea hao kwa kuwa ni Mayahudi akijihisi yupo karibu nao zaidi japo ndio hao hao waliomsulubu Yesu.Us alipoingia Libya, Iraq, Afghan na kuua mamilion ya watu ilikua sawa?
[emoji16][emoji16][emoji16]watu wa Libya walijikomboa wenyewe na udhalimu sasa sijui kwann mnaitolea mfano Libya....wakati kiongozi aliye kuwepo hakuwa na tofauti na shetani...Gadaffi alistahili kufa....Mtoa mada kama hujui hizi zama zimebadilika, hakuna tena mambo ya 90 endeleeni kukaa na maumivu, halaf hamkuumia umoja wa ulaya ulipoenda kuuwa maelfu ya watu Libya bila ya sababu wapuuzi wakubwa nyie mnakuja kuumia Russia kurejesha majimbo yake ya asili ?
hakuna mjinga kwa kupata hasara kwa vita ya kishamba jamaa atabinywa kende polepole alafu ataondokewa na watu wake wenyewe na kiongozi atakae shika hatamu atasema hana mpango wa kuendelea na uporaji wa mtangulizi wake..Ndio hivyo tena, majimbo tushachukua kwanguvu na hamuwezi kufanya kitu na wambieni hao wapuuzi wenu wasogeze pua waone kitakachowapata
unafikiri Africa ndio tunaongozwa na malaika???ni binadamu tu wenye tamaa na ukatili sio sababu tu ni Africa ndio kwamba viongizi wote ni wazuri mkuu wengine wanastahili kutolewa kwa mtutu haijalishi ni kwa msaada wa mzungu au muhindi...Kuna wakat sisi waafrika au watu weusi tuache kujiona watu wa chini
Hiv mtu unachagua upande kabisa katika vita ya wazungu ambao walikuja kutuulia viongoz wetu akina gadafi Thoma Sankara na wengineo
Tena hatukupaza sauti tulikaa kimya hakika hakuna mtu mnafiki kama mwafrika nimeamin
Wayahud ndio waliomuua yesu tena kwa kumsulubu vibaya Sana lakn leo mtu anaona hao wayahudi ndio watu Bora zaidi kwake
Naakika hata yes mwenyewe huko aliko anabak anatushangaa Sana sis ngoz nyeusi tuliokosa maarifa
WE MUST LIBERATE OURSELVES FROM MENTAL SLAVERY
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
What's so special about Yahudi? Pumbafffff.Mkuu Rais wa Ukraine ni myahudi. Kumbuka hawa watu waliuliwa zaidi ya milioni moja kule Poland hivyo tangu wakati huo wana umoja wa ajabu.
Kuvamia nchi nyingine kwa sababu zisizoingia kichwani ni ngumu sana. Ni kweli si Saddam lakini udikteta wa Hitler kwa karne hakuna atakayeuvumilia.
Punguza mapovu, kisha ndio uweka hadharani maoni yako. Hitler hakuwa myahudi.
Alikuwa MyahudiPunguza mapovu, kisha ndio uweka hadharani maoni yako. Hitler hakuwa myahudi.
Hakuwa myahudi mkuu, labda umeamua kuwa mbishi.Alikuwa Myahudi