Kosa la Dr. Bashiru ni kusema, "Tusichague Mtu kwa Ubwabwa, kofia, Kanga wala Tshirt

Kosa la Dr. Bashiru ni kusema, "Tusichague Mtu kwa Ubwabwa, kofia, Kanga wala Tshirt

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Dr. Bashiru anauliza, tabia yenu na mienendo yenu wakati wa Uchaguzi ikoje? Chama mnachokichagua mnakijua?

Mnaye mchagua mnamjua? Tusichague Mtu kwasababu ametupa Ubwabwa, kofia, Kanga, pesa au Tshirt. Dhana ya Uwajibikaji: Muna nafasi gani kusimamia Serikali ili iwe upande wenu? Veo vyote Serikalini ni mali yenu. Sifa za chama kinacchopiga nyimbo za mbele kwa mbele mnakijua?

Dhuruma na uonevu havifanywi na Wakoloni. Anasema Bashiru

Bashiru Ally Kakurwa (alizaliwa Wilaya ya Bukoba Vijijini, 1 Januari 1968) ni mwanasiasa nchini Tanzania.

Alichaguliwa kuwa katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi tarehe 31 Mei 2018.

Kabla ya kuwa katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi, Bashiru alikuwa mhadhiri katika Chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Tarehe 26 Februari 2021 aliteuliwa na rais John Pombe Magufuli kuwa katibu mkuu kiongozi, lakini tarehe 31 Machi 2021 aliteuliwa na rais mpya Mama Samia Suluhu Hassan kuwa mbunge wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Watanzania tuna vichaa, huyu tulitukana wakati wa Magufuli akiwa katibu wa CCM, kwa dhulma, uhaini na namna alivyokuwa akimsfia aliyempa Ubwabwa na Kanga. Leo tunamuona ni jasiri akifanya vituko naye atupiwe ubalozi na mama kama mwenzie pole pole.

Huo ni unafiki na ukichaa
 
Watanzania tuna vichaa, huyu tulitukana wakati wa Magufuli akiwa katibu wa CCM, kwa dhulma, uhaini na namna alivyokuwa akimsfia aliyempa Ubwabwa na Kanga. Leo tunamuona ni jasiri akifanya vituko naye atupiwe ubalozi na mama kama mwenzie pole pole.

Huo ni unafiki na ukichaa
Alikutukaanje unaweza kuweka hapa
 
Back
Top Bottom