Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,274
kikiubwa hapa naomba tujadili juu ya katiba mpya ninacho kiona mimi CCM CDM CUF na NCCR hawana mda mda na katiba ya kiraia wanachotaka wenyewe ni katiba ya kisiasa zaidi na ndoo maana ukingalia kwa kiasi kikubwa wanadeal na mambo ya muungano ,tume huru ya uchaguzi na mambo mengine ambayo wanaona yatawasaidia kupata madaraka ya kisiasa