Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Kuna watu unaweza kuwa karibu nao lakini wasitambue umuhimu wako. Wanaweza kuwa ndugu, jamaa au marafiki. Na unapoamua kuachana nao na kuishi maisha yako,wanakuona kama umewatenga.
Binafsi nimewahi kupitia changamoto za kukataliwa na watu wangu wa karibu. Kila nilipojaribu kuwa mwema kwao, waliniona mbaya. Sasa nimeamua kuishi maisha yangu bila kutegemea sana hisia zao juu yangu.
Cha ajabu leo hii naonekana kama vile nimewatenga ilihali wao ndio walianza kuniumiza kwa maneno na matendo yako.
Najua wapo wengi kama mimi na wengine waliamua kuhama hadi nchi yao na pengine kubadili uraia wao. Ama kweli dunia ina mengi!
Binafsi nimewahi kupitia changamoto za kukataliwa na watu wangu wa karibu. Kila nilipojaribu kuwa mwema kwao, waliniona mbaya. Sasa nimeamua kuishi maisha yangu bila kutegemea sana hisia zao juu yangu.
Cha ajabu leo hii naonekana kama vile nimewatenga ilihali wao ndio walianza kuniumiza kwa maneno na matendo yako.
Najua wapo wengi kama mimi na wengine waliamua kuhama hadi nchi yao na pengine kubadili uraia wao. Ama kweli dunia ina mengi!