Niliamua nitegeneze ndugu zangu ambao ni wanangu tu, ndugu wa kiafrica ni mtihani ukiwazidi mari ni kosa, ukisoma kuwazidi kosa ukioa mke mwenye maendeleo na mzuri kosa, ukisomesha wanao shule nzuri kosa ukiwa fukara kosa, dawa ni kuwa ignore na ku move on with your private life, tena kama unauwezo hama kabisa kijiji au mji ukae mbali nao.Ndo binadamu walivyo,usigeuke nyuma...wengine tulitoswa na ndugu tukiwa wadogo kabisa!
Leo mtu umepambana una maisha yako wanaanza kujifanya wanajali, kwangu hata kwa maigizo tu siwezi kuwa karibu na watu wa aina hiyo!
Ndugu yangu mimi muhanga wa hilo nimeamua niishi stahili yako .nimeona faida yake kuna wanadamu ata ufanye wema sawa na bure cha msingi ni kuishi maisha yako na mungu wakoKuna watu unaweza kuwa karibu nao lakini wasitambue umuhimu wako. Wanaweza kuwa ndugu, jamaa au marafiki. Na unapoamua kuachana nao na kuishi maisha yako,wanakuona kama umewatenga.
Binafsi nimewahi kupitia changamoto za kukataliwa na watu wangu wa karibu. Kila nilipojaribu kuwa mwema kwao, waliniona mbaya. Sasa nimeamua kuishi maisha yangu bila kutegemea sana hisia zao juu yangu.
Cha ajabu leo hii naonekana kama vile nimewatenga ilihali wao ndio walianza kuniumiza kwa maneno na matendo yako.
Najua wapo wengi kama mimi na wengine waliamua kuhama hadi nchi yao na pengine kubadili uraia wao. Ama kweli dunia ina mengi!
Ukiwajua binadam hawaumizi vichwaaKuna watu unaweza kuwa karibu nao lakini wasitambue umuhimu wako. Wanaweza kuwa ndugu, jamaa au marafiki. Na unapoamua kuachana nao na kuishi maisha yako,wanakuona kama umewatenga.
Binafsi nimewahi kupitia changamoto za kukataliwa na watu wangu wa karibu. Kila nilipojaribu kuwa mwema kwao, waliniona mbaya. Sasa nimeamua kuishi maisha yangu bila kutegemea sana hisia zao juu yangu.
Cha ajabu leo hii naonekana kama vile nimewatenga ilihali wao ndio walianza kuniumiza kwa maneno na matendo yako.
Najua wapo wengi kama mimi na wengine waliamua kuhama hadi nchi yao na pengine kubadili uraia wao. Ama kweli dunia ina mengi!
Mi marafili zangu wengi ni mtaani na napenda kuwa online kweny social media zote group za marafiki zangu ni o level tu basi maana wengi tulikaa mtaa mmoja ila kuanzia advance ,chuo mpaka kazini sina mzuka nao watu wake...Nilidhania nipo pekee yangu,kumbe tupo wengi tu....mimi rafiki yangu ni jf na tv, tofauti na hapo napanda baiskeli kwenda kijiji cha tatu huko wasiponifahamu naenda kucheza michezo ya kila aina(Usisahau kutongoza 😋😋) ili mradi nifurahi.
Nikirudi maskani ni ndani na kazini tu
Subiri uugue uone hao kijiji cha tatu kama watachukua bicycle kuja kukuuguza au kukusaidia!Nilidhania nipo pekee yangu,kumbe tupo wengi tu....mimi rafiki yangu ni jf na tv, tofauti na hapo napanda baiskeli kwenda kijiji cha tatu huko wasiponifahamu naenda kucheza michezo ya kila aina(Usisahau kutongoza [emoji39][emoji39]) ili mradi nifurahi.
Nikirudi maskani ni ndani na kazini tu
Usiseme walivyo sema tulivyopole, ndo wanadamu hao walivyo
🌛🌚🌚🌚🌚🌚🌚🌚🌝🌝🌝🌝🌝
yeah kweli ndo tulivyo hivyo, hatuna jemaUsiseme walivyo sema tulivyo
Usiseme binadamu walivyo sema tulivyo na we mojawapo kama binadamu mkuuuNdo binadamu walivyo,usigeuke nyuma...wengine tulitoswa na ndugu tukiwa wadogo kabisa!
Leo mtu umepambana una maisha yako wanaanza kujifanya wanajali, kwangu hata kwa maigizo tu siwezi kuwa karibu na watu wa aina hiyo!
Sawa elon musk 😁😁When u begin to mind your damn business huwa wanaanza kuchonga.
Mfano Mimi pia naonekanaga nimejitenga sana kwa baadhi ya ndugu.
Sifanyi hivyo kwa kupenda ila Kuna watu pengine wamenifosi niishi hivyo.
Mfano Kuna mmoja nilikuwa natembelea kwake wakati nikipata likizo kazini kumsababahi akawa analipa Hela Kila nikienda kama vile ananipa msaada Wala mimi sikumuomba nikawa najisikia vibaya najiona kama naenda kuomba msaada na huu utu uzima .
Nikaamua nikate mguu mazima Leo naonekana nimewasusa wako wengi sana.
Siku hizi naokana kwenye events tu msiba,ugonjwa (nikishirikishwa), sherehe(nikishirikishwa) otherwise huwa sitokei kokote kule.
Niko bize na maisha yangu na mbaya zaidi sinaga mambo ya kujikomba
I see!Ndo binadamu walivyo,usigeuke nyuma...wengine tulitoswa na ndugu tukiwa wadogo kabisa!
Leo mtu umepambana una maisha yako wanaanza kujifanya wanajali, kwangu hata kwa maigizo tu siwezi kuwa karibu na watu wa aina hiyo!
sijatenga ndugu,ukiugua nakuja kujulia hali,ukifiwa nahani msiba kwa kifupi kwenye masuala ya msingi nipo sana ila siyo tujuane sana tutaaribiana cvSubiri uugue uone hao kijiji cha tatu kama watachukua bicycle kuja kukuuguza au kukusaidia!
Kiufupi ishi na ndugu zako kiupendo pamoja na makandokando yao usiwatenge hata wakikutenga. Wajenge, waunge na wasaidie pia kuna siku watajirekebisha labda kama ni wachawi.
Na usiwe muongeaji sana unapokuwa nao, nimeipenda hii.Aise kama ni ndugu ww endelea kuishi maisha yako hata wakikusema vibaya puuzia chief
Tafta circle ya marafiki wa kweli wakusaidiana kwenye hali zote ...usitegemee sana misada kutoka kwa ndugu
Ishi vzuri ukimpendeza Jehova nasio kuishi dunia inavyotaka...
Punguza mazoea sana na hao ndugu kwenye matatizo ww fika wape poleee ondokaaa usikae sana karibu nao,na fanya namna yoyote ile wasikuelewe mishe zako yani kua mtu wa kutoeleweka na usiwe muongeaji sanaa unapokua nao
Nagongea PIN hapa, wengine wakija wasomeusitegemee sana misaada kutoka kwa ndugu
Maana yake wakukomeAchana nao...kwanza Kila roho inaondoka kivyake....usiwajali....Yaan endelea kufanya yako cute