kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Inafahamika kuwa nchi yetu imekuwa chini ya CCM tangu ipate Uhuru takilibani miaka 60 Sasa. Hivyo Kama Kuna mabaya au mazuri pongezi au lawama zozote Ni kwa CCM na sio kwa kiongozi wa awamu fulani.
Kama wapinzani watajikita kumlaumu kiongozi badala ya CCM kwa ujumla wake tangu Uhuru hadi Leo Basi watakosea na wanaweza wasiambulie kitu.
Waache kumkejeli, kumbeza na kumlaumu mgombea wajikite kwenye mazuri na mabaya ya CCM (Kama yapo) ya awamu zote. Angalau wananchi watawaelewa kidogo wanachotaka kuongea. Mfano, Kama wananchi hawana maji, barabara, hospitali, shule, dawa hadi Leo tangu tupate Uhuru hilo Ni kosa la CCM kwa ujumla sio la mgombea.
Mh. Rais anayo mengi aliyoyafanya ambayo yaliwafuraha baadhi ya wananchi, lakini anayo pia ambayo hayakuwafurahisha baadhi ya wananchi. Sasa mgombea makini lazima atenganishe Yale ya CCM, ya katiba, ya awamu ya tano na yale ya mgombea Kama mtu.
Kama wapinzani watajikita kumlaumu kiongozi badala ya CCM kwa ujumla wake tangu Uhuru hadi Leo Basi watakosea na wanaweza wasiambulie kitu.
Waache kumkejeli, kumbeza na kumlaumu mgombea wajikite kwenye mazuri na mabaya ya CCM (Kama yapo) ya awamu zote. Angalau wananchi watawaelewa kidogo wanachotaka kuongea. Mfano, Kama wananchi hawana maji, barabara, hospitali, shule, dawa hadi Leo tangu tupate Uhuru hilo Ni kosa la CCM kwa ujumla sio la mgombea.
Mh. Rais anayo mengi aliyoyafanya ambayo yaliwafuraha baadhi ya wananchi, lakini anayo pia ambayo hayakuwafurahisha baadhi ya wananchi. Sasa mgombea makini lazima atenganishe Yale ya CCM, ya katiba, ya awamu ya tano na yale ya mgombea Kama mtu.