Nadhani sababu kubwa ilikuwa kuokoa hela za kupiga kampeni ziende kwenye miradi ya ujenzi wa miundombinu badala ya kuzunguuka nchi nzima kupiga kampeni.
Kwahiyo wewe ukienda ikulu utawapa hela ili wawe na maisha bora au utafanyaje na Corona hii. Wewe si ulikimbia bungeni kuogopa corona ukaenda kujilockdown. Ina maana ukishinda uchaguzi utaamrisha lockdown tujikinge na CORONA.
Nakuonya kwa Mara ingine kuwa kete yenu Ni kusema ubora wa Sera za chama chenu dhidi ya ubaya wa Sera za CCM tangu Uhuru hadi Sasa Kama upo badala ya kupoteza nguvu kumzungumzia JPM Kama JPM
BKwahiyo wewe ukienda ikulu utawapa hela ili wawe na maisha bora au utafanyaje na Corona hii. Wewe si ulikimbia bungeni kuogopa corona ukaenda kujilockdown. Ina maana ukishinda uchaguzi utaamrisha lockdown tujikinge na CORONA.
Nakuonya kwa Mara ingine kuwa kete yenu Ni kusema ubora wa Sera za chama chenu dhidi ya ubaya wa Sera za CCM tangu Uhuru hadi Sasa Kama upo badala ya kupoteza nguvu kumzungumzia JPM Kama JPM
Kaka shida kubwa ya CCM ilikuwa Ni kuhangaika na mambo ya watu wengine na kusahau mambo yetu yakiwemo ya Kiuchumi. Huyu JPM ameamua kwenda kinyume na siasa asili za CCM za kuhangaika na ya wengine badala yake ameamua kuhangaika na ya wananchi aliyoyaahidi. Zile kelele za huyoo huyooo mchinje mchinjee zinazopigwa na wapinzani hata baada ya mshindi kutangazwa ndizo zilizokuwa zikimkera JPM, zilikuwa zinalenga kumtoa kwenye reli ili aanze kuhangaika na kujibu mapigo badala ya kufanya ya wananchiKama ni hivyo si ni bora wanasiasa wote waondolewe tuongozwe na jeshi tu.
Kaka shida kubwa ya CCM ilikuwa Ni kuhangaika na mambo ya watu wengine na kusahau mambo yetu yakiwemo ya Kiuchumi. Huyu JPM ameamua kwenda kinyume na siasa asili za CCM za kuhangaika na ya wengine badala yake ameamua kuhangaika na ya wananchi aliyoyaahidi. Zile kelele za huyoo huyooo mchinje mchinjee zinazopigwa na wapinzani hata baada ya mshindi kutangazwa ndizo zilizokuwa zikimkera JPM, zilikuwa zinalenga kumtoa kwenye reli ili aanze kuhangaika na kujibu mapigo badala ya kufanya ya wananchi
Alipokuwa anajinadi "Tanzania ya Magufuli" wewe ulikuwa wapi?Inafahamika kuwa nchi yetu imekuwa chini ya CCM tangu ipate Uhuru takilibani miaka 60 Sasa. Hivyo Kama Kuna mabaya au mazuri pongezi au lawama zozote Ni kwa CCM na sio kwa kiongozi wa awamu fulani.
Kama wapinzani watajikita kumlaumu kiongozi badala ya CCM kwa ujumla wake tangu Uhuru hadi Leo Basi watakosea na wanaweza wasiambulie kitu.
Waache kumkejeli, kumbeza na kumlaumu mgombea wajikite kwenye mazuri na mabaya ya CCM (Kama yapo) ya awamu zote. Angalau wananchi wataelewa kidogo wanachotaka kuongea. Mfano, Kama hawana maji, barabara, hospitali, shule, dawa hadi Leo tangu tupate Uhuru.
Mmmh! Jamani wakati Kilimanjaro barabara na umeme unapelekwa Hadi kwenye migomba wakati mikoa mingine haina barabara na umeme mbona hakukuwa na kelele? Kule Kilimanjaro barabara za lami zilikuwa zinaunganisha kata na kata wakati sehemu nyingine mkoa na mkoa ilikuwa ikiunganishwa kwa barabara za changarawe tu.Sasa chizi aliyebaki anajenga chatou ana msaada wowote huyu? Kama alichokifanya kama ni kizuri mbona wananchi wanamponda mbaguzi huyu? Ana kitete mpk anakataza tv kumuonyesha mbeba maomo.
B
Wananchi wanahitaji kueleweshwa nini kingine kuhusu ubaya wa ccm ?Inafahamika kuwa nchi yetu imekuwa chini ya CCM tangu ipate Uhuru takilibani miaka 60 Sasa. Hivyo Kama Kuna mabaya au mazuri pongezi au lawama zozote Ni kwa CCM na sio kwa kiongozi wa awamu fulani.
Kama wapinzani watajikita kumlaumu kiongozi badala ya CCM kwa ujumla wake tangu Uhuru hadi Leo Basi watakosea na wanaweza wasiambulie kitu.
Waache kumkejeli, kumbeza na kumlaumu mgombea wajikite kwenye mazuri na mabaya ya CCM (Kama yapo) ya awamu zote. Angalau wananchi wataelewa kidogo wanachotaka kuongea. Mfano, Kama hawana maji, barabara, hospitali, shule, dawa hadi Leo tangu tupate Uhuru.
Kwahiyo ndiyo maana miradi yote inapelekwa Chato?Mmmh! Jamani wakati Kilimanjaro barabara na umeme unapelekwa Hadi kwenye migomba wakati mikoa mingine haina barabara na umeme mbona hakukuwa na kelele? Kule Kilimanjaro barabara za lami zilikuwa zinaunganisha kata na kata wakati sehemu nyingine mkoa na mkoa ilikuwa ikiunganishwa kwa barabara za changarawe tu.
Inafahamika kuwa nchi yetu imekuwa chini ya CCM tangu ipate Uhuru takilibani miaka 60 Sasa. Hivyo Kama Kuna mabaya au mazuri pongezi au lawama zozote Ni kwa CCM na sio kwa kiongozi wa awamu fulani.
Kama wapinzani watajikita kumlaumu kiongozi badala ya CCM kwa ujumla wake tangu Uhuru hadi Leo Basi watakosea na wanaweza wasiambulie kitu.
Waache kumkejeli, kumbeza na kumlaumu mgombea wajikite kwenye mazuri na mabaya ya CCM (Kama yapo) ya awamu zote. Angalau wananchi wataelewa kidogo wanachotaka kuongea. Mfano, Kama hawana maji, barabara, hospitali, shule, dawa hadi Leo tangu tupate Uhuru.
Alimaanisha kuwa CCM yake iliwafanyia makosa mengi watanzania huko nyuma, na ndio maana alikuwa anakataa kabisa kuwa Mwenyekiti wa CCM. Hii ndiyo maana hata CCM ya Sasa Ni nyingine kabisa. CCM ileee ya akina kinana na makamba mtu Kama polepole hawezi kuwemo humo.Alipokuwa anajinadi "Tanzania ya Magufuli" wewe ulikuwa wapi?
Yaani ccm unashauri wapinzani wafanye utu ?Siwapangii ninawashauri utu, Wana hiari kufuata au kuacha.
Siwapangii Cha kusema ili Mimi Nina taaluma kubwa ya critical thinking, ninafahamu kuwa hata saa mbovu iliyosimama huwa inasema kweli angalau Mara 2 kwa siku hata Kama mishale yake imesimama.Yaani ccm unashauri wapinzani wafanye utu ?
Huna hata haya ?
Mbinu hizi zinazofanywa Sasa zilifanywa pia na wakoloni dhidi ya akina Mwl. Nyerere na TANU ili kuhakikisha kuwa TANU haishindi uchaguzi. Lakini akina Nyerere hawaMkuu nakubaliana na wewe ila kuna kosa la kiufundi Chadema walilifanya mwaka jana baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa ambalo linaenda kuwalaza na viatu mwezi octoba.
Kama unavojua ule uchaguzi ulikumbwa na vitimbi na fitna za hali ya juu hali iliyopelekea wana chadema kuchukizwa na kama kuzilia utaratibu na mchakato wote wa uchaguzi.
Walionyesha kutoridhika na kuchukia kwa kuhamasishana kwa kutojiandikisha katika uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura matokeo ya kwamba bavicha wengi na wanachadema hawa ku update taarifa zao kwenye daftari so wengi wana kadi za mpiga kura za uchaguzi ulioisha.
Hawa wengi hawana vigezo vya kupiga kura kwa kuwa wengi wamehama maeneo waliyojiandikisha awali.
So wengi wanaojazana kwenye mikutano ya kuomba udhamini wa Mkenya Lissu wengi hawatapiga kura kwa kuwa wengi hawamo kwenye daftari la mpiga kura. Ccm wanapokwambia watashinda mapema sana kwa ushindi mzito wana uhakika na wanachokosema
Poleni bavicha, hasira ziliishinda busara, so subirini kugalagazwa
Hata akina Nyerere na Karume walikumbana na mbinu Kama hizi za kuwazuia kushinda uchaguzi, lakini wao hawakuhi kuchagua kususia kujiandikisha Wala kususia kushiriki uchangu, badala yake walitafuta mbinu Bora za kushinda uchaguzi kwenye chaguzi zilizofuata. Walizidi kuwashawishi na kuwaunganisha wananchi dhidi ya mbinu za mkoloni.Mkuu nakubaliana na wewe ila kuna kosa la kiufundi Chadema walilifanya mwaka jana baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa ambalo linaenda kuwalaza na viatu mwezi octoba.
Kama unavojua ule uchaguzi ulikumbwa na vitimbi na fitna za hali ya juu hali iliyopelekea wana chadema kuchukizwa na kama kuzilia utaratibu na mchakato wote wa uchaguzi.
Walionyesha kutoridhika na kuchukia kwa kuhamasishana kwa kutojiandikisha katika uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura matokeo ya kwamba bavicha wengi na wanachadema hawa ku update taarifa zao kwenye daftari so wengi wana kadi za mpiga kura za uchaguzi ulioisha.
Hawa wengi hawana vigezo vya kupiga kura kwa kuwa wengi wamehama maeneo waliyojiandikisha awali.
So wengi wanaojazana kwenye mikutano ya kuomba udhamini wa Mkenya Lissu wengi hawatapiga kura kwa kuwa wengi hawamo kwenye daftari la mpiga kura. Ccm wanapokwambia watashinda mapema sana kwa ushindi mzito wana uhakika na wanachokosema
Poleni bavicha, hasira ziliishinda busara, so subirini kugalagazwa
CCM wamekuwa dhaifu sana, JPM na genge lake wameona wajikite kwenye UHUNI na UHALIFU tu sasa. Hoja zimewaishia ni kutapatapata tu.Inafahamika kuwa nchi yetu imekuwa chini ya CCM tangu ipate Uhuru takilibani miaka 60 Sasa. Hivyo Kama Kuna mabaya au mazuri pongezi au lawama zozote Ni kwa CCM na sio kwa kiongozi wa awamu fulani.
Kama wapinzani watajikita kumlaumu kiongozi badala ya CCM kwa ujumla wake tangu Uhuru hadi Leo Basi watakosea na wanaweza wasiambulie kitu.
Waache kumkejeli, kumbeza na kumlaumu mgombea wajikite kwenye mazuri na mabaya ya CCM (Kama yapo) ya awamu zote. Angalau wananchi wataelewa kidogo wanachotaka kuongea. Mfano, Kama hawana maji, barabara, hospitali, shule, dawa hadi Leo tangu tupate Uhuru.
Ni kweli CCM imekata punzi tangu 2015, na haya Ni maneno ya Wana CCM wenyewe, ndio maana Rais JPM inaiita serikali ya Magufuli. CCM imemaliza kete zote za kusongeza inatumia kingi moja tu ya JPM. Ilala Sasa JPM Kama yeye anayo mazuri yake mengi kwa wananchi na mabaya yake Kama yeye ambayo yamejichimbia kwenye katibaCCM wamekuwa dhaifu sana, JPM na genge lake wameona wajikite kwenye UHUNI na UHALIFU tu sasa. Hoja zimewaishia ni kutapatapata tu.
Sawa hutaki kupangiwa, lakini anaekuambia usikombe mboga anataka umalize ugali ushibe. Vyama vya upinzani miaka yote wanashiriki chaguzi tangu 1995 lakini hawafikii lengo, wanashindwa kuwashawishi wapiga kura ili waouone ukubwa wa tatizo la CCM, muda mwingi wanautumia kwa kufokafoka, kumlalamukia mtu, kutaja makosa ya watu binafsi na kubeza kila kitu badala ya kutumia muda mwingi kuongelea watakachofanya mara watakapoingia ikulu Tena kwa lugha rahisi inayoashiria amani, heshima na utulivu. Maana watanzania hawakuzoea lugha Kali, vurugu, Vita, na kejeli kwa viongozi. Muwaonyeshe kuwa amani yao waliyoizoea itaendelea kuwepo na kuboreka zaidi hata bila CCM kuwepo.Usinipangie ukinipangia ndio unaharibu kabisa .