Home First
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 609
- 247
Napinga hojaKama umeshindwa kuvumilia udhaifu wake amini nakuambia utaoa kila mwaka na ipo siku utatamani umrudie hakuna mwanadamu asiye na kasoro, utakaye muoa atakuwa hana kiburi ila ni mzinzi, utamwacha utaoa mwingine asiye na kiburi Wala uzinzi ila ni mchoyo na mchafu, utamwacha utaoa mwingine hadi utakufa una msururu
Si tunajionea ndoa nyingi zina migogoro na nyingine zimeshindwa kudumu halafu watu bado wanalazimisha wenzao waingie? Tunadanganyana eti ndoa tamu zingekuwa tamu kungekuwa na migogoro na zingeshindwa kudumu?Umejuaje hili mkuu ?
Amen.Si tunajionea ndoa nyingi zina migogoro na nyingine zimeshindwa kudumu halafu watu bado wanalazimisha wenzao waingie? Tunadanganyana eti ndoa tamu zingekuwa tamu kungekuwa na migogoro na zingeshindwa kudumu?
Nkiitafakari vzuri kauli yako, kinachonijia akilini niMimi sichezewi nafanya mambo kwa starehe zangu za kukidhi haja ya moyo na mwili wangu, pia furaha yangu ni internally haitegemei watu wengine Ili ni enjoy.
If you know you know
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka bure umewaza dhambi vitu hvo naviona kwenye picha sijui hata shop zao zikoje
vanity...!
Afu wewe ni mZuri yaani ukiamua kuliwa unaliwa bila ya kusukumizwa na msukumo na pesa ama nakosea kukuelewaMimi sichezewi nafanya mambo kwa starehe zangu za kukidhi haja ya moyo na mwili wangu, pia furaha yangu ni internally haitegemei watu wengine Ili ni enjoy.
If you know you know
Yes hyo ipo lakini why uwe na baby yeye ana taka kwako more ila yeye hataki kutoa tu, Sasa huyo ni mwanaume kweli mpenda kitonga maana mkiwa na watoto anaweza asiwe responsible kisa kupenda kitonga wallah, atleast mtu ujitoe na sio kwamba hana basi tu naona ni mchoyo flani.Afu wewe ni mZuri yaani ukiamua kuliwa unaliwa bila ya kusukumizwa na msukumo na pesa ama nakosea kukuelewa
Pole sana, inawezekana umeandika kwa hasira, utakapotulia hebu zungumza na mkeo kuhusu kero zako na namna unavyokwazika na tabia yake, hapa huwezi kupata solution sanasana wengi watakushauri kutafuta mchepuko au kumuacha mkeo kitu ambacho ni hatari kwa watoto wenu na ndoa yenuWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa.
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwingine kama mke wa pili.
Kule nchi za magharibi Kuna ndoa za mkataba[emoji34]Kwahio unatetea kutoachana? Ndoa nzuri ni ile ya co-parenting tu kwa miaka ya sasa. Mke akae kwake na wewe ukae kwako muwe mnazaa na kulea tu ili kuepusha kero [emoji28] in case ukipata mwanamke atakaelikubali hili ni raha sana!
Watoto wanakaa kwa mama, weekends wanaenda kwa baba au muda wowote baba yao akiwa free anakuja kuwachukua! Wanakuwa na free access na wazazi wote tu japo nyie wazazi ndio mnakuwa mmejilimit kuishi under one roof!Kule nchi za magharibi Kuna ndoa za mkataba[emoji34]
Sikatai kuachana lakini kuwe na sababu za msingi maana madhara yatawakuta watoto Moja kwa Moja.
Mleta mada hayupo wazi
Hicho ulichoeleza hujaelezea watoto watalelewa vipi baba akae kwake na mama akae kwake watoto itabidi wachague wakakae wapi! huoni utasababisha usumbufu kwa watoto ambao badae utasababisha matatizo makubwa tofauti na mkikaa pamoja na mkawalea watoto wenu pamoja?
Haya dada cariha nakubali Sana sema tu sijawahi kukuona.Yes hyo ipo lakini why uwe na baby yeye ana taka kwako more ila yeye hataki kutoa tu, Sasa huyo ni mwanaume kweli mpenda kitonga maana mkiwa na watoto anaweza asiwe responsible kisa kupenda kitonga wallah, atleast mtu ujitoe na sio kwamba hana basi tu naona ni mchoyo flani.
Mkuu watoto mtawasumbua tuu hawatopata malezi Bora imagine mtoto anakaa kwa mama alafu anapata baba mpya na akienda kwa baba anatambulishwa mama mpya matokeo yake mtawajengea chuki watoto wamuone mzazi mmojawapo hafai na hii ndo sababu ya watoto wa mitaani, wezi, vibaka, majambazi, machangudoa, mateja ukichunguza haya makundi majority walilelewa na mzazi mmoja.Watoto wanakaa kwa mama, weekends wanaenda kwa baba au muda wowote baba yao akiwa free anakuja kuwachukua! Wanakuwa na free access na wazazi wote tu japo nyie wazazi ndio mnakuwa mmejilimit kuishi under one roof!
Kama mtaendelea na mapenzi its okay ila kila mtu akae kwake tu ibaki uhusiano wa kutembeleana kama mlivyokuwa wachumba. Kila mtu awe responsible na maisha yake tu kama kawaida.
Kinachoharibu watoto ni uswahili wa mama kuanza kuwajaza ujinga watoto kuwa wamchukie baba yao ilihali mlishindwana nyie kama nyie...It has none to do with the Children kabisa.