Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

31 watoto 2 mama tofauti na wote mama zao hawapo wich means nipo single.
kanuni ya kutombembeleza mwanamke imenigharimu sana.
ukiachilia hao nilio zaa nao nimewai kuwa madem kama wa nne hivi, na wote hao kila mmoja wakinizingua nabeba nguo zangu, naacha kila kitu nasepa, naenda anzisha kambi pengine.. nitakaa hapo nitanunua vitu shazi gheto litapendeza mara nitapata mwingine tena, akizingua hivyo hivyo.

sasa vitoto vimekua, aliyekuwa ananisaidia kulea wanangu(sister) ananitaka nirudi home nilee wanangu ili nae apate nafasi ya kufanya mambo yake.
nawaza vile nitadil kulea watoto mimi mwenyewe na housekeeper nahisi kama vile sister ananipa jez wakati mchezo sijauelewa.

Pole mkuu ila wanawake 6 wote unaachana nao means tatizo lipo kwako.
 
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu

Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu

Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Hakuna ndoa rahisi, uvumilivu wa hali ya juu unahitajika. Jifunze kuishi na madhaifu yake. Usije kuoa mwingine, mambo yakajirudia.
 
....nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu......mkuu jitathimini upyaaa wewe ndo chanzo cha tatizo na sio mkeo


IMG-20211005-WA0001.jpg
 
Kama umeshindwa kuvumilia udhaifu wake amini nakuambia utaoa kila mwaka na ipo siku utatamani umrudie hakuna mwanadamu asiye na kasoro, utakaye muoa atakuwa hana kiburi ila ni mzinzi, utamwacha utaoa mwingine asiye na kiburi Wala uzinzi ila ni mchoyo na mchafu, utamwacha utaoa mwingine hadi utakufa una msururu
Kasoro ya mke jeuri au kiburi inaboa sana! Haivumiliki kirahisi
 
Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
Duh furaha iko complex namna hii kumbe😅
 
Pole, yalinipata mpaka nilichanganyikiwa, nilimpeleka mahakamani, hakimu akamuuliza mke wangu kama bado anahitaji ndoa, eti akasema bado ananitaka, hakimu akamwambia labda anania na kitu kingine ila sio ndoa. Maana hakimu (tena ni mwanamke) alimshangaa mwanamke mwenzake kwa yale anayoyafanya kwenye ndoa, mwishoalitoa hukumu ya kuvunja ndoa. Mpaka nimenenepa aisee, mwanamke anakutesa mpaka uwaza kutenda jinai
😅😅😅😅😅😅 mke alikuwa anataka akutese kwa mgongo wa ndoa huyo,,, sema tupe dodoso kwamba ni nini alikuwa akifanya huyo mke
 
Ukimuacha, watoto watalelewa na Nani? Umeona mapungufu yake wewe huna mapungufu???

Kesi hii haiwezi kuamuliwa kwa malalamiko ya upande mmoja!

Madhara ya kuachana yatawakuta watoto ambao ugomvi wenu wala hauwahusu!
Kwahio unatetea kutoachana? Ndoa nzuri ni ile ya co-parenting tu kwa miaka ya sasa. Mke akae kwake na wewe ukae kwako muwe mnazaa na kulea tu ili kuepusha kero 😅 in case ukipata mwanamke atakaelikubali hili ni raha sana!
 
Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
Simama na Mungu pekee ndiye atayekupatia amani ya roho na utulivu wa maisha.

AYUBU 22:21.

Job 22:21

"Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia."
 
Kama umeshindwa kuvumilia udhaifu wake amini nakuambia utaoa kila mwaka na ipo siku utatamani umrudie hakuna mwanadamu asiye na kasoro, utakaye muoa atakuwa hana kiburi ila ni mzinzi, utamwacha utaoa mwingine asiye na kiburi Wala uzinzi ila ni mchoyo na mchafu, utamwacha utaoa mwingine hadi utakufa una msururu
[emoji1][emoji1]
 
Siupendi huu ushauri....there is always second chance.
Umekaa kibinafsi sana, unaweza jifunga kwa mtu ambaye sio stahili yako ukawa unateseka tu kumbe Mungu ana makusudi yake mbeleni!
 
Tuvumiliane tu hakuna aliekamilika chini ya jua na hautampata kamwe.
 
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu

Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu

Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Kuna jamaa yangu, mke wake alimsumbua sana, nilimpa ushauri ambao leo ananishukuru sana, nilimwambia aende mahakani afanye process zote za talaka huku anamuangalia mwenendo wake, alifumgua shauri la kumpa talaka mke wake, mke wake hakuamini siku analetewa wito wa kufika kwenye shauri, alilia sana.

Alipungua uzito mpaka huruma ilinijia ila nilimwambia dogo komaa hawa watu sio wakiwaonea huruma kirahisi hivyo, shauri liliendelea mpaka talaka ikatoka siku hiyo ilikuwa ngumu sana kwa mwanmke alizimia, hakuamini walikuja ndugu kibao wa mwanamke kumuombea msamaha.

Basi tuliongea na hakimu tukamweleza tunaomba mahama ihold hukumu wakati tunafuatilia mwenendo wa mke wake, mahakama ilikubali, mpaka leo mwamke amebadilika sana sana.

Sikushauri sana hili ila wewe angalia la kufanya
 
Huyo unaweza kuuwa, ukaishia gerezani bure, piga chini chukua mwingine.
 
Pole mkuu ila wanawake 6 wote unaachana nao means tatizo lipo kwako.
🤣🤣 kabisa.
sijui ujana ndiyo ulikuwa unasumbua na uhakika wa Ndululu ndogo ndogo unatupa vibuli sana vijana.
kwasabubu mtu anazingua kidogo tu nitachukua nguo zangu naacha kila kitu, kesho nenda shop nitachukua mazaga kama yote.
ilikuwa kama vile nimepigwa pumbao, ghafla nikama vile pumbao limenitoka ninaanza jistukia vile time nimepotezana pesa nyingi sana.
 
Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
umewahi kuyajua hya yote! hongera sana..! kila marefu yana ncha mkuu! furaha ya kweli ni kumcha mungu! maana yeye ndio atatia nuru ya furaha kwenye nafsi yko..! hyo mengine ya pesa magari na nyumba ni ya shetani🙂
 
Back
Top Bottom