Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
All is vanity...!
 
Hivi huu UCHAWI UMEUELEWA?
Yaani NDOA imemletea MAJANGA halafu ANATAKA KUOA TENA...!!!

Kuna RAIA WABISHI.

Tunawaambia MSIOEEE ila HAWAELEWII.

Kilichobaki unawaangalia na kucheka "Hiii BAGOSHAAAA"

#YNWA
Mkuu ila huwa unatukandia sana tuliooa.

Pamoja na yote, sisi tuliooa ndio tunawatengenezea minofu ninyi ambao hamtaki kuooa. Unapotukandia usisahau hili
 
31 watoto 2 mama tofauti na wote mama zao hawapo wich means nipo single.
kanuni ya kutombembeleza mwanamke imenigharimu sana.
ukiachilia hao nilio zaa nao nimewai kuwa madem kama wa nne hivi, na wote hao kila mmoja wakinizingua nabeba nguo zangu, naacha kila kitu nasepa, naenda anzisha kambi pengine.. nitakaa hapo nitanunua vitu shazi gheto litapendeza mara nitapata mwingine tena, akizingua hivyo hivyo.

sasa vitoto vimekua, aliyekuwa ananisaidia kulea wanangu(sister) ananitaka nirudi home nilee wanangu ili nae apate nafasi ya kufanya mambo yake.
nawaza vile nitadil kulea watoto mimi mwenyewe na housekeeper nahisi kama vile sister ananipa jez wakati mchezo sijauelewa.
Ha ha ha!
 
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu

Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu

Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Unaweza kuoa ukakuta huyo uliyemuoa ndiye mwenye Tabia mbaya kuliko huyo wa kwanza, alafu kuoa mke wa pili ni dhambi mbele za Mungu, unajikatia tiketi ya moja kwa moja kwenda jehannum ya moto! Hapo mwenye matatizo ni wewe wala sio huyo mwanamke , mwanamke yupo chini mwanaume siku zote, umesema unamtimizia kila kitu hapo ndo kosa lako lilipo mkuu! Mwanamke lazima kuishi Naye kwa akili mno! Na ujitahidi asikusome jinsi ulivyo! Wewe huyo mwanamke wako umemzoesha vibaya na amekusoma kuwa wewe ni baba usiye na maamuzi, huna msimamo, mpole mno, hivyo yeye amechukua nafasi yako, ukiwa mwanaume lazima uweke sheria za nyumba yako au familia yako na zifuatwe mkuu!! Haijalishi ni mwanamke wa namna gani akikuona wewe hutabiriki atakuheshimu tu! Mfano
1;Mwanamke ana marafiki wa ajabuajabu na wewe upo tu unaangalia
2: mwanamke kila mara anaenda kwao au kwa ndugu zake hili ni tatizo kubwa mkuu ukiliruhusu tu umeisha
3: mwanamke kila sherehe anaenda hata sherehe ambazo hazina maana anaenda ukimruhusu mwanamke wako kufanya hivyo umeisha mkuu
4: vikundi mbalimbali, mfano vikoba hivyi vikundi ni vizuri lakini ukimwendeleza mke wako kwa kila kikundi anaingia umeishi mkuu
5: jitahidi kufanya kile unachopenda wewe hata kama yeye hataki mzoeshe hivyo mfano mda wa kurudi nyumbani
6: sio kila hela Akiomba lazima mpe zingine jaribu kumute alafu unakuja unampa siku ambayo hajakuomba!
Alafu mkuu Simamia sheria zako! Wanawake wote wanafanana tatizo ni uongozi tu wa mwanaume!
 
Inaonyesha humtombi vizuri mwanamke anayegegedwa vizuri huwa hana hasira na gubu aisee jirekebishe kitandani bwana.
N. B wanaume huku mna nini kutwa kulia lia na sisi wanawake tukianzisha mada za kutoa moyoni siitabidi JF ianzishe jukwaa la stress,na majonzi
 
Ndoa ni muhimu lakini siyo lazima maana si kila lenye umuhimu lina ulazima

Halafu wabongo tungekuwa tunalazimishana kuingia kwenye fursa kama tunavyolazimishana kuingia kwenye ndoa basi tungekuwa mbali sana

Ila bahati mbaya mbongo hata siku moja hawezi kukulazimisha ufanye jambo ambalo litakunufaisha kama/kuliko yeye

Ukiona mbongo anakulazimisha sana kufanya jambo ujue hilo jambo halina faida sana na anataka tu upate matatizo kama aliyoyapata yeye alipolifanya
Kama chanjo au sio ?🤔
 
Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
Hii itakusaidia kidogo
images%20(4).jpg
 
Inaonyesha humtombi vizuri mwanamke anayegegedwa vizuri huwa hana hasira na gubu aisee jirekebishe kitandani bwana.
N. B wanaume huku mna nini kutwa kulia lia na sisi wanawake tukianzisha mada za kutoa moyoni siitabidi JF ianzishe jukwaa la stress,na majonzi
Umeolewa ?

Tuanzie kwqnsa hapa?

Isijekuwa wewe ni wale wale bado mnachezewa na kuachwa na wanaume
 
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu

Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu

Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Tua huo mzigo fasta
 
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu

Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu

Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Tua huo mzigo fastaView attachment 1963352
 
Ndoa za siku hizi watu huchokana haraka sana kwa sababu wana ndoa wengi wanalala kwenye kitanda kimoja tangu January mpaka December.
Tangu nakua, kwenye chumba cha wazazi wangu kulikuwa na vitanda viwili. Baba chake, mama chake. Yani hii nadhani husaidia kumuona mwenzako 'mpya' wakati unapojumuika naye.
Tangu yaanze kuingia haya mavitanda ya 'sita kwa sita' nadhani hapa ndipo ndoa nyingi zilipoanza kuingia shubiri.
Hata pilau japo tamu, ukifungiwa nayo chumbani tangu asubuhi mpaka jioni, itakuboa tuu.
Wanandoa wanatakiwa wabadilike. Wapunguze kuwa karibu sana wakati wote. Hii hufanya watu kuchokana haraka na kupelekea ndoa nyingi kuvunjika mapema.
Huwa nawaambia vijana, ukitaka ndoa yako idumu, ufurahie tendo na kupunguza kuchepuka, lala kitanda tofauti na mwenzi wako siku zote isipokuwa tu pale mnapohitajiana kujumuika.
 
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu

Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu

Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Sasa mke wa pili si ndio unaongeza matatizo? Huyo mmoja anakusumbua unataka mwingine wa nini?
 
Umeolewa ?

Tuanzie kwqnsa hapa?

Isijekuwa wewe ni wale wale bado mnachezewa na kuachwa na wanaume
Mimi sichezewi nafanya mambo kwa starehe zangu za kukidhi haja ya moyo na mwili wangu, pia furaha yangu ni internally haitegemei watu wengine Ili ni enjoy.
If you know you know
 
Niko hapa nikitizama jinsi malaika wa kiume hapa duniani wakilalamika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani wanaune woote wamegeuka malaika.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mimi sichezewi nafanya mambo kwa starehe zangu za kukidhi haja ya moyo na mwili wangu, pia furaha yangu ni internally haitegemei watu wengine Ili ni enjoy.
If you know you know
Ndio maana nikataka kujua Marital status yako kabla kabla hujatoa ushauri wa masuala ya ndoa!

Je umeolewa?
 
Back
Top Bottom