Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

Mkuu watoto mtawasumbua tuu hawatopata malezi Bora imagine mtoto anakaa kwa mama alafu anapata baba mpya na akienda kwa baba anatambulishwa mama mpya matokeo yake mtawajengea chuki watoto wamuone mzazi mmojawapo hafai na hii ndo sababu ya watoto wa mitaani, wezi, vibaka, majambazi, machangudoa, mateja ukichunguza haya makundi majority walilelewa na mzazi mmoja.
Hamna hizo mambo mnakubaliana, nina mfano wa watu wanaoishi hivyo yani watu wenu mnakutana nao huko huko ushenzini ila sio kuwaleta nyumbani! Uzuri ni nje ya nchi sio bongo so its very practical na wote ni waelewa.

Wanalea vizuri tu baba anawaletea wanae gifts! Anaenda nao Parks au Malls kwenye matembezi life is good bila kustresishana kijinga. Mama nae yuko responsible kuhakikisha watoto hawakosi kitu. Ile life style yao ni nzuri sana japo kibongo bongo watu wana matabia ya ajabu mtu atataka alete hawara wake ndani mbele za watoto yani tafrani.

Ma hawara unakutana nao kwa siri kiasi hata watoto hawajui. Life is less stressing kuliko kubanana kuanza kukerana na mambo ya ajabu ajabu!
 
Inaonyesha humtombi vizuri mwanamke anayegegedwa vizuri huwa hana hasira na gubu aisee jirekebishe kitandani bwana.
N. B wanaume huku mna nini kutwa kulia lia na sisi wanawake tukianzisha mada za kutoa moyoni siitabidi JF ianzishe jukwaa la stress,na majonzi
Naomba nikulipe kiasi fulani cha pesa ambacho utahitaji ili ukamfundishe huyo jamaa namna ya kumshughulikia mke wake. Kadhalika nipo tayari gharama za malazi na chakula ili kufanikisha hilo zoezi.
 
Sawa unaweza mpenda sana tena kwa dhati ikawa ndo fimbo wanawake hawana fomula
Ukimpenda mwanamke hawezi kukudharau ni utii mwanzo mwisho ila usipompenda ndiyo utegemee kila rangi
 
Kama watoto wote watatu ni wakwako huyo mwanamke usimwache,
Mlipotoka ni mbali saana mpaka kufika hapo

Najua unavyoumia mzee mwenzangu lakini kumbuka na wewe una madhaifu yako hakuna aliyeumbwa amekamilika
lakini mama mtu kayabeba Kama yalivyo

Vumilia, penda ,heshimu, huyo mke naamini yuko vzr kuliko kwenda kuanza upya
 
Hamna hizo mambo mnakubaliana, nina mfano wa watu wanaoishi hivyo yani watu wenu mnakutana nao huko huko ushenzini ila sio kuwaleta nyumbani! Uzuri ni nje ya nchi sio bongo so its very practical na wote ni waelewa.

Wanalea vizuri tu baba anawaletea wanae gifts! Anaenda nao Parks au Malls kwenye matembezi life is good bila kustresishana kijinga. Mama nae yuko responsible kuhakikisha watoto hawakosi kitu. Ile life style yao ni nzuri sana japo kibongo bongo watu wana matabia ya ajabu mtu atataka alete hawara wake ndani mbele za watoto yani tafrani.

Ma hawara unakutana nao kwa siri kiasi hata watoto hawajui. Life is less stressing kuliko kubanana kuanza kukerana na mambo ya ajabu ajabu!
Kama ni nje ya nchi basi sawa

Nilizungumzia kwa hapa bongo ambapo kutengana kwa wazazi ni shida kwa watoto.

Huko mbele wanajua nini maana ya malezi.
 
Sema hii dunia ilivyo ina maajabu unaweza kukuta yote anayofanya mke wako chanzo ni wewe unakosea sehemu ndogo sana wenzio wanapopatia, dunia bila ujinga ingependeza zaidi.
 
Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
Umeeleza mambo ya msingi sana yaani

MÊmENtO HoMO
 
Brother, just move on immediately. Don't be inactive in connection to ongoing situation. Lemme remind you that Life is too short to be stressed.

There's no need of having a moronic woman in your life. A woman who doesnt respect you, your hustle etc. We do really deserve the best brother but not what you are going through.

Regarding the issues, let her stay with them but make sure you support them accordingly.
 
Inaonyesha humtombi vizuri mwanamke anayegegedwa vizuri huwa hana hasira na gubu aisee jirekebishe kitandani bwana.
N. B wanaume huku mna nini kutwa kulia lia na sisi wanawake tukianzisha mada za kutoa moyoni siitabidi JF ianzishe jukwaa la stress,na majonzi
Afu c6 Kama nakuzimikia huko uliko. Ujumbe wako ni murua kabisa.
Pamoja na kugegedwa vizuri kushiba pia ushibe.
So unaposema uto. Mb we vizuri kumbuka iyo ni furaha unaitafuta tokea nje ama nakosea
 
Afu c6 Kama nakuzimikia huko uliko. Ujumbe wako ni murua kabisa.
Pamoja na kugegedwa vizuri kushiba pia ushibe.
So unaposema uto. Mb we vizuri kumbuka iyo ni furaha unaitafuta tokea nje ama nakosea
[emoji23][emoji23][emoji23]eti unanizimikia kuhegendewa ni hitaji la mwili ka msosi so to some extent ni muhimu
 
Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
Shika dini yako vizuri vitu vyote vitakuwa sawa!Hutaona thamani ya dunia.Ichukie dunia mambo yote yatakaa vizuri.Ione dunia kama njia ya kupita!
 
Ulimuoa Bikra?Joka jeusi ndugu yako anakuita njoo tafdhali!
 
Hata ukiambiwa mara trillion usikosee kuoa yani ni must utakosea tu tena ukijifanya makini zaidi ndiyo unakosea big time yani unakuja pata mtu atakuletea matatizo balaa sababu sisi sote kila mmoja wetu ameputia makuzi tofauti, tabia tofauti nk lazima kuwe na mapungufu so ili muwezi kuishi ni lazima mmoja ajishushe tu
 
Tafuta chombo kingine mkuu, kuna wanawake wenzake wanatamani wapate mume kama wewe
Yupo kwao sahivi navyoongea hapa nimemuambia akae huko kwao hadi siku atakapobadilika na asirudi tena kwangu hadi siku atakapojifunza watoto napambana nao mwenyewe wala sio shida
 
Back
Top Bottom