Kosea vyote, usikosee mume

Njoo nikuoe Mimi, nitakuwa nakukabidhi Mshahara wangu wote.
 
Huyo alikuwa baba yangu nakama unataka ushauri ni pm tuliteseka sana sie sio siri wao wanalishwa wanabembelezwa wanapewa ada za shulw pocketmoney haya yote.
 
Duuuh..!!! Umendika kwa hasira hicho kifaa ulichotumia kuandika hakijapasuka kweli..!!! Pole
 
Kweli kabisa
 
M
Jacquiline hivi wewe Mwanamke una akili timamu kweli?? umeamua kunianika humu ili iweje sasa? umeshindwa hata kuniita tuyamalize? mbaya zaidi unatumia jina lako halisi!! Nilisha gundua kitambo humu JF ni memba japo ulikataa! umo humu kitambo!
Mh mambo haya yA social media khaa.
 
DAdeki
 
🤣🤣 Duh aisee
 
Jacquiline hivi wewe Mwanamke una akili timamu kweli?? umeamua kunianika humu ili iweje sasa? umeshindwa hata kuniita tuyamalize? mbaya zaidi unatumia jina lako halisi!! Nilisha gundua kitambo humu JF ni memba japo ulikataa! umo humu kitambo!
Kumbe nimeshaolewa na Mimi sijui🤣 sikujua Kama inawezekana🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…