JACKLINE CELESTINE KITALE
Member
- Jul 29, 2021
- 81
- 158
- Thread starter
-
- #101
That's actually not my under bed jargons. U should be ashamed of urself trying to force a relationship on sb. U are laughableu know, go get a life instead of trying to force a relationship on sb. I'm here trying to make a change in my society & u just want to look cool. We can't be the same much less be in a relationship with you. Seriously go get a life. This harassment thing is not working u picked a wrong Person.Am not stupid as such! unless other wise U'r too!, above all you'r senseless too! cause u' forwarded your under bed naked jargons! if not U' would'nt have dared to behave like dat!! as a well buttered type of woman!
Aaathubutuuuuuuu!Tukipendana pesa hata hutaangalia
Nyooo!Mkuu jaribu Kidogo kwangu uone utamu wake[emoji7]
Mbona nyoo!😲Nyooo!
Hapo akija mama wa mwanamke maneno yote hayo hutoyaskia, Swala ni kwamba hakunaga mwanamke anayependa ndugu wa mwanaume hizi anazosema humu ndani ni mbwembwe tu. Blaza nakuunga mkono tusikosee mke wa kuoa.Kosea yote usikosee mke wa kuowa
Mfano tu uyu mtoa mada wengine wazazi wetu especially mama wameishi kwa shidah sana ili tusome tufanikiwe leo unafanikiwa unataka wew uishi vzr kabla ya yeye.ujui mama kapigana Vita gani na mimi.mama mzazi anastaili raha zote kabla ya kupata raha wew mke
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Ahsante sana kwa muongozoPole sana...
Nawe leta ndugu zako... Tena wakiume...
Mwanamke ukioa mlevi ni vyepesi wewe kukuingiza huko, Tofauti na mwanaume akiwa mlev vigumu kumuingiza mkeo huko...Mwanaume mwepesi sana kubadilika kuliko mwanamke tena usiombe akawa na kampan mbovu hapo utakiona cha motoSio kweli. Na hamna hafadhali hapo, kubadilika kwa mtu kunategemeana na yeye mwenyewe. Na Tena Mimi naona kuwa wanaume Ni ngumu kubadilika kwakuwa hamtaki kuonekana mmekosea kwasababu ya mfumo dume mlionao, wengi wenu.
Nadhani huwa Ni umasikini tulionao, tunashindwa kujenga maisha yetu kwa muda tuliokuwa nao na tunaanza kuwa sumbua watoto wetu baadae watuhudumie. Na kwasababu Ni watoto wetu hawawezi kukataa, na ndo maana umasikini hauwezi kuisha. Wazazi tuache hii tabia, tunawanyonya Sana watoto wanashindwa kufanya maendeleo kwenye nyumba zao.Ila la msingi wazazi tuwaache watoto wetu waendeshe maisha yao wenyewe, tusiwaingilie, hii ni pande zote wazazi wa mwanamme na hasa wa binti ndio wanaaongoza kuwageuza wakwe zao ma donor.
Pole sana inatakiwa kila kitu kiwe kwa kiasi kikishazidi kinakuwa Sumu.
Mkuu umewaza kama nilivyowaza. Lol.Mkuu sasa leo mtalalaje humo ndani? Maana kila mtu kwenye pembe yake anaandika JF ndoa hizi balaa.
Unajua nimewaza ndoa usiku inavyokuwa nikawaza wao sijui wamelalaje yaani? Maana wanatakiwa wadiscuss kwanini umenichamba JF alafu kichachofua mmhh. Lakini wao mpk saa nne wapo humu kazi kweli kweli.Mkuu umewaza kama nilivyowaza. Lol.
Kama ni wanandoa kweli hiyo mida walitakiwa wawe kwa pamoja wanatafakari kwa kuutafuta muarobaini na sio kuhangaika humu huku huyo jamaa akitaka mwenzie ndo aonekane sio.
Hivi Kuna watu wa namna hii? Kweli wahenga walisema " tembea uone" Kuna makabila ya ajabu Tanzania hii. Utalalaje chumba kimoja na mkeo pamoja na Mama yako.Hata Kama ni upendo,this is too much.
Acha kabisa Mkuu ila huenda kuna mmoja anaamua tu kujiwehusha huku kikawaida ikiwa hamna ukweli wowote kwani ndoa huwa zinajulikana humo ndani jinsi zinavyokuwaga.Unajua nimewaza ndoa usiku inavyokuwa nikawaza wao sijui wamelalaje yaani? Maana wanatakiwa wadiscuss kwanini umenichamba JF alafu kichachofua mmhh. Lakini wao mpk saa nne wapo humu kazi kweli kweli.
Basi chizi kabisa, hata hivyo sisi tunaangalia mustakabali wa ndoa na uhalisia wake mkigombana wawili inakuwaje.kumbe hii ID ya nyaru hamuijui,ndivyo hufanya akimuamulia tu mtu, nafikiri ana muda mwingi wa ziada
Kuna sehemu kaniandikia bonge la gazeti sijui hata nimemkosea ninikumbe hii ID ya nyaru hamuijui,ndivyo hufanya akimuamulia tu mtu, nafikiri ana muda mwingi wa ziada
Yupo kama somebody called Jurjan/Zuri aisee ni hatarihuwa anaboreka huko aliko so anatafuta tu mahali pa kujichangamsha.
Sizungumzii kumshauri mtoto wako, huo ni wajibu wako. ikiwezekana hata kumsaidia ili asonge mbele.Wewe unaweza kuacha kuingilia mambo ya msingi kwa mtoto wako wa kiume? Utakuwa mzazi ao korokoro?
Dunia ya sasa wanawake wamekuwa hawana Adabu kiasi hiko usiingilie ya mwanao?
MZAZI RUKSA KUVUNJA NDOA YA KIJANA WAKO WA KIUME KAMA AMEOA MWANAMKE ASIYE NA ADABU......
MTOTO WA KIKE ANAONA VIBAYA WAZAZE WA MUMEWE KUJA NYUMBANI HII KWELI IKO SAWA?
KITU CHA KWANZA KUWAFANYIA IHSAN WAZAZI HATA KAMA WANA MAPUNGUFU KIASI GANI'
Ulichoongea Ni Sasa hihi kwa asilimia zote. Sina hata chakuongeza u've spoken it all.Sizungumzii kumshauri mtoto wako, huo ni wajibu wako. ikiwezekana hata kumsaidia ili asonge mbele.
Pili, sikatazi wazazi kuomba msaada kwa watoto wao au watoto kuwasaidia wazazi wao.
Nachozungumzia mimi ni wazazi kuwapa watoto space, hivi kwa mfano mtoto wako ndo kaingia kwenye ndoa, hajajenga, wewe mzazi uko nyumbani kwako?
Inaingia akilini kumkomalia mtoto wako afanye ukarabati wa nyumbani kwako/kwao huku hata kiwanja hana? kwa nini usimkomalie ajenge kwanza?
Pili, ndo kwanza amepata mtoto au hajapata, kuna sababu ya msingi kumkomalia asaidie kusomesha watoto wa ndugu zake? badala ya kumkomalia akazane fasta apate watoto mapema?
Tatu, unaamia nyumbani kwa mtoto wako, hauumwi, wala huko kwako sio kwamba mafuriko yameharibu nyumba au kuna vita, why? unajifanya wewe mtoto wao au?