Yaani kaunganisha mambo mpaka unahisi kweli. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu kwani unadhani atasemaje hapo? atasema ivoivo!! eti ''ya walimwengu'' yaani huyu mke wangu kisirani sana, hapo kajipanga kunishambulia maksudi tu! na anajua maksudi mie ntajua tu! ananitumia ujumbe kijanja!! halafu avatar yangu hajibu,
Hata yaani huyu! FB, yumo!, w/app yumo!, Instagram!, mawee niseme nini mie! ila mie huko nimekausha, kasoro Quora tu ndo simuoni kurandaranda kule!! yaaani huyu mwanamke ni pasua kichwa sana,
Yaani iko ivi hata nikimwambia haya! ataniruka, kifupi amejipanga kunichafua na kunitumia maujumbe ya kijinga kupitia humu, aliwahi nambia kuwa nina kisirani simsikilizi, Oooh! sijui nina asili ya Mara ndo maana nina kiburi ivi!! dadazake wanamchekea!
Ila basi tu dawa yake naijua, najua kabisa nikimwambia atakana tu futi mia! eti siyo yeye ni majina tu kufanana!! lkn story izi zinaenda sawa,sawa n tunavoishi. wanawake yaani mie sina hamu mie!! na simu yake haiguswi mkali huyo!! kununa sasa Maweee!
Sasa mie nimechukua jukumu la kwanza kumuonyesha dadake anavo ninanga mdogo wake mitandaoni, dadake kaniruka anasema eti ni pressure yangu tu!! yaani wanadharau hawa!!! heee! sometimes anajishahu! ukimuhakikishia ujinga wake anafake km utani ivi!1
yaani nina mengi sana ya kuongea kuhusu huyu Mwanamke, Mkuu unajua chanzo ni nini mpaka tufikie hatua hii? kipindi falni nyuma Mie niliomba ushauri tu uliomuhusu yeye! humu humu JF lkn sikumtaja, ila
niliweka kwa majina X'' kwa jinsi tuvokuwa tunaishi kiharakati nikatoa km hadithi!! km ujuavyo kuna vidada vimbeya km nini! si vikapeleka habari bana!! akainyaka! ndo na yeye ananifanyia ivi kulipizia!
Ajabu sasa yeye kapata wachangiaji wengi ajili yeye ni mwanamke! lkn mie nilipata kiduchuuuu!! tena sidhani km uzi wenyewe bado uko humu! ila hyu Mke wangu bana hapana nahisi kizunguzungu!! kuna siku niliwaza nianze kimya kimya? roho nyingine ikakataa!
Usimuone ivo kuniruka eti mie kujitetea ni ya walimwengu hata Nyumbani ivoivo! ni tabia ya mke wangu! ana kipaji cha kujikausha na jambo likapotea kihivo!!
sasa hapo ndo chanzo cha haya yooote make aliniambia ivi ''tutaona basi mimi na wewe nani mwenye haki!! sasa kuuumbe na yeye ameyaleta humu, akibisha ule uzi wangu ntaufufua hapa hapa!
Lkn sasa wanawake hawana akili anaweza weka humu mpaka picha yangu, mnione weee!! wakunanga waninange, si mtanijua? hicho tu ndo sipendi!! yaani ka-mwanamke kakorofi ni hakn mfano!! haya majina ya kina Jack haya?? jamani pwiiiii!!! Mie tena .......... nimekoma mie!