Kosea vyote, usikosee mume

Kosea vyote, usikosee mume

Aisee aikwambie mtu kosea kuchagua nguo, utabadilisha, kosea rafiki utawapotezea lakini usikosee mume. Ukikosea mwanaume wa kuolewa nae tu, umekosea kila kitu.
Kikweli wanaume wa siku hizi, hawana uchungu hata kidogo na familia zao.

Utakuta mume ana mke na watoto lakini Bado anaongozwa na maeneno ya ndugu zake na mama yake. Sisemi kuwa Ni vibaya kuisikiliza wazazi wako na dada na Kaka zako la hasha. Unaweza kuwasikiliza lakini maneno ya kuambiwa changanya na ya kwako.

Wewe nii mume sasa na sio mtoto mdogo, unafamilia hao ndio kaka na dada zako wa kwanza, damu yako. Ndio watu wa kwanza unaotakiwa kuwasikiliza.

Unakuta mwanaume anapata mshahara wote anampelekea mama yake, mke akiitaji matumizi anaambiwa akayafutae kwa mama mkwe, hivi kweli jamani?

Wengine wanaleta wazazi, hasa mama zao waje wakae Hapo anapoishi na mke wake. Hivi unadhani Ni ustaarabu kwa mama kusikia mambo yote mnayoyafanya mkiwa chumbani.

Mnakosa hata muda wa faragha kati yenu mwishowe mnajikuta hamna mapenzi Tena kwenye ndoa kwasababu hamuhudumiani.

Na mwanamke hawezi kukuambia usimlete mama yako, kwasababu ataonekana ana roho mbaya. Ila ukweli ndio huo.

Wanaume wengine mkipata pesa kidogo tu mnataka ujionyeshe kwa watu kuwa wewe una mapesa, eti unaweka heshima baa. Embu acheni ujinga mkalee familia zenu. Kama hamuyataki majukumu kwanini mmeingia kwenye ndoa?
Wanaume mjirekebishe jamani, inasikitisha Sana.
Japo mie ni mwanaume but umesema kweli tupu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Aisee aikwambie mtu kosea kuchagua nguo, utabadilisha, kosea rafiki utawapotezea lakini usikosee mume. Ukikosea mwanaume wa kuolewa nae tu, umekosea kila kitu.
Kikweli wanaume wa siku hizi, hawana uchungu hata kidogo na familia zao.

Utakuta mume ana mke na watoto lakini Bado anaongozwa na maeneno ya ndugu zake na mama yake. Sisemi kuwa Ni vibaya kuisikiliza wazazi wako na dada na Kaka zako la hasha. Unaweza kuwasikiliza lakini maneno ya kuambiwa changanya na ya kwako.

Wewe nii mume sasa na sio mtoto mdogo, unafamilia hao ndio kaka na dada zako wa kwanza, damu yako. Ndio watu wa kwanza unaotakiwa kuwasikiliza.

Unakuta mwanaume anapata mshahara wote anampelekea mama yake, mke akiitaji matumizi anaambiwa akayafutae kwa mama mkwe, hivi kweli jamani?

Wengine wanaleta wazazi, hasa mama zao waje wakae Hapo anapoishi na mke wake. Hivi unadhani Ni ustaarabu kwa mama kusikia mambo yote mnayoyafanya mkiwa chumbani.

Mnakosa hata muda wa faragha kati yenu mwishowe mnajikuta hamna mapenzi Tena kwenye ndoa kwasababu hamuhudumiani.

Na mwanamke hawezi kukuambia usimlete mama yako, kwasababu ataonekana ana roho mbaya. Ila ukweli ndio huo.

Wanaume wengine mkipata pesa kidogo tu mnataka ujionyeshe kwa watu kuwa wewe una mapesa, eti unaweka heshima baa. Embu acheni ujinga mkalee familia zenu. Kama hamuyataki majukumu kwanini mmeingia kwenye ndoa?
Wanaume mjirekebishe jamani, inasikitisha Sana.

Wanaume wengi wa namna hiyo ni wale waliolelewa na single mother, wanaharakati ambao kwenye ndoa zao wao ndio waume na wanawake, hawa wanakuwa wanataka kuhakikisha kama vile mtoto huyo hakui. Mama anataka ku control kila kitu cha mwanawe kwa kuwa yeye ndio alimsomesha, alimlea, anaona kama mke ni wakuja tu hatakiwi kufaidi matunda.

NB: Sio single mothers wote wanapenda huo ujinga ila asilimia kubwa ni wasumbufu sana kwenye ndoa za watoto wao wote.
 
Nadhani huwa Ni umasikini tulionao, tunashindwa kujenga maisha yetu kwa muda tuliokuwa nao na tunaanza kuwa sumbua watoto wetu baadae watuhudumie. Na kwasababu Ni watoto wetu hawawezi kukataa, na ndo maana umasikini hauwezi kuisha. Wazazi tuache hii tabia, tunawanyonya Sana watoto wanashindwa kufanya maendeleo kwenye nyumba zao.
Wazazi hao hao ndo wamefanya huyo jamaa afike hapo na akutane na ww.

Kama unaona huwezi toboa nae unaondoka unatafuta sehemu ambapo hakuna shida kama hizo.

Mbona simpo tuu.
 
Aisee aikwambie mtu kosea kuchagua nguo, utabadilisha, kosea rafiki utawapotezea lakini usikosee mume. Ukikosea mwanaume wa kuolewa nae tu, umekosea kila kitu.
Kikweli wanaume wa siku hizi, hawana uchungu hata kidogo na familia zao.

Utakuta mume ana mke na watoto lakini Bado anaongozwa na maeneno ya ndugu zake na mama yake. Sisemi kuwa Ni vibaya kuisikiliza wazazi wako na dada na Kaka zako la hasha. Unaweza kuwasikiliza lakini maneno ya kuambiwa changanya na ya kwako.

Wewe nii mume sasa na sio mtoto mdogo, unafamilia hao ndio kaka na dada zako wa kwanza, damu yako. Ndio watu wa kwanza unaotakiwa kuwasikiliza.

Unakuta mwanaume anapata mshahara wote anampelekea mama yake, mke akiitaji matumizi anaambiwa akayafutae kwa mama mkwe, hivi kweli jamani?

Wengine wanaleta wazazi, hasa mama zao waje wakae Hapo anapoishi na mke wake. Hivi unadhani Ni ustaarabu kwa mama kusikia mambo yote mnayoyafanya mkiwa chumbani.

Mnakosa hata muda wa faragha kati yenu mwishowe mnajikuta hamna mapenzi Tena kwenye ndoa kwasababu hamuhudumiani.

Na mwanamke hawezi kukuambia usimlete mama yako, kwasababu ataonekana ana roho mbaya. Ila ukweli ndio huo.

Wanaume wengine mkipata pesa kidogo tu mnataka ujionyeshe kwa watu kuwa wewe una mapesa, eti unaweka heshima baa. Embu acheni ujinga mkalee familia zenu. Kama hamuyataki majukumu kwanini mmeingia kwenye ndoa?
Wanaume mjirekebishe jamani, inasikitisha Sana.
Huyo mdau ana matatizo,usahihi wa mambo ukipata hela kwanza mpe mkeo kisha wazazi wako,kisha wengine.

Ila wake zetu nyinyi pia huwa mna matatizo sana hasa ubinafsi. Kuna muda huwa hamtaki tuwape ndugu zetu bali hata wazazi wetu.
 
Aisee aikwambie mtu kosea kuchagua nguo, utabadilisha, kosea rafiki utawapotezea lakini usikosee mume. Ukikosea mwanaume wa kuolewa nae tu, umekosea kila kitu.
Kikweli wanaume wa siku hizi, hawana uchungu hata kidogo na familia zao.

Utakuta mume ana mke na watoto lakini Bado anaongozwa na maeneno ya ndugu zake na mama yake. Sisemi kuwa Ni vibaya kuisikiliza wazazi wako na dada na Kaka zako la hasha. Unaweza kuwasikiliza lakini maneno ya kuambiwa changanya na ya kwako.

Wewe nii mume sasa na sio mtoto mdogo, unafamilia hao ndio kaka na dada zako wa kwanza, damu yako. Ndio watu wa kwanza unaotakiwa kuwasikiliza.

Unakuta mwanaume anapata mshahara wote anampelekea mama yake, mke akiitaji matumizi anaambiwa akayafutae kwa mama mkwe, hivi kweli jamani?

Wengine wanaleta wazazi, hasa mama zao waje wakae Hapo anapoishi na mke wake. Hivi unadhani Ni ustaarabu kwa mama kusikia mambo yote mnayoyafanya mkiwa chumbani.

Mnakosa hata muda wa faragha kati yenu mwishowe mnajikuta hamna mapenzi Tena kwenye ndoa kwasababu hamuhudumiani.

Na mwanamke hawezi kukuambia usimlete mama yako, kwasababu ataonekana ana roho mbaya. Ila ukweli ndio huo.

Wanaume wengine mkipata pesa kidogo tu mnataka ujionyeshe kwa watu kuwa wewe una mapesa, eti unaweka heshima baa. Embu acheni ujinga mkalee familia zenu. Kama hamuyataki majukumu kwanini mmeingia kwenye ndoa?
Wanaume mjirekebishe jamani, inasikitisha Sana.
Tafuta Pesa Dada. Lea Wanao kwa upendo na katika hofu ya Mungu.
 
‘Utaonekana una roho mbaya?’

Kwanza nikutoe hofu ni kweli una roho mbaya ya asili kwahiyo usijali kuhusu kuonekana maana hata hapa kwenye uzi wako kuna chembe chembe za karoho kabaya.

Sasa badilisha uzi wako uandike usikosee ukaolewa na mtoto wa mama.Wewe umeolewa na mtoto wa mama na watoto wa mama wote ndo tabia zao hizo m,ulipaswa kujua mtoto wa mama akikuoa ujue umeolewa na mama yake pia.

Punguza kisirani kidogo inawezakana ukatatua 50% ya matatizo uliyonayo kwenye ndoa yako.
Shukran kwa kumjibu kiungwana.
 
Kwenye haya maisha ya ndoa, mwanamke unapokuwa huna kipato kabisa unategemea kila kitu kitoke kwa mumeo, utaishi maisha ya ajabu na ya mateso sana.

Wanawake tujishughulishe, tuwe na vipato pia hata Kama ni kiasi kidogo, kwa juhudi na maarifa kipato kitaongezeka.
 
Aisee aikwambie mtu kosea kuchagua nguo, utabadilisha, kosea rafiki utawapotezea lakini usikosee mume. Ukikosea mwanaume wa kuolewa nae tu, umekosea kila kitu.
Kikweli wanaume wa siku hizi, hawana uchungu hata kidogo na familia zao.

Utakuta mume ana mke na watoto lakini Bado anaongozwa na maeneno ya ndugu zake na mama yake. Sisemi kuwa Ni vibaya kuisikiliza wazazi wako na dada na Kaka zako la hasha. Unaweza kuwasikiliza lakini maneno ya kuambiwa changanya na ya kwako.

Wewe nii mume sasa na sio mtoto mdogo, unafamilia hao ndio kaka na dada zako wa kwanza, damu yako. Ndio watu wa kwanza unaotakiwa kuwasikiliza.

Unakuta mwanaume anapata mshahara wote anampelekea mama yake, mke akiitaji matumizi anaambiwa akayafutae kwa mama mkwe, hivi kweli jamani?

Wengine wanaleta wazazi, hasa mama zao waje wakae Hapo anapoishi na mke wake. Hivi unadhani Ni ustaarabu kwa mama kusikia mambo yote mnayoyafanya mkiwa chumbani.

Mnakosa hata muda wa faragha kati yenu mwishowe mnajikuta hamna mapenzi Tena kwenye ndoa kwasababu hamuhudumiani.

Na mwanamke hawezi kukuambia usimlete mama yako, kwasababu ataonekana ana roho mbaya. Ila ukweli ndio huo.

Wanaume wengine mkipata pesa kidogo tu mnataka ujionyeshe kwa watu kuwa wewe una mapesa, eti unaweka heshima baa. Embu acheni ujinga mkalee familia zenu. Kama hamuyataki majukumu kwanini mmeingia kwenye ndoa?
Wanaume mjirekebishe jamani, inasikitisha Sana.
Jackline, kama umeolewa tathmini nafasi yako (mchango wako kihali na mali) katika hiyo ndoa. Kama hujaolewa, namshauri mchumba wako (kama unaye) akujue vizuri kwanza
 
Kama ni kweli nyie ni wanandoa hamfanyi fair coz ni kama mnaanika madhaifu yenu tuyajue tu basi
 
Mimi ukiigusa familia yangu yaani watoto wangu na mke wangu hakika umenigusa mimi,hata kama ni ndugu yangu wa damu hatutaweza kuelewena abadan!Mama na baba wanayonafasi lakini yenye mipaka.Nitatoa huduma kwa kumshirikisha mke wangu au yeye mke wangu huduma azifikishe kwa wakwe zake.Mama akitaka kuja kuniona mwanawe lazima nijipange kama nina chumba na sebule siwezi kumlaza mama yangu sebuleni ateseke lazima alale chumbani tena chumba comfortable,sasa kama chumba ni kimoja mama yangu hatokuja kwangu labda kuwe kuna mama ndani ya nyumba mwenye heshima zake na stara nimuombee mama yangu kukaa hapo kwa muda specified!Kama hayo hayawezekani na mama haji kwa ajili ya matibabu basi mama akae kwa kutulia kijijini!Akija mzazi kama ni kwa uzima tu na kupumzika lazima waje wakae hotelini hata ya 25,000/=kwa siku hapo Dar!
 
Huenda choyo ndicho kinachokusumbua!

Halafu ukute nduguzo wanakuja hapo na wanahudumiwa na huyo mume unaona ni sawa ila ndugu wa mume tena wazazi inakuuma?’

Ukiona mwanamke hataki wageni tatizo huwa ni choyo.

Imeandikwa: “iweni wakarimu kwa wageni sababu kwa kufanya hivyo wengine wameweza kuwakaribisha Malaika wa Mungu.

Na ujue Malaika wa Mungu akija faida zake ni nyingi.
 
Kwaiyo akikutembelea ndo alale hapo ??
Yaan wewe na mke wako mmelala kitandani alafu Mama yako naye amejikunja chini hapo, ukimshika tako mkeo bi mdashi anajifunika uso [emoji23][emoji23][emoji23]
Teh teh teh teh....nyie raia bhana haaa haaa ahaaa😂😂
 
Kosea yote usikosee mke wa kuowa
Mfano tu uyu mtoa mada wengine wazazi wetu especially mama wameishi kwa shidah sana ili tusome tufanikiwe leo unafanikiwa unataka wew uishi vzr kabla ya yeye.ujui mama kapigana Vita gani na mimi.mama mzazi anastaili raha zote kabla ya kupata raha wew mke

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Hv unazani mama mkwe ali hustle vip na mwanae mpka kawa hvyo mnakutana ukubwani, acha mother afaidi matunda ya mwanae kwanza.
Mtoa mada pitia maoni ya hawa wadau.

Vipi na wewe mama yako hujawahi kumleta hapo.
 
Yaani wanaume huwa wanakuwa rational and logical until mama zao wakitajwa.

Yaani hata aambiwe mama alimshikia mkewe kisu kooni ataishia kusema mke kamshikisha mama kisu.

Kukushauri mleta mada; fight battles utakazowezana nazo. Kuna tabia huwezi zijua hadi uolewe na mtu hivyo prevention inaweza shindikana.

Achana na kuweka resistance linapokuja suala la mwanaume na nduguze. Hutoishi kwa amani kamwe!
 
mimi wanawake siwaamini kabisa. yupo radhi apindue ukweli ili aonewe huruma na hadhira. mlete mumeo naye tumsikie
 
Mimi najua ukimkosea mume atakufanya kitu kibaya Sana.

Hata kama umekosea unaweza ukamrudisha kwenye mstari
 
Back
Top Bottom