Kozi ambazo ajira zake ni ngumu kupata

Kozi ambazo ajira zake ni ngumu kupata

unatumia driver gani mkuu. Kwa wanaotumia uc browser wanaweza kuona nani yuko online hata akitumia mchina. sasa weye watumia browser gan mpaka unaweza ku like?

Opera Mini hakunaga!
 
Amin nakuambia hakuna course ambayo haina deal its jus tha matter of time, GREAT ACHIEVEMENT IS BROUGHT BY GREAT PATIENT , GREAT EFFORT AND GREAT COURAGE, we kwa mwaka unafanya applications 10 unategemea upate kazi ni nadra mno, apply mara nyingi mno na usikate tamaa, Trust me watu wengi wamepata bila hata connection.
 
Unakuta dume zima na ndevu zake eti linapoteza nguvu zake eti kusoma procurement au envirönment studies!

Jione ulivo na mawazo mgando,hakuna nafas za kaz znazotoka bila kuwepo za watu wa procuremnt,na accordn to proc act 2001 inatoa kpaumbeele kwa asasi mbali mbali na sekta zote za umma kuwepo na wataalam wa manunuzi.we wa wapi!?na umesoma nn hko unachohis n bora?shwa+n.
 
Kozi rahisi kupata kazi ni kusomea uhasibu,halafu ukishamaliza jiandikishe kufanya mitihani ya CPA.Kamwe huwezi kukosa kazi

samahani mkuu nachanganya madesa kidogo# mimi ninasoma BCOMEducation ndo naingia mwaka 3#je naweza kujiandikisha kupiga mitihani ya bodi ya uhasibu nikimaliza au kusoma masters ya uhasibu maana ndio ndotoyangu?
 
samahani mkuu nachanganya madesa kidogo# mimi ninasoma BCOMEducation ndo naingia mwaka 3#je naweza kujiandikisha kupiga mitihani ya bodi ya uhasibu nikimaliza au kusoma masters ya uhasibu maana ndio ndotoyangu?

inawezekana sema kuna stage utaanza tofaut na aliesoma accounts yenyewe
 
If you fail to plan,it mean that you plan to fail.

Hii kulilialilia ajira hii ndo inajaza tegemezi wengi na elimu yetu kukosa thamani,utakuta limtu lina 40's yrs lina shahada ndani lakini linasubiri msosi wa kengere yan limeshaset mind yake haliwezi kusurvive bila ajira huu ni upumbavu!ni kushindwa kuelewa kabisa maana ya elimu,kabla hujaenda kusomea chochote jua kwanza elimu ni nini?

Elimu maana yake ni ule ufahamu na ujuzi ambao binadamu anaupata ili umsaidie ktk kupambana na vikwazo vya maisha........
1.Ujinga,
2.Maradhi
3.Umasikini
kama umeshindwa kupambana na hivyo vitu vitatu hapo juu na unatambia shahada yako ndani wewe ni JANGA!
KUPANGA NI KUCHAGUA
 
samahani mkuu nachanganya madesa kidogo# mimi ninasoma BCOMEducation ndo naingia mwaka 3#je naweza kujiandikisha kupiga mitihani ya bodi ya uhasibu nikimaliza au kusoma masters ya uhasibu maana ndio ndotoyangu?

Weee kweli mchora mazombi yani bCom education ufanye CPA ,!unakichaaa cha mbuzi wewe ,CPA huiweziii ungesoma BAF tena ya MUCCoBS ndio kuna uhakika mkubwa wa kufaulu CPA
 
If you fail to plan,it mean that you plan to fail.

Hii kulilialilia ajira hii ndo inajaza tegemezi wengi na elimu yetu kukosa thamani,utakuta limtu lina 40's yrs lina shahada ndani lakini linasubiri msosi wa kengere yan limeshaset mind yake haliwezi kusurvive bila ajira huu ni upumbavu!ni kushindwa kuelewa kabisa maana ya elimu,kabla hujaenda kusomea chochote jua kwanza elimu ni nini?

Elimu maana yake ni ule ufahamu na ujuzi ambao binadamu anaupata ili umsaidie ktk kupambana na vikwazo vya maisha........
1.Ujinga,
2.Maradhi
3.Umasikini
kama umeshindwa kupambana na hivyo vitu vitatu hapo juu na unatambia shahada yako ndani wewe ni JANGA!
KUPANGA NI KUCHAGUA

Much respect mkuu, katika comment zote hii ndio ilitakiwa ipewe like mingi mingi lakini hakuna wana jf vp anaeongea ukweli mnamkimbia.

Mkuu mi ningekupa like sema device nnayotumia haiwezi anyway kula like kuuuuuuuubwaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom