The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,412
- 20,685
Kozi Mbwembwe mpango CONNECTION.
Uko sahihi kabisa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kozi Mbwembwe mpango CONNECTION.
Haina ajira kabisa hii kila chuo kinatoa uhasibu e..g MUCCoBS, udsm,mzumbe,UDOM,TIA,IAA,TUMAINI,SAUT,ST.JOHN,IFM,
Kozi ambao haina ajira ni ile ya sua unakuwa dr wa mifugo kuchoma mbwa,ngo'mbe sindano.
unatumia driver gani mkuu. Kwa wanaotumia uc browser wanaweza kuona nani yuko online hata akitumia mchina. sasa weye watumia browser gan mpaka unaweza ku like?
Opera Mini hakunaga!
Unakuta dume zima na ndevu zake eti linapoteza nguvu zake eti kusoma procurement au envirönment studies!
Kozi rahisi kupata kazi ni kusomea uhasibu,halafu ukishamaliza jiandikishe kufanya mitihani ya CPA.Kamwe huwezi kukosa kazi
samahani mkuu nachanganya madesa kidogo# mimi ninasoma BCOMEducation ndo naingia mwaka 3#je naweza kujiandikisha kupiga mitihani ya bodi ya uhasibu nikimaliza au kusoma masters ya uhasibu maana ndio ndotoyangu?
Hata me naikubali. Ila mdau sijui ana like na browser gani akiwa na mchina!!
inawezekana sema kuna stage utaanza tofaut na aliesoma accounts yenyewe
samahani mkuu nachanganya madesa kidogo# mimi ninasoma BCOMEducation ndo naingia mwaka 3#je naweza kujiandikisha kupiga mitihani ya bodi ya uhasibu nikimaliza au kusoma masters ya uhasibu maana ndio ndotoyangu?
Weee kweli mchora mazombi yani bCom education ufanye CPA ,!unakichaaa cha mbuzi wewe ,CPA huiweziii ungesoma BAF tena ya MUCCoBS ndio kuna uhakika mkubwa wa kufaulu CPA
Sehemu ya like ipo mkuu sema iko kiupendeleo kwa wale wanaotumia pc
Vipi uhasibu?
Theology hukosi kazi. Kuna demand kubwa ya watumishi katika shamba la bwana.
If you fail to plan,it mean that you plan to fail.
Hii kulilialilia ajira hii ndo inajaza tegemezi wengi na elimu yetu kukosa thamani,utakuta limtu lina 40's yrs lina shahada ndani lakini linasubiri msosi wa kengere yan limeshaset mind yake haliwezi kusurvive bila ajira huu ni upumbavu!ni kushindwa kuelewa kabisa maana ya elimu,kabla hujaenda kusomea chochote jua kwanza elimu ni nini?
Elimu maana yake ni ule ufahamu na ujuzi ambao binadamu anaupata ili umsaidie ktk kupambana na vikwazo vya maisha........
1.Ujinga,
2.Maradhi
3.Umasikini
kama umeshindwa kupambana na hivyo vitu vitatu hapo juu na unatambia shahada yako ndani wewe ni JANGA!
KUPANGA NI KUCHAGUA