Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Kuna dogo ana Bachelor ya Computer science nataka Masters akapige hiyo course. Chuo kipi ni kizuri kwa hiyo course ?
_20200310_121504.JPG
 
Mbona Kama Nelson Mandela(Arusha) kama wanayo hiyo kozi ya Nanotechnology.
 
Mfano swala la AI ndio linalotrend kwa sasa, lakini cha ajabu wasomi wetu wala hata haliwastui.
Kuna project nilikua nataka kuifanya lakini kutokana na uelewa mdogo wa wasomi wetu imekua ngumu kuifanikisha.
Project gani??Artificial Intelligence unataka kupiga utabe gani?
 
Hello wana JF .

Unakuta umesoma kozi ambazo either ulijikuta tu comby imebalance au kwa kua zilikua na priority ya mkopo lakini hazikua chaguo lako.

Baada ya kuhitimu ukaingia kitaa ukakuta things on the ground are not as you thought. Kozi uliosoma haina market.

Please share your experience about life after college.

Sent using Jamii Forums mobile app
accounts
 
Moja ya changamoto ipo hapo. But ni project ya muda mrefu kidogo
Washawishi watu,kama ni project ambayo wanaweza kunufaika nayo ni very simple watu ku take risk ila lazima uprove kwmb upo competent kwny hiyo project.

Mm nina project yng nilikuwa naifanya imenifilisi pesa nyingi sana,na ilivyoingia hiyo COVID 19 ndio nimevunjika moyo kabisa ,maana kuna vitu ambazo nilipaswa kwenda China kuangalia.
 
Washawishi watu,kama ni project ambayo wanaweza kunufaika nayo ni very simple watu ku take risk ila lazima uprove kwmb upo competent kwny hiyo project.

Mm nina project yng nilikuwa naifanya imenifilisi pesa nyingi sana,na ilivyoingia hiyo COVID 19 ndio nimevunjika moyo kabisa ,maana kuna vitu ambazo nilipaswa kwenda China kuangalia.
Asante mkuu kwa ushauri, kwasasa acha niongeze effort maana kuna eneo imepwaya kidogo.
kuhusu hyo project yako hutakiwi kukata tamaa, COVID 19 ni ugonjwa wa kupita tu.
 
Nimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.

Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.

Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
Unaweza kutengeneza intercontinental missile icbm Kuna jamaa mhindi alitoroka na hela zetu kwenye project moja hivi yupo india

Sent from my I phone
 
Back
Top Bottom