Kwa hapa Tanzania akuna chuo chochote kinatoa hiyo coz kwa sasa.Kuna dogo ana Bachelor ya Computer science nataka Masters akapige hiyo course. Chuo kipi ni kizuri kwa hiyo course ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hapa Tanzania akuna chuo chochote kinatoa hiyo coz kwa sasa.Kuna dogo ana Bachelor ya Computer science nataka Masters akapige hiyo course. Chuo kipi ni kizuri kwa hiyo course ?
Kuna dogo ana Bachelor ya Computer science nataka Masters akapige hiyo course. Chuo kipi ni kizuri kwa hiyo course ?
Tanzania huwa tupo slow sana mpaka nashindwa kuelewa shida ipo wapi.Kwa hapa Tanzania akuna chuo chochote kinatoa hiyo coz kwa sasa.
No hurry in Africa 😀 😀 😀 😀 😀 😀Tanzania huwa tupo slow sana mpaka nashindwa kuelewa shida ipo wapi.
Asante.
Mfano swala la AI ndio linalotrend kwa sasa, lakini cha ajabu wasomi wetu wala hata haliwastui.No hurry in Africa 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Project gani??Artificial Intelligence unataka kupiga utabe gani?Mfano swala la AI ndio linalotrend kwa sasa, lakini cha ajabu wasomi wetu wala hata haliwastui.
Kuna project nilikua nataka kuifanya lakini kutokana na uelewa mdogo wa wasomi wetu imekua ngumu kuifanikisha.
Laser na AI iweze kufanya kazi kwa pamoja.Project gani??Artificial Intelligence unataka kupiga utabe gani?
List of Courses Offered at Nelson Mandela African Institution, NMAIST: 2019/2020 - Explore the Best of East AfricaMbona Kama Nelson Mandela(Arusha) kama wanayo hiyo kozi ya Nanotechnology.
Mambo ya Laser Technology baba hayo!Laser na AI iweze kufanya kazi kwa pamoja.
Yes ni Laser Technology. Hiyo project ni binafsi na ikifanikiwa itakua na pesa sana.Mambo ya Laser Technology baba hayo!
Hiyo project binafsi au ya kichuo chuo?
Hahahh project binafsi zinakula sana pesa ila km inamanufaa kiTaifa unaweza pata watu wa kuku support!Yes ni Laser Technology. Hiyo project ni binafsi na ikifanikiwa itakua na pesa sana.
kuna wahindi niliwacheck sema wanatamaa sana.
accountsHello wana JF .
Unakuta umesoma kozi ambazo either ulijikuta tu comby imebalance au kwa kua zilikua na priority ya mkopo lakini hazikua chaguo lako.
Baada ya kuhitimu ukaingia kitaa ukakuta things on the ground are not as you thought. Kozi uliosoma haina market.
Please share your experience about life after college.
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya changamoto ipo hapo. But ni project ya muda mrefu kidogoHahahh project binafsi zinakula sana pesa ila km inamanufaa kiTaifa unaweza pata watu wa kuku support!
Kwny project yko unataka ku implement nn?
Washawishi watu,kama ni project ambayo wanaweza kunufaika nayo ni very simple watu ku take risk ila lazima uprove kwmb upo competent kwny hiyo project.Moja ya changamoto ipo hapo. But ni project ya muda mrefu kidogo
Asante mkuu kwa ushauri, kwasasa acha niongeze effort maana kuna eneo imepwaya kidogo.Washawishi watu,kama ni project ambayo wanaweza kunufaika nayo ni very simple watu ku take risk ila lazima uprove kwmb upo competent kwny hiyo project.
Mm nina project yng nilikuwa naifanya imenifilisi pesa nyingi sana,na ilivyoingia hiyo COVID 19 ndio nimevunjika moyo kabisa ,maana kuna vitu ambazo nilipaswa kwenda China kuangalia.
Medicine doctor. Kozi gumu miaka Sita shule halafu mshahara mdogo kuliko hata aliesoma kozi ya miaka mitatu huku akila bata chuoni.
Sishauri Kabisa mtu asome kozi hii
duuh huyu mvuta bangi katuweza kwa kutupelekesha kwenye huu Uzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza kutengeneza intercontinental missile icbm Kuna jamaa mhindi alitoroka na hela zetu kwenye project moja hivi yupo indiaNimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.
Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.
Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
Naunga mkonoMedicine doctor. Kozi gumu miaka Sita shule halafu mshahara mdogo kuliko hata aliesoma kozi ya miaka mitatu huku akila bata chuoni.
Sishauri Kabisa mtu asome kozi hii