Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Unaweza kutengeneza intercontinental missile icbm Kuna jamaa mhindi alitoroka na hela zetu kwenye project moja hivi yupo india

Sent from my I phone
Mnataka ya aina gani maana zipo nyingi mfano IRBMs, MRBMs. SRBMs TBMs
Kuna intermediate,medium,short range na tactical?Hizo SRBM's na MRBM's tunaziita TBM's yaani Theatre Ballistic Missile always has a range less than 3500km.Wahindi ni wataaramu wa kuunda agniV-ICBM mara nyingi zinatumia liquid propellant,solid fuel.Nyinyi mlimpa awatengenezee ipi kati ya hzo,itakuwa hamkumlipa Pesa nzuri nyinyi?
 
Mbuge umjui ww eti yupo social miyeyusho yule jamaa afai kabisa ndugu zake aliotoka nao kijiji kimoja alishindwa waingiza jkt ndo sembuse ww uende akujui ww...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata DIT ni hivyo hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Udaktari ni wito sio kazi ya kujipatia mshahara mnono.
Nani kakwambia.

Wito utapeleka watoto shule, au kulipia matumizi ya nyumbani au kunijengea nyumba ya kuishi.

Eti wito. Hamna kitu kama hicho. Msijidanganye.

Nchi za wenzetu madaktari wanalipwa vizuri kichizi, thamani ya kazi yao inatambuliwa.
Nyie huku mmekalia wito wito.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushaambiwa kuna kazi za wito Udaktari na Uwalimu.Vijana wa siku hizi hamna Uzalendo kabisa hata kidogo,mnawaza mijihela tu.
🤣 🤣 🤣
 
Ushaambiwa kuna kazi za wito Udaktari na Uwalimu.Vijana wa siku hizi hamna Uzalendo kabisa hata kidogo,mnawaza mijihela tu.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Hapana hizo ni kauli tu za viongozi kuwakandamiza madaktari na kuwalipa mishahara kiduchu isyolingana na ugumu wa kazi.

Kenya tu hapo madaktari wanalipwa vizuri kichizi.

Bongo huku ni wito tu. Wito haulishi familia mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zambia hapo Drs wanalipwa $1000 take home. Ma Dr Wa congo wote wamejaa huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zambia hapo Drs wanalipwa $1000 take home. Ma Dr Wa congo wote wamejaa huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hajazuiwa mtu kutoka,akiona mshahara mdogo anawezaenda kwny mshahara mkubwa.
Mbona kuna watu wanapiga kazi Canada huko hawa madokta wetu wanangoja nini?.Watu wakitoka hata jam itapungua binafsi nashauri watu watoke wasiogope kutoka kusaka fursa nje ya nchi.
 
Kozi karibu zote za social science (angalau advocates kidogo) ni chenga na za Biashara (angalau CPA s)
Kozi nzuri ni hizi
Za afya zote
Uhandisi wote
Land savey, wasanifu majengo,

Veternary
Mze baba ila hao wa socila science wanapiga pesa kwenye NGOs balaa..wanacheze 6 to 11m per month.
 
Mdogo wangu mimi hapa kaka ako ni Procurement Cordinator kwenye shirika flani la Kimataifa(INGO) Nakushauri life is too short. Nimepiga Public Admin, nikaja nikaweka na PGD ya procurement. Salary za kwenye NGOs zinajulikana. Ila kwa mwezi kwenye michakato ya hapa kule hapa kule naweka mpaka 45milion kwenye accounts. Jiongeze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…