Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Basi nenda hizo nchi za wenzetu ukafanye kazi ulipwe mshahara mnoni..sisi huku kwetu ni wito..hutaki kalime bangi..

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Udaktari ni wito mpk ulaya na China huko check wale madktari waliopaswa kufunga ndoa mwezi huu China wakajikuta wapo busy wanapishana tu shift ,mpk harusi ikawa cancelled ila raia ikabd wapambane kuwakutanisha wawafungishe ndoa hapo hapo hospital na uniform zao.
Huo ndio wito.
 
mbona nasikia hii ina soko sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi za Biomedical Engineers hufanya yafuatayo:
1. Kudesign system na bidhaa, kama vile viungo vya ndani vya bandia, vifaa vya bandia ambavyo hubadilisha sehemu za mwili, na mashine za kugundua shida za matibabu.
2.Kurekebisha au kutoa msaada wa kiufundi kwa vifaa vya biomedical.

Kabla ya Kozi hii kutambulishwa na chuo cha Nelson Mandela Arusha miaka hii ya karibuni na kutoa wahitimu kazi hizi zilikuw zinafanywa na watu wa Mechanical na Electrical.

Kuajiri Biomedical engineer asiye na uzoefu kwenye hospital yako si bora kuajiri MEs au Electrical engineer atakupa options nyingi .Kibongo bongo pia Biomedical engineer labda kwny Biomedical equipments mambo ya internal organs bado sana.
 
Uki
Procurement mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
UkiPiga hiyo course,masters,utaongeza fulsa yakuajiliwa sana kwenye sehemu tofauti,mfano makampuni ya sheria,banks, serikalini vitengo tofaut,maana hii fani ni tamu sana..

Unaweza kujiajiri pia kwa kufungua ofsi yako,ukawa unafanyia kazi makampuni kufanya forensic issues na data zako zikatumika kama ushahid mahala popote
 
Kozi karibu zote za social science (angalau advocates kidogo) ni chenga na za Biashara (angalau CPA s)
Kozi nzuri ni hizi
Za afya zote
Uhandisi wote
Land savey, wasanifu majengo,

Veternary
Advocates na CPA s ndio kozi gani na zinasomewa vyuo gani?
 
Bachelor's degree bro

Sent using Jamii Forums mobile app
Bachelor's degree bro

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kikubwa na cha muhimu kwenye Procurement na Supply ni kuingia kwenye board yao hile ya PSPTB (Procurement and Supply Professional and Technician Board).kama haujawa registered inabidi upambane kwanza maana huko ulipo serikali haikutambui unakuwa kama kishoka.Hapa kunakuwa na mitihani ya kufanya kabla ya kuwa registered.
Au
Waajiri wanataka pia CIPS Certification (Certified Institute of Procurement and Supply) huu muongozo wa UK una level kama sita Level 1,2,3,4,5 and 6 ukimaliza level 6 nakuwa MCIPS unapata Membership.
Ila kwa ww soma level 1 tu,hivi vitu ukisoma unakuwa wakimaTaifa unaweza fanya kazi nchi yeyote duniani.
 
Siasa nayo inachangamoto,mtaa ninaoishi cheo cha ujumbe wa nyumba kumi mzee mmoja kakishikilia miaka 30 mpk ss yy ndio mjumbe wa nyumba kumi watu wanamuogopa duuuh akipumzika anampa mwanawe harafu anakichukua anampa mkewe harafu anakichuku tena..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla sijafa nataka nisome master nyngn ya Nano Technology Engineering,hii kozi bongo hakuna kabisa na wala hakuna mtaaram wa hii kitu kwa ss labda miaka 100 ijayo.

Nano engineers hawa ndio wale wanaotengeneza biological and chemical weapons,bullet proof na kuna kitu inaitwa nano medicine hii ni balaa tupu hapa unakutana na nano robots ambazo utumwa kwny mwili wa binadamu kuzi repair cell zilizokufa hz robots zinafny kazi km antibodies.

Shule tamu sana ndio maana wasomi wng masikini kwa utamu wa shule. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Wewe utakuwa ni yule jamaa yangu tumesoma naye tangu primary alikuwa kichwa balaa, ametuongoza madarasa yote sita, akachaguliwa Kibiti O Level tukabaki kijijini shule za kata
Kule nako kaburuza yeye tu mpaka advance

Akaingia UDSM sikumbuki alisoma kozi gani lakini ni za sayansi.....Ni stori ndefu kiufupi tu nasikia yupo Dar saa hii anakunywa pombe Kali mtaani tangu 2012

Mimi niliishia kidato cha nne nikajiongeza mtaani nikajishikiza mahali, nikajiendeleza kidogo kielimu tuko Sawa tu saa hii

Nina mke, Nina mtoto, Nina elimu, Nina kazi, na makazi

Yeye ana elimu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi za Biomedical Engineers hufanya yafuatayo:
1. Kudesign system na bidhaa, kama vile viungo vya ndani vya bandia, vifaa vya bandia ambavyo hubadilisha sehemu za mwili, na mashine za kugundua shida za matibabu.
2.Kurekebisha au kutoa msaada wa kiufundi kwa vifaa vya biomedical.

Kabla ya Kozi hii kutambulishwa na chuo cha Nelson Mandela Arusha miaka hii ya karibuni na kutoa wahitimu kazi hizi zilikuw zinafanywa na watu wa Mechanical na Electrical.

Kuajiri Biomedical engineer asiye na uzoefu kwenye hospital yako si bora kuajiri MEs au Electrical engineer atakupa options nyingi .Kibongo bongo pia Biomedical engineer labda kwny Biomedical equipments mambo ya internal organs bado sana.
Ipo Tofauti kati ya Biomedical Engineering na Biomedical Equipment Engineering?

Maana DIT wanatoa Diploma ya Biomedical Equipment Engineering na kwa wanaosoma iyo course walimu wao wanaaambia ina fursa nyingi sana kwa ajira yani ni hotcakes kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa nayo inachangamoto,mtaa ninaoishi cheo cha ujumbe wa nyumba kumi mzee mmoja kakishikilia miaka 30 mpk ss yy ndio mjumbe wa nyumba kumi watu wanamuogopa duuuh akipumzika anampa mwanawe harafu anakichukua anampa mkewe harafu anakichuku tena..
Nimecheka haahaa mpaka nimeisi Kuna mjumbe mtaani kwetu toka nipobgigoli mpaka Sasa nafanana na ile bar pendwa ya tabata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom