Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Bro Mechanical eng hawezi fanya kazi ya Biomedical acha kupotosha Bora useme electrical eng
Kuna jamaa namjua ni muhindi alisoma Mechanical engineer na ni biomedical engineer kama unabisha profile yake hii hapa chini anaitwa Christopher Singh anafanya kazi National Institute of Health (NIH) Clinical Center ,Maryland pale Marekani.Huyu jamaa alikuwa kilaza sana Class ila ndio hivyo maisha hayana formula yupo zake kwa Trump pale anafanya yake.
https://www.linkedin.com/in/christopher-singh-63682978
 
Umenena boss hata MTU wa Physics,electronics anaweza kufundishwa kazi za biomedical akawa biomedical engineer mzuri ndio maana nikasema haka ka Kozi kameanza juzi je kabla ya hapo nani alikuwa kama biomedical engineer hapa bongo??
Yeah, huo ndio ukweli, hao watu wanafanya hiyo kazi kabisa, maana sidhani hata kama wana workshop za biomedical
 
M
Kwan biomedical ni nini, biomedical lazima ichukue mechanical kidogo, electrical kidogo, biology kidogo, chemical kidogo, electronics kidogo, japo sijajua mtaala wa bongo ukoje lakini nchi za wenzetu ndio mtaala upo hivo, biomedical wabongo wengi ni warekebisha mashine za hospital ambazo zinaweza kurekebishwa na mechanical au electrical engineer pia. Lkini ukienda nje huko biomedical ana uwezo wa kuunda mashine zenyewe za hospitali ,viungo za vya bandia vya mwili, meno ya bandia
The point is huo mechanical hawez rekebisha mashine paka apate shule juu ya mashine hiyo mfano mashine inahitaji marekebisho kwenye electronic part ,,mechanical anaweza rekebisha bila kuwa na knowledge ya electronics???? Mechanical anaeza fanya kazi Kama za installation za mashine ilo sikatai
 
Nimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.

Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.

Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
Kama hamna Habari angalieni ITV saa mbili usiku mtazipata
 
The point is huo mechanical hawez rekebisha mashine paka apate shule juu ya mashine hiyo mfano mashine inahitaji marekebisho kwenye electronic part ,,mechanical anaweza rekebisha bila kuwa na knowledge ya electronics???? Mechanical anaeza fanya kazi Kama za installation za mashine ilo sikatai
Wee jamaa mbishi sana sijuhi kabila gani??umetolewa na mifano na evidence za mechanical engineers ambao ni biomedical engineers bado unabisha,ndio tatizo la kukalilishwa madesa ,hayo madesa yanaishia huko huko chuo ukiingia kazini unakuwa trained upya kwa kazi husika.Hata usome bachelor ya biomedical eng ukifika kazini unakuta dogo wa diploma ndio anakukaribisha anakufudisha kazi ndio maisha hayo relax usipanick .
 
Wee jamaa mbishi sana sijuhi kabila gani??umetolewa na mifano na evidence za mechanical engineers ambao ni biomedical engineers bado unabisha,ndio tatizo la kukalilishwa madesa ,hayo madesa yanaishia huko huko chuo ukiingia kazini unakuwa trained upya kwa kazi husika.Hata usome bachelor ya biomedical eng ukifika kazini unakuta dogo wa diploma ndio anakukaribisha anakufudisha kazi ndio maisha hayo relax usipanick .
Unanifurahisha Sana unaongea kitu kwa kusikia wakati Mimi nimekifanyia kazi pole sana
 
Kwa taarifa yako nimesoma hiyo Biomedical ayo unayoongea hayapo bongo hii
Wee jamaa mbishi sana sijuhi kabila gani??umetolewa na mifano na evidence za mechanical engineers ambao ni biomedical engineers bado unabisha,ndio tatizo la kukalilishwa madesa ,hayo madesa yanaishia huko huko chuo ukiingia kazini unakuwa trained upya kwa kazi husika.Hata usome bachelor ya biomedical eng ukifika kazini unakuta dogo wa diploma ndio anakukaribisha anakufudisha kazi ndio maisha hayo relax usipanick .
Taa
 
Ipo Tofauti kati ya Biomedical Engineering na Biomedical Equipment Engineering?

Maana DIT wanatoa Diploma ya Biomedical Equipment Engineering na kwa wanaosoma iyo course walimu wao wanaaambia ina fursa nyingi sana kwa ajira yani ni hotcakes kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Promotion tu hizo elimu nayo siku hizi imekaa kibiashara ma vyuo yanashindana ,zamani ulikuwa hausikii chuo kikijitangaza kwenye maredio lakini siku hizi.
 
Nimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.

Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.

Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
Unasubiri nini kutimkia Iran aisee au marekani au ndo unasubiri ajira ikufuate mlangoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom