Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Hello wana JF .

Unakuta umesoma kozi ambazo either ulijikuta tu comby imebalance au kwa kua zilikua na priority ya mkopo lakini hazikua chaguo lako.

Baada ya kuhitimu ukaingia kitaa ukakuta things on the ground are not as you thought. Kozi uliosoma haina market.

Please share your experience about life after college.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu kwanza expirience yako.Au uliwaza nini hadi kuleta bandiko?
 
Nimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.

Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.

Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
Kwanini usiapply kazi nje ya nchi??
 
Fani za afya hazimtupi mtu kama umesoma na kuiva kweli kweli,hata usipoajiriwa,unanunua usafiri wa bei nafuu,unatafuta briefcase ya kuweka vipimio vyako....unakuwa unatembelea familia zenye uwezo unawacheki afya zao majumbani/makazini n.k,unakuwa mobile doctor au unaingia ubia na baadhi ya hospitali;utapiga hela mpaka utashangaa na hutotaka tena kuajiriwa.
 
Back
Top Bottom