Hebu kwanza expirience yako.Au uliwaza nini hadi kuleta bandiko?Hello wana JF .
Unakuta umesoma kozi ambazo either ulijikuta tu comby imebalance au kwa kua zilikua na priority ya mkopo lakini hazikua chaguo lako.
Baada ya kuhitimu ukaingia kitaa ukakuta things on the ground are not as you thought. Kozi uliosoma haina market.
Please share your experience about life after college.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usiapply kazi nje ya nchi??Nimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.
Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.
Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
Experience yangu nitakuja kuiandika humu siku moja nikifika sehemu ninayotazamia kufika.Hebu kwanza expirience yako.Au uliwaza nini hadi kuleta bandiko?
Department ndo wapina ss watu wa depertiment mnasemaje?
Department ndo wapi
Sent From Galaxy S9
Una matazamio gani kwani?Experience yangu nitakuja kuiandika humu siku moja nikifika sehemu ninayotazamia kufika.
Sent From Galaxy S9
Nimekwambia nina matatizo?Una matazamio gani kwani?
Hiyo kozi inatolewa wapi? Na mtu anaeisoma hua ana deal na nini?dep of food scienc,human nutrition anf family comsumers
apo kuna coz 3 lakin depertmnt mojaHiyo kozi inatolewa wapi? Na mtu anaeisoma hua ana deal na nini?
Sent From Galaxy S9
Haujasoma vizuri comment yangu.Nimekwambia nina matatizo?
Sent From Galaxy S9
Statistic ipo poa,watu wa stakistaki wanakula mashavu sana bank
We Jamaa hii kozi umeisomea wapi!??BA. International Relations ni msiba mzito
Na hapa ndipo uzi ulipochangamkia .....
Nyingine Bachelor of science in social protection sijaona humu recommendation zake.Kuna course unaitwa Bachelor of science in Insurance and Risk management mbona siioni wala kuisikia kwenye mijadala ya Ajira
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo inahusu nini? Ndo naiskia leo... protection ya nini?Nyingine Bachelor of science in social protection sijaona humu recommendation zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mifuko ya hifadhi za jamii kma NSSF na PSSSF TuttyfruityHiyo inahusu nini? Ndo naiskia leo... protection ya nini?
Sent From Galaxy S9