Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 940
- 401
Habari ya jioni.. wanadai msaada ni kozi gani mtu anaweza kusoma Ili apate teuzi ya kuwa Mkaguzi Mashuleni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaSoma ualimu then kasome kozj ya uthibiti ubora wa shule inayotolewa na chuo cha ADEM Bagamoyo
nadhani kusoma hiyo kozi na kupangwa hicho kitengo ni mambo mawili tofauti sanaSoma ualimu then kasome kozj ya uthibiti ubora wa shule inayotolewa na chuo cha ADEM Bagamoyo
wellSoma ualimu then kasome kozj ya uthibiti ubora wa shule inayotolewa na chuo cha ADEM Bagamoyo