Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mimi nalipwa laki tano na 90 nmelizika mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nalo lisemwe umenisadia nilitaka kusemaIla ajira zake hazipatikani kiurahisi
Mambo ya hela boss.Upuuzi mtupu
Vyuo vikuu basic salary kwa watu wa CPA hailipi?Shule hailipi kiukweli.
Boss boss kwamba sijui kitu kuhusu hela.Unaonekana hujui kitu kuhusu salary
Kufika huko Sasa hatuwezi kufika wote hahahBw.Maarage kasomea Telecom Pamoja na kozi fupi ya kufunga ving'amuzi sahv anakunja mil 35 yake kiulaini kwa mwezi pale gridi ya taifa kwa connection ya kipara magamba matatu.
Mjini connection[emoji4]
Unaonekana upo very shallow, sema unajijasirisha kupaza sauti na hivyo ku mislead wengiHizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:
1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi
2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Vijana wasome kwa malengo,Kufika huko Sasa hatuwezi kufika wote hahah
Hapo kwenye electrical labdauwe na degree ya havard.Hizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:
1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi
2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Naunga mkono hojaUnaonekana hujui kitu kuhusu salary
Mbn tu mishahara midogo sanaHizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:
1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi
2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Mambo ya hela boss.
Ukweli ni kwamba uko very shallow, hata hiki unachojaribu kuelezea hujaelezea kitaalam/ kisomi, japo naamini lengo lako ni kutaka kuonekana u-msomi na unajua mambo mengi.Hivi ni kitu gani ambacho siwezi kukufundisha wewe? Kama kipo kitaje alafu nikupangie ratiba ya kukufundisha.
Nikwambie tu ukweli huwezi kujilinganisha na mimi ukikubali kufutilia vitu navyo andika utajifunza mambo mengi sana. Ninayo mengi ya kukufunza hapa jukwaani. Tuombe tu uzima niendelee kuwepo level moja nawewe ya kujibizana hapa jukwaani.