Kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania

Kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania

Hizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:

1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi

2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.

3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.

4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.

5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.

6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Mnadanganyana!! Kozi zote za uhandisi hapa bongo wanaanzia TGS E ambazo ni takriban milioni 1. Labda iwe kwenye taasisi za kimataifa zilizopo hapa bongo! Labda kama hauzungumzii kianzia mshahara! Kama ni hivyo kuna maticha wanakula karibuni m3!! hapa hapa bongo!
 
Watu ama nature ya mind inapenda kufanya maamuzi ama reasons in deterministic way. Watu huwa hawajui kuwa anything can happen. Na Kuna watu hawajasoma hata degree Ila wanakula zaidi ya hizo hela.yaani mie huwa naenjoi brain ya binadamu inavyofanya kazi. Babu tale akasoma kozi gani ivi. Unajua dereva wa bot ama tanapa analipwaje.anajua highway Engineer ama resident Engineer kwenye project ambayo iko sponsored na WB wanavuta zaidi ya 20M+ na unaishi nao hapa hapa bongo.


Nashukuru mkuu kwa kulitambua kuwa life is puzzle or is like chocolate box you never know utakutana na Nini.
Your absolutely right [emoji817],
Misijamaliza hata msingi lakini navuta zaidi ya hao apo juu, I have witnessed GOD'S miracle and his glory in my life.
 
Mnadanganyana!! Kozi zote za uhandisi hapa bongo wanaanzia TGS E ambazo ni takriban milioni 1. Labda iwe kwenye taasisi za kimataifa zilizopo hapa bongo! Labda kama hauzungumzii kianzia mshahara! Kama ni hivyo kuna maticha wanakula karibuni m3!! hapa hapa bongo!

Kumbe wahandisi pale TANROADS, PURA, TCRA, TPDC, etc wanaanzia TGS E? Asalaleee
 
Hizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:

1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi

2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.

3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.

4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.

5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.

6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Umesahau course ya
Wizi wa kura Engineering.

Hii course inapatikana makao makuu ya CCM Dodoma na ofisi zao ndogo za Mtaa wa Lumumba pale Dar es salaam.

Ukifuzu hii course tegemea kupata mabilion
 
Hizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:

1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi

2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.

3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.

4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.

5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.

6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Mbona sijaona mshahara wa Boss wangu anaepiga 50M kwa mwezi, huku akigharamiwa, Meals, transport, Allowance, maids, Wife Allowance, School fees kwa watoto, Memberships fees i.e Yatch Club, Gym na Entertainment Allowances kila week.
 
Mbona sijaona mshahara wa Boss wangu anaepiga 50M kwa mwezi, huku akigharamiwa, Meals, transport, Allowance, maids, Wife Allowance, School fees kwa watoto, Memberships fees i.e Yatch Club, Gym na Entertainment Allowances kila week.
Government??
 
Hizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:

1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi

2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.

3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.

4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.

5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.

6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Sio kweli
 
Back
Top Bottom