hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,616
- 1,282
Machawa nao wanakunja ngapi?? naona mmoja kajenga ghorofa la B 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ukipigwa kizinga hata Mia Uwez toaLife is a puzzle, advance Nilisoma Arts na Sasa mshahara wangu unampita aliyesoma Petroleum..!
Mnadanganyana!! Kozi zote za uhandisi hapa bongo wanaanzia TGS E ambazo ni takriban milioni 1. Labda iwe kwenye taasisi za kimataifa zilizopo hapa bongo! Labda kama hauzungumzii kianzia mshahara! Kama ni hivyo kuna maticha wanakula karibuni m3!! hapa hapa bongo!Hizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:
1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi
2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Your absolutely right [emoji817],Watu ama nature ya mind inapenda kufanya maamuzi ama reasons in deterministic way. Watu huwa hawajui kuwa anything can happen. Na Kuna watu hawajasoma hata degree Ila wanakula zaidi ya hizo hela.yaani mie huwa naenjoi brain ya binadamu inavyofanya kazi. Babu tale akasoma kozi gani ivi. Unajua dereva wa bot ama tanapa analipwaje.anajua highway Engineer ama resident Engineer kwenye project ambayo iko sponsored na WB wanavuta zaidi ya 20M+ na unaishi nao hapa hapa bongo.
Nashukuru mkuu kwa kulitambua kuwa life is puzzle or is like chocolate box you never know utakutana na Nini.
Mnadanganyana!! Kozi zote za uhandisi hapa bongo wanaanzia TGS E ambazo ni takriban milioni 1. Labda iwe kwenye taasisi za kimataifa zilizopo hapa bongo! Labda kama hauzungumzii kianzia mshahara! Kama ni hivyo kuna maticha wanakula karibuni m3!! hapa hapa bongo!
Mwl wa Kenya huyo. Siyo wa Tanzania.Mbona mwalimu TGTS. F analipwa basic 1.8M
Umesahau course yaHizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:
1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi
2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Mwalimu wa degree huo mshahara anaufikia mapema sanaMpaka afike huko imechukua zaidi ya miaka 20 kazini
Mbona sijaona mshahara wa Boss wangu anaepiga 50M kwa mwezi, huku akigharamiwa, Meals, transport, Allowance, maids, Wife Allowance, School fees kwa watoto, Memberships fees i.e Yatch Club, Gym na Entertainment Allowances kila week.Hizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:
1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi
2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Kabaki mbowe tu hapoHivi mweshimiwa kitaalamu
wale waliosomea political science pale bungeni huwa wanalipwa Bei gan kwa mwezi?[emoji2960]View attachment 2506475
Government??Mbona sijaona mshahara wa Boss wangu anaepiga 50M kwa mwezi, huku akigharamiwa, Meals, transport, Allowance, maids, Wife Allowance, School fees kwa watoto, Memberships fees i.e Yatch Club, Gym na Entertainment Allowances kila week.
Sio kweliHizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:
1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi
2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh