Kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania

Kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania

Ukweli ni kwamba uko very shallow, hata hiki unachojaribu kuelezea hujaelezea kitaalam/ kisomi, japo naamini lengo lako ni kutaka kuonekana u-msomi na unajua mambo mengi.

Siku nyingine ukitaka ulete mada kama hizi hakikisha umekusanya taarifa za kutosha toka vyanzo vya kuaminika.

Uchambuzi wako ili uwe wa kisomi ni lazima ufanye kwa ulinganifu kwa kozi kwa wastani wa mshahara kwa waajiriwa sector ya umma, linganisha na wastani katika kozi husika kwa waajiriwa katika sekta binafsi.

Kwa ujumla, uko na uelewa mdogo mnoo katika uchambuzi wa mambo. Uniwie radhi kwa comment hii.
Huwezi kunielewa mpaka upewe macho ya rohoni. Kiukweli nimekuacha mbali sana. Huo uchambuzi unaouzungumzia mimi nauelewa zaidi yako.
 
Bw.Maarage kasomea Telecom Pamoja na kozi fupi ya kufunga ving'amuzi sahv anakunja mil 35 yake kiulaini kwa mwezi pale gridi ya taifa kwa connection ya kipara magamba matatu.
Mjini connection[emoji4]
Sasa watu wanagombaniaga ubunge ili nini? Mimi naona kuna watu kibao wanakunja noti ndefu sana kwenye mashirika ya serikali na yasiyo ya kiserikali kuliko wabunge lakini wabunge wanatajwa zaidi kwamba wanapiga hela ndefu
 
Hizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:

1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi

2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.

3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.

4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.

5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.

6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Si kwel..hvyo tuu..umeandika kama kijana aliemaliza form six yuko katika harakat za kwenda chuo sasa anaangalia asome koz gan yenye mafanikio...
Hzo koz ulizotaja wana kibao wanazo mtaan.
Wengne ni vinyoz..tena hao wa computer science ndo balaa
.
Tofautisha kuna ilivyo na inavyotakiwa kuwa dada.
 
Ukweli ni kwamba uko very shallow, hata hiki unachojaribu kuelezea hujaelezea kitaalam/ kisomi, japo naamini lengo lako ni kutaka kuonekana u-msomi na unajua mambo mengi.

Siku nyingine ukitaka ulete mada kama hizi hakikisha umekusanya taarifa za kutosha toka vyanzo vya kuaminika.

Uchambuzi wako ili uwe wa kisomi ni lazima ufanye kwa ulinganifu kwa kozi kwa wastani wa mshahara kwa waajiriwa sector ya umma, linganisha na wastani katika kozi husika kwa waajiriwa katika sekta binafsi.

Kwa ujumla, uko na uelewa mdogo mnoo katika uchambuzi wa mambo. Uniwie radhi kwa comment hii.
Hahaha huyu Meneja ni mweupe kinyama hapo kichwani. Imagine 1.5m imelistiwa kama mshahara mnono!!
 
Bw.Maarage kasomea Telecom Pamoja na kozi fupi ya kufunga ving'amuzi sahv anakunja mil 35 yake kiulaini kwa mwezi pale gridi ya taifa kwa connection ya kipara magamba matatu.
Mjini connection[emoji4]
Huyu kamanda ananifuraishaga sana ana majibu yake mepesi sana anapoulizwa swali gumu kwa madlai ya wananchi wa Tanzania kipara alimweka rafiki yake hawa makenge nchi wamegawana aloo
 
Ina
Hizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:

1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi

2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.

3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.

4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.

5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.

6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Inategemeana na kampuni kuna mdada mmoja namjua analipwa 3.5 mil kama accountant
 
Back
Top Bottom