mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Exactly well saidVijana wasome kwa malengo,
Usisome kwa kutamani mshahara,
Mjini bila connection utateseka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly well saidVijana wasome kwa malengo,
Usisome kwa kutamani mshahara,
Mjini bila connection utateseka sana
Huwezi kunielewa mpaka upewe macho ya rohoni. Kiukweli nimekuacha mbali sana. Huo uchambuzi unaouzungumzia mimi nauelewa zaidi yako.Ukweli ni kwamba uko very shallow, hata hiki unachojaribu kuelezea hujaelezea kitaalam/ kisomi, japo naamini lengo lako ni kutaka kuonekana u-msomi na unajua mambo mengi.
Siku nyingine ukitaka ulete mada kama hizi hakikisha umekusanya taarifa za kutosha toka vyanzo vya kuaminika.
Uchambuzi wako ili uwe wa kisomi ni lazima ufanye kwa ulinganifu kwa kozi kwa wastani wa mshahara kwa waajiriwa sector ya umma, linganisha na wastani katika kozi husika kwa waajiriwa katika sekta binafsi.
Kwa ujumla, uko na uelewa mdogo mnoo katika uchambuzi wa mambo. Uniwie radhi kwa comment hii.
Pumba tupu.Huwezi kunielewa mpaka upewe macho ya rohoni. Kiukweli nimekuacha mbali sana. Huo uchambuzi unaouzungumzia mimi nauelewa zaidi yako.
Ukitaka kunielewa karibu jukwaa la siasa. Huko tutaelewana vizuriPumba tupu.
Usijali boss tupo pamoja, ahsante kwa mchango mzuri.Pumba tupu.
na hawa wakariri mahesabu walikuwa wanakucheka? kuna tofauti ya kusomea elimu na kuwa na akili!Life is a puzzle, advance Nilisoma Arts na Sasa mshahara wangu unampita aliyesoma Petroleum..!
Unalipwa Million 100 kwa mwezi au sio?Life is a puzzle, advance Nilisoma Arts na Sasa mshahara wangu unampita aliyesoma Petroleum..!
Wapi huko nije kulinda?Weka na ulinzi hapo juu. Mana kuna malindo hapo dar watu wanapiga mpka million 2 usiku mmoja. Million 2 mara 15 night shift sio poa . Kama mbunge tu
Sasa watu wanagombaniaga ubunge ili nini? Mimi naona kuna watu kibao wanakunja noti ndefu sana kwenye mashirika ya serikali na yasiyo ya kiserikali kuliko wabunge lakini wabunge wanatajwa zaidi kwamba wanapiga hela ndefuBw.Maarage kasomea Telecom Pamoja na kozi fupi ya kufunga ving'amuzi sahv anakunja mil 35 yake kiulaini kwa mwezi pale gridi ya taifa kwa connection ya kipara magamba matatu.
Mjini connection[emoji4]
Si kwel..hvyo tuu..umeandika kama kijana aliemaliza form six yuko katika harakat za kwenda chuo sasa anaangalia asome koz gan yenye mafanikio...Hizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:
1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi
2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Hahaha huyu Meneja ni mweupe kinyama hapo kichwani. Imagine 1.5m imelistiwa kama mshahara mnono!!Ukweli ni kwamba uko very shallow, hata hiki unachojaribu kuelezea hujaelezea kitaalam/ kisomi, japo naamini lengo lako ni kutaka kuonekana u-msomi na unajua mambo mengi.
Siku nyingine ukitaka ulete mada kama hizi hakikisha umekusanya taarifa za kutosha toka vyanzo vya kuaminika.
Uchambuzi wako ili uwe wa kisomi ni lazima ufanye kwa ulinganifu kwa kozi kwa wastani wa mshahara kwa waajiriwa sector ya umma, linganisha na wastani katika kozi husika kwa waajiriwa katika sekta binafsi.
Kwa ujumla, uko na uelewa mdogo mnoo katika uchambuzi wa mambo. Uniwie radhi kwa comment hii.
Huyu kamanda ananifuraishaga sana ana majibu yake mepesi sana anapoulizwa swali gumu kwa madlai ya wananchi wa Tanzania kipara alimweka rafiki yake hawa makenge nchi wamegawana alooBw.Maarage kasomea Telecom Pamoja na kozi fupi ya kufunga ving'amuzi sahv anakunja mil 35 yake kiulaini kwa mwezi pale gridi ya taifa kwa connection ya kipara magamba matatu.
Mjini connection[emoji4]
Inategemeana na kampuni kuna mdada mmoja namjua analipwa 3.5 mil kama accountantHizi ndizo kozi zinazoongoza kwa kutoa mishahara minono Tanzania:
1. Petroleum chemistry, 8,000,000 Tsh kwa mwezi
2. Chemical engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
3. Mining Engineering, 2,000,000 Tsh kwa mwezi.
4. Computer Science, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
5. Electrical Engineering, 1,500,000 Tsh kwa mwezi.
6. Mineral Process Engineering, 1,500,000 Tsh
Hupewi Kodi hiyo kijana. Hizo mambo wanazijua watu wachacheWapi huko nije kulinda?
Hata Mimi NimeshangaaMbona siasa sijaiona