Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

Mume4

Member
Joined
May 29, 2021
Posts
22
Reaction score
57
Natumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.

Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.

Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia taifa letu hili pendwa la Tanzania kupitia kuwa mwanajeshi JWTZ, soma kozi hizi ili ukienda kujitolea JKT ikuwie rahisi kuandikishwa kufanya kozi ya jeshi la wananchi JWTZ.

1. Kozi zote za afya. Udaktari, unesi, ufamasia, radiographia n.k pata certificate, diploma, degree, masters mpaka PhD ya taaluma za afya, hutajutia.

2. Urubani. Ukisoma kozi hii, hata JKT unaweza usipite, ila sasa hakikisha kwenu muwe mna hela ya kutosha sio ya kubababisha maana urubani si mchezo, mpaka milioni 200 +.

Hizi ndio kozi za uhakika, ukiwa na hizo fani, ukaenda JKT, siku JWTZ wakija kuwafanyia usaili hutakosa kupata nafasi kwenda kuvaa bakabaka.

Mbali na hapo, jiandae kutoboa mkataba na kurudi nyumbani, au ujiandae kwenda polisi, Magereza, uhamiaji au wanyamapori (ukibahatika).

Ni hayo tuu kwa leo, nakaribisha michango ya wengine. Muwe na muda mwema sana
 
Majeshini ukitaka shavu hasa kama hauna connection basi kazi ya ziada uwe na cheti chako cha afya pembeni, utaenjoi sana huko maana majeshini huko afya dili kinyama.

Sababu kubwa ni kwa sababu maaskari wengi walikuwa ni watu ambao darasani hawakufanya vizuri(sio wote)

Na kama hukufanya vizuri darasani manake huwezi kuwa na interest ya kusoma sayansi, hii inafanya askari wengi wasiwe na vyeti vyenye sifa za kusoma kozi za sayansi.

Ndio maana askari wengi wanajiendeleza kwa kusoma kozi zingine mbalimbali ukilinganisha na kozi za afya.

Jeshini ukiwa na fani wewe unapiga kitengo cha fani yako mpaka unastaafu labda kwa dharura zingine.

Kama wewe ni jeshi daktari utakuwa uanajeshi wako unaufanyia hospitali,hakuna kushika silaha na kwenda malindo.

Na ishu ya rubani sidhani kama kuna mtanzania kasomea urubani alafu akasote JKT kwa njaa kali.
 
Ale! Wiiiiiiiiiiiiiiiiii , waaaaaaaaaaaaaaaaaaa

"Yanyukweeeeeee"

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Haya bwana [emoji3][emoji3] watayakuta huko wakijaaliwa.
 
Natumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.

Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.

Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia taifa letu hili pendwa la Tanzania kupitia kuwa mwanajeshi JWTZ, soma kozi hizi ili ukienda kujitolea JKT ikuwie rahisi kuandikishwa kufanya kozi ya jeshi la wananchi JWTZ.

1. Kozi zote za afya. Udaktari, unesi, ufamasia, radiographia n.k pata certificate, diploma, degree, masters mpaka PhD ya taaluma za afya, hutajutia.

2. Urubani. Ukisoma kozi hii, hata JKT unaweza usipite, ila sasa hakikisha kwenu muwe mna hela ya kutosha sio ya kubababisha maana urubani si mchezo, mpaka milioni 200 +.

Hizi ndio kozi za uhakika, ukiwa na hizo fani, ukaenda JKT, siku JWTZ wakija kuwafanyia usaili hutakosa kupata nafasi kwenda kuvaa bakabaka.

Mbali na hapo, jiandae kutoboa mkataba na kurudi nyumbani, au ujiandae kwenda polisi, Magereza, uhamiaji au wanyamapori (ukibahatika).

Ni hayo tuu kwa leo, nakaribisha michango ya wengine. Muwe na mda mwema sana [emoji120]
Yote kwa yote akili zao zisiwaze sana vyeo bali majukumu yalio mbele yao, bila kusahau wanatakiwa kuwa na nidhamu na uadilifu wa hali ya juu, vinginevyo hivyo vyeo mtavisikia pamoja na master yako.
 
Yote kwa yote akili zao zisiwaze sana vyeo ,bali majukumu yalio mbele yao, bila kusahau wanatakiwa kuwa na nidhamu na uadilifu wa hali ya juu,vinginevyo hivyo vyeo mtavisikia pamoja na master yako.
Kozi ya udereva wa magari, uopareta wa mitambo pia ni nzuri. Bila kusahau ufundi umeme, ufundi magari au umakenika, ufundi ujenzi na fani nyingine pia, ila kama mchangiaji joseph1989 , alivyosema usidhani kuwa na fani au taaluma kubwa kwamba ndio kupata vyeo jeshini,siku hizi mambo yamebadilika. Unaweza kuwa na degree ukaishia kuwa sergent wa jeshi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama huna uzalendo na hulipendi jeshi sana, utakimbia maana hakuna maajabu ya kiuchumi wala kicheo kisa una elimu kubwa.
 
Natumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.

Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.

Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia taifa letu hili pendwa la Tanzania kupitia kuwa mwanajeshi JWTZ, soma kozi hizi ili ukienda kujitolea JKT ikuwie rahisi kuandikishwa kufanya kozi ya jeshi la wananchi JWTZ.

1. Kozi zote za afya. Udaktari, unesi, ufamasia, radiographia n.k pata certificate, diploma, degree, masters mpaka PhD ya taaluma za afya, hutajutia.

2. Urubani. Ukisoma kozi hii, hata JKT unaweza usipite, ila sasa hakikisha kwenu muwe mna hela ya kutosha sio ya kubababisha maana urubani si mchezo, mpaka milioni 200 +.

Hizi ndio kozi za uhakika, ukiwa na hizo fani, ukaenda JKT, siku JWTZ wakija kuwafanyia usaili hutakosa kupata nafasi kwenda kuvaa bakabaka.

Mbali na hapo, jiandae kutoboa mkataba na kurudi nyumbani, au ujiandae kwenda polisi, Magereza, uhamiaji au wanyamapori (ukibahatika).

Ni hayo tuu kwa leo, nakaribisha michango ya wengine. Muwe na mda mwema sana [emoji120]
Kama hiyo ya udoctor mwaka juzi walichukua hadi uraiani wakaenda kupigwa shoti kozi ya miezi 3 saa hivi eti ni maafisa wanakula shavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kozi ya udereva wa magari, uopareta wa mitambo pia ni nzuri. Bila kusahau ufundi umeme, ufundi magari au umakenika, ufundi ujenzi na fani nyingine pia, ila kama mchangiaji joseph1989 , alivyosema usidhani kuwa na fani au taaluma kubwa kwamba ndio kupata vyeo jeshini,siku hizi mambo yamebadilika. Unaweza kuwa na degree ukaishia kuwa sergent wa jeshi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama huna uzalendo na hulipendi jeshi sana, utakimbia maana hakuna maajabu ya kiuchumi wala kicheo kisa una elimu kubwa.
Kweli kabisa mimi nina jamaa zangu watatu wana degree ya Computer Science, wameishia usajent,wana wengine sasa hivi Maluteni, sijui walifanya nini ,ila jeshini kama huna NIDHAMU na UADILIFU issues ndogo tu utakaa benchi mpaka unastaafu,haijalishi una level gani ya kielimu au umesomea kozi gani.
 
Back
Top Bottom