Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

Tatizo humu kila mtu anaongea lake

Jeshini nako siku hizi connection kama hauna refa tena mwenye cheo kikubwa kule utasota sana hata uwe na masters ya aeronautical engineering

Nina ndugu yangu ana diploma ya sociology aliingia jeshini kwa connection na ndani ya miaka mitano tu akawa tayari ni lieutenant anakula maisha wakati kuna mtu na degree yake hiyo miaka mitano bado ni private anakimbizana na kuruta na kulima mashamba kila siku

Sent from my SM-G973F using JamiiForums mobile app
 
Natumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.

Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.

Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia taifa letu hili pendwa la Tanzania kupitia kuwa mwanajeshi JWTZ, soma kozi hizi ili ukienda kujitolea JKT ikuwie rahisi kuandikishwa kufanya kozi ya jeshi la wananchi JWTZ.

1. Kozi zote za afya. Udaktari, unesi, ufamasia, radiographia n.k pata certificate, diploma, degree, masters mpaka PhD ya taaluma za afya, hutajutia.

2. Urubani. Ukisoma kozi hii, hata JKT unaweza usipite, ila sasa hakikisha kwenu muwe mna hela ya kutosha sio ya kubababisha maana urubani si mchezo, mpaka milioni 200 +.

Hizi ndio kozi za uhakika, ukiwa na hizo fani, ukaenda JKT, siku JWTZ wakija kuwafanyia usaili hutakosa kupata nafasi kwenda kuvaa bakabaka.

Mbali na hapo, jiandae kutoboa mkataba na kurudi nyumbani, au ujiandae kwenda polisi, Magereza, uhamiaji au wanyamapori (ukibahatika).

Ni hayo tuu kwa leo, nakaribisha michango ya wengine. Muwe na mda mwema sana [emoji120]
JKT wanakwenda baada ya kumaliza form six, udaktari, unesi, urubani wataupata muda gani?
 
Natumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.

Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.

Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia taifa letu hili pendwa la Tanzania kupitia kuwa mwanajeshi JWTZ, soma kozi hizi ili ukienda kujitolea JKT ikuwie rahisi kuandikishwa kufanya kozi ya jeshi la wananchi JWTZ.

1. Kozi zote za afya. Udaktari, unesi, ufamasia, radiographia n.k pata certificate, diploma, degree, masters mpaka PhD ya taaluma za afya, hutajutia.

2. Urubani. Ukisoma kozi hii, hata JKT unaweza usipite, ila sasa hakikisha kwenu muwe mna hela ya kutosha sio ya kubababisha maana urubani si mchezo, mpaka milioni 200 +.

Hizi ndio kozi za uhakika, ukiwa na hizo fani, ukaenda JKT, siku JWTZ wakija kuwafanyia usaili hutakosa kupata nafasi kwenda kuvaa bakabaka.

Mbali na hapo, jiandae kutoboa mkataba na kurudi nyumbani, au ujiandae kwenda polisi, Magereza, uhamiaji au wanyamapori (ukibahatika).

Ni hayo tuu kwa leo, nakaribisha michango ya wengine. Muwe na mda mwema sana [emoji120]
Usome urubani kwa milioni 200 halafu uajiriwe JWTZ?
 
Nakumbuka miaka ya nyuma wakati nipo jkt walikuja kufanya usahili wa kuchukua vijana waliosoma science yani PCM, PGM, na PCB na walivyo na akili walikuja wakati wa (six week) kipindi hicho mtu akikwambia tukuandikishe ili badae uende jwtz ukapige kozi ilikuwa ni ngumu sana kukushawishi kutokana na mateso yale ya jkt afu ukateseke tena jwtz Hapana! Nakumbuka waliambulia vijana wachache tena kwa kulazimisha akiwemo rafiki yangu mmoja ambae alikuwa doja mzuri tu na mvivu wa kazi za shamba. Baada ya kumaliza mafunzo ya jkt tulienda chuo tukiwa mwaka wa kwanza rafiki yangu akapigiwa simu kuwa anahitajika kambi ya abdallah twalipo 95kj nadhani kama sijakosea akafanye usahili wa kuingia jeshin, nakumbuka tulimcheka sana nakumsihi asiende uko maana ataumia vibaya kwa mateso ila mwisho alienda na nikapoteza mawasiliano nae.

Siku moja katika harakati zangu za maisha wakati huo sina ajira na chuo nishamaliza
nilienda benki kumlipia mdogo wangu ada ya shule, wakati nimefoleni kwenye mstari kusubiri huduma nilishaanga kumuona askari polisi(FFU) nakusaruti kijeshi ile kutaamaki namuona jamaa yangu kavaa full kombati za kijeshi na ana cheo cha luten nyota mbili daaha roho iliniuma na nilijiona mjinga sana
Anyway wadogo zangu hiyo nafasi ukiipata usichezee kabisa
 
Natumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.

Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.

Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia taifa letu hili pendwa la Tanzania kupitia kuwa mwanajeshi JWTZ, soma kozi hizi ili ukienda kujitolea JKT ikuwie rahisi kuandikishwa kufanya kozi ya jeshi la wananchi JWTZ.

1. Kozi zote za afya. Udaktari, unesi, ufamasia, radiographia n.k pata certificate, diploma, degree, masters mpaka PhD ya taaluma za afya, hutajutia.

2. Urubani. Ukisoma kozi hii, hata JKT unaweza usipite, ila sasa hakikisha kwenu muwe mna hela ya kutosha sio ya kubababisha maana urubani si mchezo, mpaka milioni 200 +.

Hizi ndio kozi za uhakika, ukiwa na hizo fani, ukaenda JKT, siku JWTZ wakija kuwafanyia usaili hutakosa kupata nafasi kwenda kuvaa bakabaka.

Mbali na hapo, jiandae kutoboa mkataba na kurudi nyumbani, au ujiandae kwenda polisi, Magereza, uhamiaji au wanyamapori (ukibahatika).

Ni hayo tuu kwa leo, nakaribisha michango ya wengine. Muwe na mda mwema sana [emoji120]
Vipi kozi za kilimo na mifugo, na zile za uhandisi...
 
Back
Top Bottom