chilonge
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,531
- 2,912
Bachelor of Military ScienceSamahani Mkuu, BMS kirefu chake ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bachelor of Military ScienceSamahani Mkuu, BMS kirefu chake ni nini?
Kweli mambo yamenadilika Sana. Yaani usome urubani ama udaktari halafu uombe ajira jeshini?Natumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.
Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.
Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia taifa letu hili pendwa la Tanzania kupitia kuwa mwanajeshi JWTZ, soma kozi hizi ili ukienda kujitolea JKT ikuwie rahisi kuandikishwa kufanya kozi ya jeshi la wananchi JWTZ.
1. Kozi zote za afya. Udaktari, unesi, ufamasia, radiographia n.k pata certificate, diploma, degree, masters mpaka PhD ya taaluma za afya, hutajutia.
2. Urubani. Ukisoma kozi hii, hata JKT unaweza usipite, ila sasa hakikisha kwenu muwe mna hela ya kutosha sio ya kubababisha maana urubani si mchezo, mpaka milioni 200 +.
Hizi ndio kozi za uhakika, ukiwa na hizo fani, ukaenda JKT, siku JWTZ wakija kuwafanyia usaili hutakosa kupata nafasi kwenda kuvaa bakabaka.
Mbali na hapo, jiandae kutoboa mkataba na kurudi nyumbani, au ujiandae kwenda polisi, Magereza, uhamiaji au wanyamapori (ukibahatika).
Ni hayo tuu kwa leo, nakaribisha michango ya wengine. Muwe na muda mwema sana
Mkuu Uhuru bila pesa ni utumwaKweli mambo yamenadilika Sana. Yaani usome urubani ama udaktari halafu uombe ajira jeshini?
Mi nadhani Dr ama pilot ambae ni very compitent hawezi kubali kuuza uhuru wake jeshini.
Walau ungesema TISS ningekuunga mkono
Sasa unakuwaje mahiri kwenye upilot ama udocta plus uhuru ushindwe kuchanganya kichwa kupiga pesa uraiani?Mkuu Uhuru bila pesa ni utumwa
Clinical officer wa jeshi anamzid mbali MD anayekula 1.2
Kama hupendi unachofanya,, fanya unacho penda . Kwanini usiwaze kua RaisBadala ya kuwaza kuwa waziri unawaza kuwa mwanajeshi daaaaaaa. Hii dunia ina mambooo kweli.
Kama unavyopenda kupata hela nyingi, vivyo hivyo ndio wenzio wanavyopenda kuwa askari na kufanya kazi za jeshi. Kwa hiyo ni vyema. Wewe saka fursa piga hela kuwa hata bilionea ndio furaha yako ni vyema sana, ila wengine furaha yao ni kuwa wanajeshi. Ndugu, hata ukiwa unafanya shughuli zako lazima ukomae sana tuu, kusema una uhuru huwa ni siasa tuu. Jipe uhuru uone mambo yako kama hayadodi. Lazima kichwa kifanye kazi, lazima ufanye kazi yani kuchakalika (kukosa uhuru) kuko pale pale.Sasa unakuwaje mahiri kwenye upilot ama udocta plus uhuru ushindwe kuchanganya kichwa kupiga pesa uraiani?
Ndo mana nikasema huko watakwenda wavivu kujishughulisha na wasio na uwezo wa kutumia maarifa yao nje ya mshahara kutokakana na uwezo mdogo pengine.
Kwa TISS okey maana ipo kiraia zaidi na uwanja wa kutengeneza pesa nje ya mshahara ni mpana zaidi kuliko mnivike migwanda na kunyenyekea kwingi tena pengine unamnyenyekea asiesoma kisa tu kakupita cheo[emoji16]
Hahahahaha huku kwetu naona wakurya tu ni askariUkitaka kujiunga na jeshi lolote Tanzania jifunze kuongea KIKURYA
Nyongeza Ukiwa na degree ya Engineering(Civil, Electrical au Mechanical)Nyongeza ukiwa na degree ya I.T especial kwenye mambo ya network na programming umeulambaa chaliii
sent from HUAWEI
Intake iliyopita waliwachukua mechanical engineers, uhandisi uko poa pia.Nyongeza Ukiwa na degree ya Engineering(Civil, Electrical au Mechanical)
Wasichokijua ni mgawanyo tu wa maisha, hatuwezi kuwa wafanya biashara watu wote, alafu kuna watu wanafanya shuguri zao binafsi, ila wanahenyeka kishenzi.Ukiangalia vizuri, hata huko unakodhani una uhuru, kuna muda lazima ujiamrishe tuu wewe mwenyewe kufanya mambo flani yanayokuhusu, unajipa amri wewe mwenyewe na usipoitekeleza basi mambo yako lazima yaende kombo. Bado ni mle mle tuu kwamba kuwajibika na kutii amri yako mwenyewe (kama wanajeshi wanavyotii amri za makamanda wao) ni lazima. Hata uhuru wako una mipaka kwa hiyo ni yale yale tuu.
Na kila kazi halali ina umuhimu wake katika Jamii. Usiidharau kazi ya mwingine kwani hujui ni lini na wapi utahitaji msaada wake. e.g. Kipindi cha vita au machafuko katika jamii ndipo utaona umuhimu wa wanajeshi, kipindi cha njaa ndipo utaona umuhimu wa mkulima n.k. Kwa kifupi ni kwamba tunahitajiana.Kama unavyopenda kupata hela nyingi, vivyo hivyo ndio wenzio wanavyopenda kuwa askari na kufanya kazi za jeshi. Kwa hiyo ni vyema. Wewe saka fursa piga hela kuwa hata bilionea ndio furaha yako ni vyema sana, ila wengine furaha yao ni kuwa wanajeshi. Ndugu, hata ukiwa unafanya shughuli zako lazima ukomae sana tuu, kusema una uhuru huwa ni siasa tuu. Jipe uhuru uone mambo yako kama hayadodi. Lazima kichwa kifanye kazi, lazima ufanye kazi yani kuchakalika (kukosa uhuru) kuko pale pale.
Ninapozungumzia uhuru simaanishi uhuru wa kulala mkuu. Namaanisha uhuru wa kuwork independently kwa kutumia taaluma yangu bila kufuata amri au kuomba kibali sana kuchakalikia kile taaluma yangu inataka.Kama unavyopenda kupata hela nyingi, vivyo hivyo ndio wenzio wanavyopenda kuwa askari na kufanya kazi za jeshi. Kwa hiyo ni vyema. Wewe saka fursa piga hela kuwa hata bilionea ndio furaha yako ni vyema sana, ila wengine furaha yao ni kuwa wanajeshi. Ndugu, hata ukiwa unafanya shughuli zako lazima ukomae sana tuu, kusema una uhuru huwa ni siasa tuu. Jipe uhuru uone mambo yako kama hayadodi. Lazima kichwa kifanye kazi, lazima ufanye kazi yani kuchakalika (kukosa uhuru) kuko pale pale.
Ongeza hapo uhandisi (engineering) hasa wa ujenziNatumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.
Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.
Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia taifa letu hili pendwa la Tanzania kupitia kuwa mwanajeshi JWTZ, soma kozi hizi ili ukienda kujitolea JKT ikuwie rahisi kuandikishwa kufanya kozi ya jeshi la wananchi JWTZ.
1. Kozi zote za afya. Udaktari, unesi, ufamasia, radiographia n.k pata certificate, diploma, degree, masters mpaka PhD ya taaluma za afya, hutajutia.
2. Urubani. Ukisoma kozi hii, hata JKT unaweza usipite, ila sasa hakikisha kwenu muwe mna hela ya kutosha sio ya kubababisha maana urubani si mchezo, mpaka milioni 200 +.
Hizi ndio kozi za uhakika, ukiwa na hizo fani, ukaenda JKT, siku JWTZ wakija kuwafanyia usaili hutakosa kupata nafasi kwenda kuvaa bakabaka.
Mbali na hapo, jiandae kutoboa mkataba na kurudi nyumbani, au ujiandae kwenda polisi, Magereza, uhamiaji au wanyamapori (ukibahatika).
Ni hayo tuu kwa leo, nakaribisha michango ya wengine. Muwe na muda mwema sana
-Jeshini hakuna wasomi wabobezi kama unavyojaribu kueleza hapa, Sehemu yenye wasomi wabobezi ni kwenye Vyuo vikuu, huko ndio Kuna MaPhD, Professors wakutosha,watu hawajui tu Jeshini hasa JWTZ ndio sehemu ambayo kuna kila taaluma iliyo nchi hii.Kule kuna ma proffesor,dar degree za kwanza ni za kumwaga na mainjinia ndio usiseme.Jiulizeni Muhimbili walivyogoma ni kina nani walikwenda kukamata usukani,waongoza ndege walivyo goma nani walikwenda kamata usukani.
Nendeni Marekani waliokwenda Mwezi mwanzoni wote walikuwa ni wanajeshi.Mwanamke wa kwanza kwenda anga za juu duniani Valentino Tereshkova wa Urusi alikuwa major general wa jeshi
KweliNa kila kazi halali ina umuhimu wake katika Jamii. Usiidharau kazi ya mwingine kwani hujui ni lini na wapi utahitaji msaada wake. e.g. Kipindi cha vita au machafuko katika jamii ndipo utaona umuhimu wa wanajeshi, kipindi cha njaa ndipo utaona umuhimu wa mkulima n.k. Kwa kifupi ni kwamba tunahitajiana.
Sawa, kama kipaumbeke chako ni cha namna hiyo, kwa kweli taasisi za ulinzi na usalama zitakubana kufanya mambo yako, maamuzi mazuri ni kutojiunga nazo, Nimekuelewa ndugu.Ninapozungumzia uhuru simaanishi uhuru wa kulala mkuu. Namaanisha uhuru wa kuwork independently kwa kutumia taaluma yangu bila kufuata amri au kuomba kibali sana kuchakalikia kile taaluma yangu inataka.
Kwa kizazi hiki hakuna mtu atapenda kufanya kazi isiyo na masilahi kwake eti kwa kuipenda tu, la hasha!. Pesa kwanza vingine baadae.
Kama una ndoto za kujitanua sana nje na ndani ya nchi kwa kutumia fani yako kwa lengo la kujipatia fedha, ni wazi kuna baadhi ya taasisi hasa za ulinzi na usalama hazitakupatia option ya kufanya hivyo kutokana na mfumo na taratibu za wao.
Kwamfano dr mahili anakuwa na ndoto akafanye kazi kwenye mashirika makubwa ya afya ya kikanda na dunia ama kufungua hospitali kubwa, huyu huwezi kumshawishi kujiunga na taasisi za mifumo ya ulinzi.
Ama mwanasheria mwenye upeo wa juu, huyu huwezi kumshawishi kwenda kusubiria mshahara wa kusubiria kwa mwezi mahali ambapo hatoweza pata exposure
Kikubwa tu ni kuwa na exposure ili ikusaidie kupanua mipaka ya uwezo wako kitaaluma.
Hiyo ndio course mama sasa, unataka nn tena mkuu.. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mimi wa maarifa ya jamii sijui itakuwaje
Siku chache zilizopita waliwahitaji watu wa masomo ya sanaa pia.Hiyo ndio course mama sasa, unataka nn tena mkuu.. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]