Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

Sijaona mhindi Tanzania ni Mwanajeshu au polisi.Watanzania waridhisheni watoto wenu viwanda,mashamba ,biashara na mzioparate kifamilia kwa upendo .Siku hizi mtoto akimaliza shule akawe mwanajeshi au polisi.
 
Kwasababu jeshi lina maofisa wengi hivyo halitaki tena maofisa linataka nguvu kazi ndio maana hupendelea la saba maana hawa wengi wanaishia kua ma private au vyeo vya mabegani basi ( koplo,meja,sajenti ,rcm,nk)

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu wenye vyeo vya mabegani ndiyo maofisa. Hao uliowataja vyeo vyao ni vya mikononi.
 
Kweli kabisa mimi nina jamaa zangu watatu wana degree ya Computer Science, wameishia usajent,wana wengine sasa hivi Maluteni, sijui walifanya nini ,ila jeshini kama huna NIDHAMU na UADILIFU issues ndogo tu utakaa benchi mpaka unastaafu,haijalishi una level gani ya kielimu au umesomea kozi gani.
ivi ukiingia jeshini kwani huwezi kuacha kazi
 
Kijana yoyote yule ilimradi ni mtanzania anachukuliwa bila kujali course gani amesoma. Ila kwa kipindi hiki JWTZ imewekeza zaidi kwenye course ya BMS
Samahani Mkuu, BMS kirefu chake ni nini?
 
Yote kwa yote akili zao zisiwaze sana vyeo bali majukumu yalio mbele yao, bila kusahau wanatakiwa kuwa na nidhamu na uadilifu wa hali ya juu, vinginevyo hivyo vyeo mtavisikia pamoja na master yako.
Sasa wanajeshi wote wawe na vyeo nani atamheshimu mwenzake.Jeshi la kielimu kwa afrika litakuja kuwa la hovyo maana watu wanakwenda jeshini kutafuta maisha safi.wakati nidhamu ni elimu bora kuliko chochote jeshini.
 
Wapo mpaka maprofesa jeshini kijana, ni kawaida tuu. Jeshi limekuwa la kisasa linaenda na wakati.
watu hawajui tu Jeshini hasa JWTZ ndio sehemu ambayo kuna kila taaluma iliyo nchi hii.Kule kuna ma proffesor,dar degree za kwanza ni za kumwaga na mainjinia ndio usiseme.Jiulizeni Muhimbili walivyogoma ni kina nani walikwenda kukamata usukani,waongoza ndege walivyo goma nani walikwenda kamata usukani.
Nendeni Marekani waliokwenda Mwezi mwanzoni wote walikuwa ni wanajeshi.Mwanamke wa kwanza kwenda anga za juu duniani Valentino Tereshkova wa Urusi alikuwa major general wa jeshi
 
Natumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.

Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.

Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia taifa letu hili pendwa la Tanzania kupitia kuwa mwanajeshi JWTZ, soma kozi hizi ili ukienda kujitolea JKT ikuwie rahisi kuandikishwa kufanya kozi ya jeshi la wananchi JWTZ.

1. Kozi zote za afya. Udaktari, unesi, ufamasia, radiographia n.k pata certificate, diploma, degree, masters mpaka PhD ya taaluma za afya, hutajutia.

2. Urubani. Ukisoma kozi hii, hata JKT unaweza usipite, ila sasa hakikisha kwenu muwe mna hela ya kutosha sio ya kubababisha maana urubani si mchezo, mpaka milioni 200 +.

Hizi ndio kozi za uhakika, ukiwa na hizo fani, ukaenda JKT, siku JWTZ wakija kuwafanyia usaili hutakosa kupata nafasi kwenda kuvaa bakabaka.

Mbali na hapo, jiandae kutoboa mkataba na kurudi nyumbani, au ujiandae kwenda polisi, Magereza, uhamiaji au wanyamapori (ukibahatika).

Ni hayo tuu kwa leo, nakaribisha michango ya wengine. Muwe na muda mwema sana
Na waliosomea mifugo vip?

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hapo no. 2. Hapana , rubani.mshahara wake mdogo Sana nchi za wengine rubani wanaacha kazi kusomea IT, rubani Hana tofauti na dereva wa gari tofauti wewe unapita chini yeye juu. Hata darasa la saba kama unajua kusoma naa kuandika unaweza jifunza urubani. Siyo ngumu sana, utachukuwa muda kujifunza katika takeoff na landing. Ni sifa tu kuwa rubani lakini mfukoni hakuna kitu zero kabisa.
Kwamba kuna Rubani anaelipwa laki 3 kama dereva wa Land Cruiser au sio. Hebu jishikilie we jamaa.
 
Back
Top Bottom