Himidt Lengo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2018
- 307
- 244
Ni kweli, kwa mtu asiye na konekisheni ngumu sana.Kinacho matter ni connection tu mzee.
Wapo madogo nawajua kabisa walienda kupiga kozi ya uafisa na combinations zao za HKL.
Jeshini kikubwa mbanga tu.
Jwtz wanaingia hata darasa la saba waiokuwa na ujuzi wowote mkuu wewe tafuta namna ya kuingia jeshini kama ni kweli jeshi unalipenda kutoka moyoni na sio njaa zako zikupeleke hukoKwa mtu aliyeaoma shahada ya Mali asili , wanyamapori hawezi pata nafasi ya kuingia jwtz
Neil Armstrong,Buzz Aldrin na Michel Collin waliokanyaga mwezini mara ya kwanza wote walikuwa wanajeshi na tena Armstrong alikuwa professor wa Aeronautic.umemjibu hadi raha
Tena wapo sana wenye shule kweli kweli kuna afande Maj.Gen Wilbert Ibuge ni moja ya watu wenye elimu sana chomboni.Neil Armstrong,Buzz Aldrin na Michel Collin waliokanyaga mwezini mara ya kwanza wote walikuwa wanajeshi na tena Armstrong alikuwa professor wa Aeronautic.
Binadamu wa kwanza kuzunguka orbit ya dunia alikuwa Yuri Gagarin alikuwa ni generali wa jeshi la Urusi.
Mwanamke wa kwanza duniani kuzunguka orbit ya dunia alikuwa ni Valetino Tereshkova alikuwa generali wa jeshi la Urusi.
Jeshini kuna shule wanaofikiria huku uraiani kuwa wanajeshi ni vilaza ni wale ambao hawajaenda shule sasa wanakuwa na mawazo ya kuingia jeshini hebu wajaribu kuomba jeshi na darasa lao la saba waone kama watapata.
Picha angalia majerali wa urusi niliosema wa kwanza Mwanaume Yuri Gagarin wa Pili ni mwanamke Valentino Tereshokova.Kwa watu waone hakuna kilaza hapo.
Hata huku Tanzania wanajeshi ni wasomi mno
JeNatumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.
Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.
Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia taifa letu hili pendwa la Tanzania kupitia kuwa mwanajeshi JWTZ, soma kozi hizi ili ukienda kujitolea JKT ikuwie rahisi kuandikishwa kufanya kozi ya jeshi la wananchi JWTZ.
1. Kozi zote za afya. Udaktari, unesi, ufamasia, radiographia n.k pata certificate, diploma, degree, masters mpaka PhD ya taaluma za afya, hutajutia.
2. Urubani. Ukisoma kozi hii, hata JKT unaweza usipite, ila sasa hakikisha kwenu muwe mna hela ya kutosha sio ya kubababisha maana urubani si mchezo, mpaka milioni 200 +.
Hizi ndio kozi za uhakika, ukiwa na hizo fani, ukaenda JKT, siku JWTZ wakija kuwafanyia usaili hutakosa kupata nafasi kwenda kuvaa bakabaka.
Mbali na hapo, jiandae kutoboa mkataba na kurudi nyumbani, au ujiandae kwenda polisi, Magereza, uhamiaji au wanyamapori (ukibahatika).
Ni hayo tuu kwa leo, nakaribisha michango ya wengine. Muwe na muda mw
Je ukisoma afisa mifugo unaweza ukapata ajiraNatumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.
Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.
Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia taifa letu hili pendwa la Tanzania kupitia kuwa mwanajeshi JWTZ, soma kozi hizi ili ukienda kujitolea JKT ikuwie rahisi kuandikishwa kufanya kozi ya jeshi la wananchi JWTZ.
1. Kozi zote za afya. Udaktari, unesi, ufamasia, radiographia n.k pata certificate, diploma, degree, masters mpaka PhD ya taaluma za afya, hutajutia.
2. Urubani. Ukisoma kozi hii, hata JKT unaweza usipite, ila sasa hakikisha kwenu muwe mna hela ya kutosha sio ya kubababisha maana urubani si mchezo, mpaka milioni 200 +.
Hizi ndio kozi za uhakika, ukiwa na hizo fani, ukaenda JKT, siku JWTZ wakija kuwafanyia usaili hutakosa kupata nafasi kwenda kuvaa bakabaka.
Mbali na hapo, jiandae kutoboa mkataba na kurudi nyumbani, au ujiandae kwenda polisi, Magereza, uhamiaji au wanyamapori (ukibahatika).
Ni hayo tuu kwa leo, nakaribisha michango ya wengine. Muwe na muda mwema sana.
Vp kuhuxu ITNatumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.
Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.
Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia taifa letu hili pendwa la Tanzania kupitia kuwa mwanajeshi JWTZ, soma kozi hizi ili ukienda kujitolea JKT ikuwie rahisi kuandikishwa kufanya kozi ya jeshi la wananchi JWTZ.
1. Kozi zote za afya. Udaktari, unesi, ufamasia, radiographia n.k pata certificate, diploma, degree, masters mpaka PhD ya taaluma za afya, hutajutia.
2. Urubani. Ukisoma kozi hii, hata JKT unaweza usipite, ila sasa hakikisha kwenu muwe mna hela ya kutosha sio ya kubababisha maana urubani si mchezo, mpaka milioni 200 +.
Hizi ndio kozi za uhakika, ukiwa na hizo fani, ukaenda JKT, siku JWTZ wakija kuwafanyia usaili hutakosa kupata nafasi kwenda kuvaa bakabaka.
Mbali na hapo, jiandae kutoboa mkataba na kurudi nyumbani, au ujiandae kwenda polisi, Magereza, uhamiaji au wanyamapori (ukibahatika).
Ni hayo tuu kwa leo, nakaribisha michango ya wengine. Muwe na muda mwema sana
Kwa nini mkuu?Kozi itakayokuja kuwa na soko kubwa ni Telecom, Computer na IT.
It's world market ( ndiko dunia iliko na inakoenda)Kwa nini mkuu?
Ukienda course monduli ukifeli hyo nyota uisahau maisha yote utakula vvv hadi ufie kwenye lile saa mwishoKweli kabisa mimi nina jamaa zangu watatu wana degree ya Computer Science, wameishia usajent,wana wengine sasa hivi Maluteni, sijui walifanya nini ,ila jeshini kama huna NIDHAMU na UADILIFU issues ndogo tu utakaa benchi mpaka unastaafu,haijalishi una level gani ya kielimu au umesomea kozi gani.
Kwanini mkuu, kwamba hakuna second chance?Ukienda course monduli ukifeli hyo nyota uisahau maisha yote utakula vvv hadi ufie kwenye lile saa mwisho
Sasa mwanajeshi kama atakua na biashara kubwa, mfano awe na mabasi makubwa 15, ama malori semi 20, maduka makubwa ya jumla, huyo atakua mwanajeshi au mfanya biashara.Kuna mwanajeshi yeyote kafanikiwa kuwa na biashara kubwa ukiachana na bar,guest na nyumba za kupangisha au kufuga kuku kama tunavyoona kwa watu wa kada nyingine?
Haipo never ukifeli mara 3 wewe unaenda kuwa coplo,Sgt nk had uvae lisaaa lile umestaaafuKwanini mkuu, kwamba hakuna second chance?
Haipo never then ukifel mara 3... sijaelewa hapo mkuu... kwamba ukifel mara ya kwanza utajaribu hadi mara ya 3 ndo basi tena sioHaipo never ukifeli mara 3 wewe unaenda kuwa coplo,Sgt nk had uvae lisaaa lile umestaaafu