Mizchief
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 266
- 206
Maybe nikuelimishe katika sekta ya uchukuzi(transport)., let me come to your level., take for example mabasi ya masafa marefu(long distance) and they leave at specific timing, basi litaondoka ata kama liko bure, inafanyika hapa Kenya sijui tz ni vipi(not all bus companies though)., mfano unaweza kua Busia (Kenya/Uganda border), then u book Easy coach, Coast Bus or Modern Coast to Nairobi, wakati unaingia unapata mko abiria watano ndani ya basi la kubeba watu 60., ikifika wakati wa kutoka linaondoka, na kama sheria yao hawabebi abiria barabarani, you have to book and board at their offices. At the end of the year when they quantify their income utapata bado wana make faida. Same na airlines, if it is leaving at 0800hrs litaondoka na wale abiria watakua wame book na wenye wamefika., hii ni kawaida ya organized transport industry.
Hapa am seeing majungu na wivu, hakuna point hataaa.
The Bongo ignoramuses will choose to not understand your logic.
personally mimi hutumia sana mabasi ya Dar-Mombasa.na mara tunapofika Tanga abiria karibia wote hushuka (iwapo tunaenda Mombasa), au linakuja Dar likiwa lina abiria around 10/15, tukifika Tanga linajaa. So, it happens. Lakini mabasi yenyewe yanadunda tu, hayafilisiki, au kukatisha huduma.