Mkikuyu- Akili timamu,
Pls go to school, who told you kenya want to copy ATCL??????
Pls go to school, who told you kenya want to copy ATCL??????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you for educatingstop lying. KQ will borrow the model of ethiopian and middle eastern carriers not ATCL. ie A large holding company will be responsible for both KQ and the JKIA, and the profits from one entity can be used to uplift the other. At the moment JKIA alone has profits of about Ksh 6 billion lying untouched. Read and understand the article, we have nothing to learn from Tanzania in aviation but we have a lot to learn from ethiopia and middle eastern carriers
For a person who claims to be Kenyan, his English comprehension skills are wanting. This is something we are taught to understand from nursery school.Thank you for educating
Nimefuatilia majibu yako mkuu naona ni kama umejificha kwenye shamba la karanga una hoja nyepesi sanaa.Kampuni inaweza kuwa ya serikali, lakini haitumii pesa ya elimu ama afya.
Self sustaining company. Ikitaka lolote, itachukua deni.
Kwani ATCL ndio wamepewa hizo ndege na serikali sadakalawe? Hata na wenyewe wanapaswa kurudisha pesa za mtaji kwa wakala wa ndege za serikali, mbona kila siku wanaambiwa hivyo na Magu? The planes are leased to ATCL kutoka serikalini ndio maana yule mkulima akaikamata ndege kule South sababu ndege ni mali ya serikali na sio ATCLSerikali ya Kenya inatumia financing. Haitumii pesa za masomo kama SiSiEmu.
Itachukua deni, ambalo litalipwa na KQ.
Mfumo wa biashara wa ATCL ni kutumia pesa za elimu, afya, barabara etc. kununua ndege.
KQ itaendelea kufanya biashara kama kampuni.
Heci soma hii.
Kampuni inaweza kuwa ya serikali, lakini haitumii pesa ya elimu ama afya.
Self sustaining company. Ikitaka lolote, itachukua deni.
ATCL ni kampuni ya seriali gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hyo miswaada ya kununua ndege ilipitishwa lini bungeni
1: KQ haiwezi kutumia business model ya Ethiopian airline, ile ni fully owned na Serikali as if it is one of the Ethiopian government department toka ilipoanzishwa na King Haile Sallasie. By the way Ethiopia practiced a closed economy system.
2: KQ haiwezi kufuata business models za national carriers za middle eastern countries kwa sababu wao kule wana pesa kibao za mafuta. Therefore, they can afford to run their airlines at a very low or no profit margins by subsiding them through the "all you can drink jet fuel..."
3: KQ haiwezi kufuata business model ya SAA ambayo nayo ibachungulia kaburi, siku zake zinahesabika...
4: The only option left kwa GoK ni kufuata business model ya JPM kwa ATCL, cut all the corruption, reduce all the unnessary staff, costs and start from scratch by leasing planes to KQ and strictly monitor their development...
It's time to swallow the pride🙂
Hapa panauma but itabidi wazoee 😂😂😂It's time to swallow the pride🙂
Kwani ATCL ndio wamepewa hizo ndege na serikali sadakalawe? Hata na wenyewe wanapaswa kurudisha pesa za mtaji kwa wakala wa ndege za serikali, mbona kila siku wanaambiwa hivyo na Magu? The planes are leased to ATCL kutoka serikalini ndio maana yule mkulima akaikamata ndege kule South sababu ndege ni mali ya serikali na sio ATCL
4: The only option left kwa GoK ni kufuata business model ya JPM kwa ATCL, cut all the corruption, reduce all the unnessary staff, costs and start from scratch by leasing planes to KQ and strictly monitor their development...
Ndio mnaenda kufanya hivyo sasaBusiness model ya Supremo ni kutumia pesa ya matumizi ya nchi kununua ndege.
Hii hata upake sukari mara ngapi, ukweli ndio huo.
Ndio mnaenda kufanya hivyo sasa
Sasa serikali ikitafuta financing kuna tofauti gani na serikali kutumia hela zake, huyo financer si ataidai serikali, na hizo hela za serikali si ndio za huduma za kijamii, ndio maana nasema we jamaa ni mjinga sana.Soma habari, wacha ujuaji.
Serikali ya Kenya itatafuta financing. Hakuna pesa ya elimu na afya itapelekwa KQ.
KQ itaendelea kulipia hilo deni, wala sio serikali ya Kenya.
Acha utoto! Wana nationalize hilo shirika, maana yake nini? Halafu hiyo financing unadhani itatoka from private party? La hasha! Otherwise basi mseme mnaachia hisa zote za GoK kwenda kwa KQ lenders!Soma habari, wacha ujuaji.
Serikali ya Kenya itatafuta financing. Hakuna pesa ya elimu na afya itapelekwa KQ.
KQ itaendelea kulipia hilo deni, wala sio serikali ya Kenya.
Sasa serikali ikitafuta financing kuna tofauti gani na serikali kutumia hela zake, huyo financer si ataidai serikali, na hizo hela za serikali si ndio za huduma za kijamii, ndio maana nasema we jamaa ni mjinga sana.
Sasa serikali ikitafuta financing kuna tofauti gani na serikali kutumia hela zake, huyo financer si ataidai serikali, na hizo hela za serikali si ndio za huduma za kijamii, ndio maana nasema we jamaa ni mjinga sana.
Acha utoto! Wana nationalize hilo shirika, maana yake nini? Halafu hiyo financing unadhani itatoka from private party? La hasha! Otherwise basi mseme mnaachia hisa zote za GoK kwenda kwa KQ lenders!
Tanzania kuna shule nyingi na nzuri zenye facility za kutosha kuliko Kenya. Likewise kwenye sekta ya afya tumewapiga bao mbali sana in general terms, maji ndio kabisa tusifike huko..miundombinu ya reli na barabara tuko vizuri.
Na ndege ni za serikali, wamewakodishia ATCL. Wanatoa rejesho ku service loan kawaida. Pia ATCL haitegemei ndege tu kujiandesha. Sekta ya Anga iko chini ya GoT kwa 100%. Kuna mapato ya viwanja na rada. FYI rada nne zilizonunuliwa cash, mbili ziko on operations as we speak na tayari zimeshatengeneza fedha ya gharama ya rada zote nne. Ya tatu soon itazinduliwa then ya nne next year. Hivyo ATCL ni babalao hapa E.A tunawakimbiza hao Ethiopian kwa karibu....
Amkeni na muanze kujifunza kwanza from Tz kabla ya hizo ndoto za mchana baada ya kushiba githeri.