KQ yakiri kupata hasara kubwa kutokana na kufungiwa safari za Tanzania

It seems ATCL is the only airline making profit with parked planes, hawa wasee ni wathick bana
 
joto la jiwe,

Walizoea kujaeibu sasa hivi namuomba muheshimiwa Rais Magufuli asiwafungulie mpaka wakubali masharti yafuatayo 1: Abiria yeyote kutoka TANZANIA hatokaa karantini wala kupimwa korona Kenya anatoka na cheti tu kutoka TANZANIA, na wakikubali masharti hayo tunawapa mwezi mmoja wa kuandaa kituo cha kutoa vyeti vya Corona. Mwisho watatamani twende bila vyeti maana mwezi wa kuandaa kituo kwao mwaka.
 
Tumekuwekea taarifa toka kwa viongozi wa KQ wenyewe wanasema wanapata hasara kubwa kwa kufungwa kwa safari za Tanzania, wewe unahisi wanasema uongo?, kweli wewe ni mkikuyu usiyekua na akili unatetea kila ujinga wa setikali ya Jubilee
 
Unaota wewe, hizi thread ndio zinatakiwa kufutwa
Naona unateseka [emoji205][emoji205][emoji205] ,[emoji3][emoji3][emoji3] vumilia tu ndo Dunia hiyo cku zote unaambiwa mwenye shibe hamjui mwenye njaa .
 
hivi vitu haviendi kienyeji kama unavyofikiria. Kuna watalii aina mbili, wanaojuoa wanapotaka kwenda na kuplan in advance hawa wataenda popote bila kujali vikwazo au gharama ila kuna level ikifika wanabadili plan. wapo wanaoshawishiwa na matangazo, travel agents, offers, gharama na wepesi wa safari. Sawa kukosa kabisa haiwezekani lakini kupungua watapungua. Not good for business.

Sijui kama umewai kusafiri point A to C via B, nitofauti sana na kusafiri point A to B alafu point B to C. Gharama inaongezeka kwa %kubwa hasa safari za ndege. Sasa KQ inaaminika huko duniani, ni mshiriki wa skyteam na inaroute nyingi. Kusema sisi hatuumii ni kuwaza pafupi sana. hapa kilammoja anapoteza.
 
Huu mgogoro umesababishwa kwa kiasi kikubwa na Papamagamba Kabudi kukosa hekima ya kiuongozi na kidiplomasia.
Chizi we, badala ya kulalamikia ulipo jikwaa unalalamikia ulipodondokea !! Naona kuna kitu hujui nikukumbushe, TANZANIA ilifungua anga lake kwa nchi zote duniani bila masharti na ndio nchi pekee duniani iliofanya hivyo mpaka sasa hamna nchi yeyote iliyoweza kufanya hivyo uelewe.

Sasa Kenya anavyofungua kachukua nchi 11 akiwemo na Uganda TANZANIA kamuacha maana yake Kenya na Uganda wapo salama ila TANZANIA maambukizi yapo juu au hali mbaya, lakini wakati huohuo Kenya inavyofanya hivyo akili yake zote kwenda TANZANIA kwenye wagonjwa wengi sasa propaganda hizi za kitoto muheshimiwa Kabudi anazishughulikia kisawa sawa na kama roho inauma jinyonge maana huu ni mwanzo yatakuja makubwa kuliko hayo bora ufe mapema usije ukaumia roho zaidi.
 
Siku kizuri, kumbuka hilo shirika limeajiri watanzani pia, sasa likipata hasara, ajira za wabongo pia zinakuwa mashakani.
 
Kwahiyo bangi za Uhuru na konyagi za mbowe azihusiki
Hawa c ndio wale wafuasi wa yule Rais wao Sera zake kulalamika tu madala ya kuwahidi wananchi nitafanya iki anabaki ooh uchumi umeshuka, nimekaa ulaya mwaka na lakini sijaona kama huku , Ulaya watu wanaandamana bila shida mgongoni nina goroli sasa kama akili ya Rais wao zipo hivi unategemea wafuasi watakua na uwezo wa kuchanganua mambo?
 
Pimbi wewe,wao walivyotuzuia walifanya hekima,alafu comments zako,hua za kitoto Sana mkuu,Ila samahani,nina unakika wewe elimu yako ni darasa la Saba,au form 4,umejitahidi Sana,form 6,alafu ukafeli.kama unabisha,prove me wrong.
Mbona unawatuc watu huyu mtoto wa mtaani ajasoma kabisa. Darasa la Saba anauwezo wa kua mbunge na akaweza kuendesha Jimbo lake.
 
Siku kizuri,kumbuka hilo shirika limeajiri watanzani pia,sasa likipata hasara,ajira za wabongo pia zinakuwa mashakani
Hata tulipoamua kwenda vitani na Uganda tulijua kwamba kuna watanzania wengi watakufa na uchumi utasambaratatika, tungeweza kukaa kimya na kumuacha Idd Amin afanya vile atakavyo kwa kuogopa hasara, lakini tuliamua kukubali hasara ili kulinda heshima ya Tanzania na kuhakikisha kwamba chokochoko zinafikia mwisho na hazitojirudia tena, tulifanikiwa Sana.
 
Kila mmoja anapoteza ila Kenya anapoteza zaidi ,hivi unajua Kenya inapata abiria huko nje kupitia vyanzo vya utalii vya TANZANIA? Sasa kQ kama ikifungiwa kuingia TANZANIA hata ruti zao za kimataifa zitaumia maana ule uongo wao wa kuwaambia wazungu karibuni Kenya muone mlima Kilimanjaro kisha wawaambie ukitaka kuupanda twendeni kule upande wa Tanzania uongo huu utakua hufanyi kazi tena.

Kwahiyo kitakachotokea mtalii alietaka kwenda Serengeti na mt Kilimanjaro atabalidi shirika la ndege badala ya kenya atatumia mashirika mengine .Na Dunia zima inajua kama ukienda kenya Tanzania hukanyagi sasa lazima mpaka huko duniani mashirika ya Kenya yatanyanyapaliwa Kwasababu ktk utalii Kenya hata kitu anachotegemea kutoka vyanzo vya TANZANIA ndio maana ndege zao unaona wameandika majina ya vivutio vya utalii wa Tanzania sasa wewe sijui uchumi unaozungumzia uchumi gani wa kuangalia mwisho hapo kwenye vidole vyako vya miguu ,uchumi mpana usiangalie faida ya malipo ya kutua na maegesho tu ambayo ni ela ya mboga tu angalia Kwa upana na ndio maana unaona hata wenyewe wanalia lia usizani wanalia Kwasababu ya safari za TANZANIA tu laa wanalia hata safari za huko nje zimevurugika .
 
Nyie mbona mna akili za kijinga? Hivi unafikiri inaathirika kenya peke yake kwa kuzuia ndege za KQ kuja TZ? Nyie ndio manaomdanganya JIWE na anafanya mambo yanayoharibu uchumi na uhusiano wa kimataifa.
Kwaiyo ww ungekuwa pale kweny nafasi ile g mamuzi ungeanza kumbembelez Mkenya sio?
 
Wewe unae elewa ulitakiwa useme...km hujui pia funga bakuli
Hivi unadhani ndege zinatua na kuondoka bure pale, unadhani wageni wanakuja na teksi zao, unadhani wanakuja na bidhaa zao za matumizi kwenye mabegi, unadhani wanalala kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…