Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
- Thread starter
-
- #21
You allude to car insurance yet seems that you have never owned a car, or insured one.Kama gari iko na insurance, ndege unadhani haina insurance.
That accident will be paid for by the insurer.
Na hii hasara kubwa utaingoja hadi ukufe. KQ losses are only going down.
Last year they changed their reporting schedule. But analyst calculated the loss to be about Sh10.2 billion full year.
The previous year it was Sh26 billion. Very incredible progress.
Sasa hiyo ripoti imesema hasara inatokana na salaries, hasa marubani wanachukua 49% ya salaries, na kwamba Fuel cost pamoja na fleet ownership cost zipo juu, wewe unawapinga?.
Sasa kama hizo gharama zote zipo chini, vipi KQ inaendelea kupata hasara year in year out?, basi ninyi ni failed state original, kama mambo yote hapo ni OK, but nothing works, then ninyi Mungu amewalaani.
You allude to car insurance yet seems that you have never owned a car, or insured one.
1) KQ is to blame, coz of their drunkardness and negligence
2) Even if insurance pays
-a) KQ must pay "excess" which is 15% of repair
-b)Premiums will be hiked for the next year
Acha nisikuite mpumbavu nitajisikia aibu, what is ATCL?, 100% owned by Government, mishahara ya wafanyakazi wote ni Government employees na wanalipwa na Serikali, faida yote ya ATCL inaenda serikalini kujenga Hospital, shule na barabara.''Ukinunua ndege zako mwenyewe by cash''. [emoji23][emoji23][emoji23]. Wacha nisikucheke.
ATCL imenunua ndege ngapi na pesa yake?
Bila kutumia pesa ya serikali ya kujenga mahospitali na barabara, ATCL hata haiwezi afford kununua helicopter.
Kama airlines hununua ndege cash na pesa zake, KQ ingekuwa na ndege moja ama mbili.
There is nothing like "excess cover" By law the insured must pay excess on repairs, excess cover is just marketing jargon while in actual sense the excess is compounded into the premiums and in case it falls short of the 15% the client still pays the balanceLol. You are accusing me of never owning a car.. 😂😂😂
If you've owned one, or insured one, you would know of something called 'excess cover'. Which protects you from paying the 'excess'.
Also, accidents rarely translate to hiked premiums.
Huwezi kuielewa ripoti ya CAG, yeye ni professor, wewe je?Biashara gani ambayo ATCL wanafanya? Au ripoti ya CAG sujaielewa?
Hahahaha naona unakereka sana7.59 [emoji743] [emoji671] ll [emoji671] [emoji778] n?
RIP ATCL [emoji17]
Hahahahaha, usirukerukeFleet ownership wewe umeilewa kumaanisha nini?
Fleet ownership has several components.
1. Leasing cost
2. Insurance
3. Maintenance
The only difference between KQ na ATCL for example ni kwa point number one... Leasing cost.
ATCL (government) will spend $300 million buying, while KQ will spend a small fraction of that leasing.
Otherwise, both ATCL and KQ also have insurance and maintenance cost.
I'll not even bother arguing.There is nothing like "excess cover" By law the insured must pay excess on repairs, excess cover is just marketing jargon while in actual sense the excess is compounded into the premiums and in case it falls short of the 15% the client still pays the balance
Acha nisikuite mpumbavu nitajisikia aibu, what is ATCL?, 100% owned by Government, mishahara ya wafanyakazi wote ni Government employees na wanalipwa na Serikali, faida yote ya ATCL inaenda serikalini kujenga Hospital, shule na barabara.
ATCL ni serikali kama ilivyo BoT, hii sio KQ ambayo ikipata faida wabagawana share holders. Serikali inajukumu la kuinunulia ndege na kila kitu ambacho kinahitajika na kuwakabidhi ATCL, in turn ATCL wanawajibika kupeleka faida serikalini.
Kenya Airways current liabilities exceeded Its current assets by KShs 101.540 million
Hahahahaha, usirukeruke
1)Leasing costs 80%
2) Maintenance costs 15%
3) Insurance 5%
Always leasing cost ndio kubwa katika hill eneo. Kumbuka kwamba "the higher the number of fleet on lease, the bigger the cost", KQ ina idadi kubwa ya ndege za kukodi, wanalipa pesa nyingi kwa mwaka.
Pia gharama za fuel,maintanances na insurances ni kubwa kwa KQ kwasababu ndege zake ni chakavu ukilinganisha na ATCK
Huwezi kuielewa ripoti ya CAG, yeye ni professor, wewe je?
Hahahahaha, usirukeruke
1)Leasing costs 80%
2) Maintenance costs 15%
3) Insurance 5%
Always leasing cost ndio kubwa katika hill eneo. Kumbuka kwamba "the higher the number of fleet on lease, the bigger the cost", KQ ina idadi kubwa ya ndege za kukodi, wanalipa pesa nyingi kwa mwaka.
Pia gharama za fuel,maintanances na insurances ni kubwa kwa KQ kwasababu ndege zake ni chakavu ukilinganisha na ATCK
Huwezi kuielewa ripoti ya CAG, yeye ni professor, wewe je?
ATCL Inasafari nyingi kama safari KQ?Kama KQ inapata hasara katika hayo maeneo matatu, 1)Fuel cost, 2)Salaries, and 3)Fleet ownership. ATCL haina gharama za Fleet ownership, na gharama za salaries ni ndogo sana kutokana na idadi ndogo ya employees na viwango vidogo vya mishahara, ni wazi ATCL is making good business.
Hahahahaha, doesn't matter how you call it, so long as it achieves the goals, which areATCL is 100% owned by the government, but it is not the government. 2 different entities.
It should be allowed to operate like an airline, not like a government air wing.
It should be allowed to make business decisions with its own internal cash, not going back to the government with its losses every time.
Serikali haina jukumu la kuinunulia ndege, especially serikali ya nchi maskini kama Tanzania.
ATCL should be left to source for its own planes, take bank loans etc... Otherwise what you are describing is not an airline but a government air wing.. similar to the airforce.
Hivi muhimu ni safari nyingi au ni kupata pesa nyingi?. Kenya inapata watalii wengi kuliko Tanzania, lakini Tanzania inapata pesa Mara mbili zaidi kutokana na utalii zaidi ya Kenya.ATCL Inasafari nyingi kama safari KQ?
Hapana, Mimi ni Pro-pesa.Kwa hiyo ww ni profesa?
Wewe darasa la 7, subiri kipindi cha uchaguzi upate T-shirt na kofia.Kwa hiyo ripot ile ilikuwa kwa ajili ya maprofesa sisi wa la 7 b ..tupite bila kuyia neno?