Tetesi: KQ yaongeza Hasara mara mbili hadi Ksh 7.5b kutoka billioni 4 mwaka jana😆😆

Tetesi: KQ yaongeza Hasara mara mbili hadi Ksh 7.5b kutoka billioni 4 mwaka jana😆😆

Sisi tunalinganisha serikali ya Kenya na Tanzania, acha kulea uvundo, serikali yenu imejaa wakikuyu acha kukimbia ukweli, acheni ukabila anzeni kuandamana serikali yenu inawaibia mchana kweupe.

Name a single Tanzanian company, private or government owned, that makes a profit. 😂😂😂😂
 
Ahaaa haaa haaa
So this is only way you can answer.
Teh teh teh tihiii.

Yeah. When someone is dumb beyond saving.

KQ 2017
9 month loss - Sh6.4 billion
12 month loss - Sh10.2 billion

KQ 2018
12 month loss - 7.59 billion
 
TBL, TCC, SBL, Tanga Cement, Twiga Cement, should I go on?

Pesa ya madafu.
I'm talking real profit from $10 million and above. I'm sure there are no more than 3 companies.
Also, Tanga cement only knows losses.
 
Vivutio vya utalii vilivyopo kenya utalinganisha na tanzania tanzania vipo vingi ila kenya ni vichache. Suala la KQ kama huwa mnafanya safar na abiria 10 kwenye ndege hapo sawa kwamba route nyingi mapato hakuna
Kenya hakuna vivutio vingi ila wanawashinda kwa mapato ya utalii. Mfano mwaka jana walipata 7.9b USD nanyi 2.7b USD
 
KQ Maiti.jpg
 
Comparing contribution to GDP kwa tourism receipts nan hajui mlikuwa below 1bil USD in 2017 ..mmepaa hadi 7.9bil USD kadanganye vilema wenzio wa akili

Sielewi; kutoka below 1B hadi almost 8B ni tatizo?
 
Comparing contribution to GDP kwa tourism receipts nan hajui mlikuwa below 1bil USD in 2017 ..mmepaa hadi 7.9bil USD kadanganye vilema wenzio wa akili
Wewe ambaye si kilema wa akili niambie makusanyo ya 2018 ya Kenya na Tanzania
 
Back
Top Bottom