ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 79,360
- 154,913
πππππHahahahaha, hivi hili karatasi linajua zaidi kuliko wabunge wenu mnaowalipa 49% ya revenue yenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππHahahahaha, hivi hili karatasi linajua zaidi kuliko wabunge wenu mnaowalipa 49% ya revenue yenu?
Because reading is like a cancer to you, let me screenshot for you what's in your tweet uone ni mwaka gani hasara ilikuwa mingi.So bbc waongo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
2017 iliku 6.7 na 2018 imepanda mpaka 7.8b
Ni tatu kweli sio uongo so ww au wabunge nani anajua zaidi???ππππWabunge waliulizia in ndege ngapi zinamilikiwa na KQ na wengine wakaguess ati 3. So tell me, tangu hiyo repoti itoke, ni mbunge gani ameipinga?
Hapana it's casual.Is this official ????[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Unataka kujipa matumaini kwenye hakunaππππππππππBecause reading is like a cancer to you, let me screenshot for you what's in your tweet uone ni mwaka gani hasara ilikuwa mingi.View attachment 1085419
Wenye wanajua zaidi ni hawa. Mbona hao wabunge hawajapinga hii ripoti?Ni tatu kweli sio uongo so ww au wabunge nani anajua zaidi???[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hahahahaha, kama ATCL alipii fleet ownership, na salaries ni kidogo sana, kwa nini isipate faida?..ATCL haijapata faida.
Loss ya 2017 was close 10bn na loss ya 2018 ni 7bn. Nyinyi watz mko na thick brains sana.Unataka kujipa matumaini kwenye hakuna[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
View attachment 1085420
πππππππππBecause reading is like a cancer to you, let me screenshot for you what's in your tweet uone ni mwaka gani hasara ilikuwa mingi.View attachment 1085419
πππππππLoss ya 2017 was close 10bn na loss ya 2018 ni 7bn. Nyinyi watz mko na thick brains sana.
Yes alikua correct, kama ambavyo hiyo mbunge wenu aliyesema ndege za KQ ni 3 tu.So unajiribu kusema yule mbunge wenyu alisema ati ndege zenyu hazina habiria alikuwa correct?
Ahahahhaha ngoma nzito hiiππππHapana it's casual.
Ebu post any year ATCL made a profit then I won't quote you again.Hahahahaha, kama ATCL alipii fleet ownership, na salaries ni kidogo sana, kwa nini isipate faida?..
Kenya msipokubali kukaa pamoja na Magufuli ili mshiriliane naye badala ya kushindana naye, mtajikuta katika hali ngumu sana
1) Bomba la mafuta amelinyakua
2)SGR kwenda Rwanda ameinyakua
3)Utalii ameshawapiga bado
4) SGR ya Uganda ndio hiyo Mchina ameshampa Museven sababu ya kuanzia Mazungu na Mturuki ili aunganishe na Tanzania
5)KQ ipo ICU, inatoa nafasi kwa ATCL kuchukua nafasi.
" if you can't fight them, join them".
Were ni fala kweli, you can't compare financial report ya 9months na ile ya 12months unless your brain is rotten.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Hiyo sio ripoti acha ujinga wewe, hiyo ni press release ambayo is not even an official document.Ebu post any year ATCL made a profit then I won't quote you again.
Basi ni kweli mmeshindwa kuendesha biashara ya ndege na mtaka kuziuza Kenya.Yes alikua correct, kama ambavyo hiyo mbunge wenu aliyesema ndege za KQ ni 3 tu.
Nimekupa points tano, wewe umeamua kuchukua point ya mwisho, hahahahahaEbu post any year ATCL made a profit then I won't quote you again.
Ebu thibitisha kuwa hakuliza.Hiyo sio ripoti acha ujinga wewe, hiyo ni press release ambayo is not even an official document.
Kuhusu mbunge wenu hakuuliza kwamba KQ inamiliki ndege ngapi, yeye alisema kwamba KQ inamiliki ndege 3, sasa hizo zingine nani ni wamiliki wake?, kwasababu kuna dalili kwamba baadhi ya viongozi wa kisiasa(Uhuru Kenyatta) ni miongoni mwa kwenye hisa katika baadhi ya hizo ndege
ATCL will never make any profit till Jesus come.Nimekupa points tano, wewe umeamua kuchukua point ya mwisho, hahahahaha